Powder
JF-Expert Member
- Jan 6, 2016
- 4,977
- 6,635
Jana wote tumeshuhudia Ma bus makubwa 2 yakitaka kuingia Uwanja wa Mkapa usiku.
Moja likiwa Bus la Simba, lingine likiwa Limejaa Wazee sijui walitoka wapi...! Makomando wa Yanga hawakuwa na tatizo na Bus la Simba, walitaka kujua lile Bus jingine la BM limewabeba kina nani..!? Walipolisogelea lile Bus wakaanza kusikia sauti za Mbuzi na Kondoo ndani ya Bus.... Mgogoro ukaanzia hapo.
Simba Ina Majeruhi 2 wa Wachezaji wa Kikosi Cha kwanza, Camara na Arteba, Wazee wakawaambia Mechi ya Leo tutafungwa lah twende tukaicheze Ile Mechi uwanjani, ikaonekana ni jambo gumu coz Watu wangeona kama wangeenda kufanya Mazoezi mida ya saa 10 jioni.
Wakapata wazo kwamba wataenda kufanya Mazoezi usiku, ili wakati wao wanazuga na Mazoezi, Wazee waendee kuicheza Mechi ya Leo wakiwa pale pale uwanjani.
Kwa vile Simba ni watu sana wanaamini Ushirikina (Rejea tu tukio la Simba kuwasha moto Mechi na Kaizer chief) na Huwa hawana aibu kufanya mambo ya Kishirikina.
Makomando wa Yanga wakakataa kuwaruhusu Simba kuingia Taifa, wakawaambia kama mnataka ingizeni Bus Moja tu lenye Wachezaji, Simba wakakataa wakisema lazima waingize na Bus la Wazee wao wakiwataja kama Mashabiki wao, Makomando wa Yanga wakasema basi Leo hamuingii humu ndani, Simba wakaamua kuondoka.
Wakaenda kufanya Kikao na Wazee wao, Wazee wakawaambia kama kesho mkipeleka Team Kwa maana ya Leo, mnaenda kufa Goli 7, na Kwa vile imeshindikana kwenda kuicheza Mechi sisi wenyewe Taifa, kesho Msipeleke Team uwanjani.
Andikeni malalamiko ili Mechi isogezwe mbele, Majeruhi wetu watakua wamepona, pia matokeo yatabadirika kutegemea na tarehe husika na siku husika...!
Wameandika Barua Bodi ya ligi, mwanzo Bodi ya ligi ilitoa msimamo kwamba Mechi lazima ichezwe, kama Kuna uvunjifu wa kanuni, Team itaadhibiwa Kwa mujibu wa kanuni, lakini Kwa vile Bodi ya ligi inaendeshwa na viongozi wengi wa Simba, wakaamua kukwepesha Kanuni.
Sasa hivi Yanga ipo Taifa inamsubiri Simba, Simba wasipokuja Yanga wanataka point zao 3 na magoli 3.... Wameshasema kama SI Leo hawatacheza Mechi na Simba kwenye Mechi zilizobaki.
Ugomvi ambao Bodi ya ligi wameuanzisha Kwa kukwepesha Kanuni na kusogeza Mechi mbele, hawana uwezo wa kuumaliza Wala TFF haiwezi zaidi ya kupiga Yanga point 3, lah..... Ugomvi utaenda kumalizwa CAF ama FIFA.
Azam inabidi watueleze na kibwagizo Chao Cha matangazo ya Derby....kwamba...
"Hii Derby Haina Kipengele Mtani, Kipengele labda ukilete wewe.....!
Kususia Mechi ya hii kulipagwa zamani.
Moja likiwa Bus la Simba, lingine likiwa Limejaa Wazee sijui walitoka wapi...! Makomando wa Yanga hawakuwa na tatizo na Bus la Simba, walitaka kujua lile Bus jingine la BM limewabeba kina nani..!? Walipolisogelea lile Bus wakaanza kusikia sauti za Mbuzi na Kondoo ndani ya Bus.... Mgogoro ukaanzia hapo.
Simba Ina Majeruhi 2 wa Wachezaji wa Kikosi Cha kwanza, Camara na Arteba, Wazee wakawaambia Mechi ya Leo tutafungwa lah twende tukaicheze Ile Mechi uwanjani, ikaonekana ni jambo gumu coz Watu wangeona kama wangeenda kufanya Mazoezi mida ya saa 10 jioni.
Wakapata wazo kwamba wataenda kufanya Mazoezi usiku, ili wakati wao wanazuga na Mazoezi, Wazee waendee kuicheza Mechi ya Leo wakiwa pale pale uwanjani.
Kwa vile Simba ni watu sana wanaamini Ushirikina (Rejea tu tukio la Simba kuwasha moto Mechi na Kaizer chief) na Huwa hawana aibu kufanya mambo ya Kishirikina.
Makomando wa Yanga wakakataa kuwaruhusu Simba kuingia Taifa, wakawaambia kama mnataka ingizeni Bus Moja tu lenye Wachezaji, Simba wakakataa wakisema lazima waingize na Bus la Wazee wao wakiwataja kama Mashabiki wao, Makomando wa Yanga wakasema basi Leo hamuingii humu ndani, Simba wakaamua kuondoka.
Wakaenda kufanya Kikao na Wazee wao, Wazee wakawaambia kama kesho mkipeleka Team Kwa maana ya Leo, mnaenda kufa Goli 7, na Kwa vile imeshindikana kwenda kuicheza Mechi sisi wenyewe Taifa, kesho Msipeleke Team uwanjani.
Andikeni malalamiko ili Mechi isogezwe mbele, Majeruhi wetu watakua wamepona, pia matokeo yatabadirika kutegemea na tarehe husika na siku husika...!
Wameandika Barua Bodi ya ligi, mwanzo Bodi ya ligi ilitoa msimamo kwamba Mechi lazima ichezwe, kama Kuna uvunjifu wa kanuni, Team itaadhibiwa Kwa mujibu wa kanuni, lakini Kwa vile Bodi ya ligi inaendeshwa na viongozi wengi wa Simba, wakaamua kukwepesha Kanuni.
Sasa hivi Yanga ipo Taifa inamsubiri Simba, Simba wasipokuja Yanga wanataka point zao 3 na magoli 3.... Wameshasema kama SI Leo hawatacheza Mechi na Simba kwenye Mechi zilizobaki.
Ugomvi ambao Bodi ya ligi wameuanzisha Kwa kukwepesha Kanuni na kusogeza Mechi mbele, hawana uwezo wa kuumaliza Wala TFF haiwezi zaidi ya kupiga Yanga point 3, lah..... Ugomvi utaenda kumalizwa CAF ama FIFA.
Azam inabidi watueleze na kibwagizo Chao Cha matangazo ya Derby....kwamba...
"Hii Derby Haina Kipengele Mtani, Kipengele labda ukilete wewe.....!
Kususia Mechi ya hii kulipagwa zamani.