Mtani wetu Simba, hii Derby haina kipengele labda ukilete wewe. Kuna Azam walikijua mapema

Mtani wetu Simba, hii Derby haina kipengele labda ukilete wewe. Kuna Azam walikijua mapema

Ila hapa naona kama hiyo bodi ya ligi ndio imejaa wapumbavu.
Huwezi ghairi mechi kipumbavu namna hiyo tena masaa machache kabla ya mechi.
Ushauri wangu kwa Yanga ni kwamba kama wasipocheza mechi leo, wagome wasicheze tena. Sijaona sababu zenye mashiko zimetolewa
Sababu ya kuahirishwa kwa hii mechi ni ya kipumbavu na inakera mpaka imepitiliza.
 
Sawa Mkuu tumekusoma naona umekuwa mkali sana
Hakuna mtu anaogopa, kwani walipopigwa faini CAF waliogopa nini? Matukio yasiyo ya kimchezo, tusiyatukuze na kuona ni ya kawaida. Hayo mambo kama timu imebobea wafanye wenyewe kwa siri huko. Ndiyo maana soka limebaki kwa timu, 2 kama si 3 tu. Kimataifa ndiyo tia maji. Tushabikie zaidi mchezo wenyewe, kuliko hayo makandokando. Tukomeshe hadharani.
 
Hao makomando mbona mi sielewi ni watu gani? Kuna vitu hadi nashangaa maana nimeona wengi wakisema makomando wa yanga.
Hapo kwenye goli 7 hizo ni assumption zako hamna lolote wabongo ndivyo mlivyo.

Nimetoka kuangalia mechi ya Nottingham forest na Manchester city kaka mpira ni uwezo tu habari zenu hizi mnajirudisha nyuma tu.
 
Ila hapa naona kama hiyo bodi ya ligi ndio imejaa wapumbavu.
Huwezi ghairi mechi kipumbavu namna hiyo tena masaa machache kabla ya mechi.
Ushauri wangu kwa Yanga ni kwamba kama wasipocheza mechi leo, wagome wasicheze tena. Sijaona sababu zenye mashiko zimetolewa
Haya chezeni leo Yanga tumewafungulia na mageti mcheze mnavyoweza matokeo mtatupatia bodi ya ligi tu-update msimamo wa ligi
 
Bantu Lady yanga ndiyo walioleta kipengele cha kuvunja kanuni kwa kuwahujumu Simba sc wasifanye mazoezi.
Yanga ataletaje kipengelee wakati mwenye funguo Meneja hana taarifa.

Halafu hizo kanuni mmezijua jana,mbona round ya kwanza kipindi mkiwa wenyeji mliwazuia Yanga au round ya kwanza kulikuwa hamna kanuni.
JamiiForums-777753140.jpg
 
Jamii Check haipo siku hizi Maxence Melo !!?
Mtu anaanzisha uzi kuwa Simba S. C ameenda Benjamin Mkapa Stadium na mabus mawili, lakini haweki huo ushahidi wa hayo mabus mawili.

Kwa nini mnaruhusu upotoshaji na uongo!!??
Au kama Taifa na kama nchi, mmekubali kuwa uongo na upotoshaji ni ruksa na kuwa ni sehemu ya maisha yetu!!??
Hao mbuzi kwenye bus ushahidi wake uko wapi!!?
Jana wote tumeshuhudia Ma bus makubwa 2 yakitaka kuingia Uwanja wa Mkapa usiku.

Moja likiwa Bus la Simba, lingine likiwa Limejaa Wazee sijui walitoka wapi...! Makomando wa Yanga hawakuwa na tatizo na Bus la Simba, walitaka kujua lile Bus jingine la BM limewabeba kina nani..!? Walipolisogelea lile Bus wakaanza kusikia sauti za Mbuzi na Kondoo ndani ya Bus.... Mgogoro ukaanzia hapo.

Simba Ina Majeruhi 2 wa Wachezaji wa Kikosi Cha kwanza, Camara na Arteba, Wazee wakawaambia Mechi ya Leo tutafungwa lah twende tukaicheze Ile Mechi uwanjani, ikaonekana ni jambo gumu coz Watu wangeona kama wangeenda kufanya Mazoezi mida ya saa 10 jioni.

Wakapata wazo kwamba wataenda kufanya Mazoezi usiku, ili wakati wao wanazuga na Mazoezi, Wazee waendee kuicheza Mechi ya Leo wakiwa pale pale uwanjani.

Kwa vile Simba ni watu sana wanaamini Ushirikina (Rejea tu tukio la Simba kuwasha moto Mechi na Kaizer chief) na Huwa hawana aibu kufanya mambo ya Kishirikina.
Makomando wa Yanga wakakataa kuwaruhusu Simba kuingia Taifa, wakawaambia kama mnataka ingizeni Bus Moja tu lenye Wachezaji, Simba wakakataa wakisema lazima waingize na Bus la Wazee wao wakiwataja kama Mashabiki wao, Makomando wa Yanga wakasema basi Leo hamuingii humu ndani, Simba wakaamua kuondoka.

Wakaenda kufanya Kikao na Wazee wao, Wazee wakawaambia kama kesho mkipeleka Team Kwa maana ya Leo, mnaenda kufa Goli 7, na Kwa vile imeshindikana kwenda kuicheza Mechi sisi wenyewe Taifa, kesho Msipeleke Team uwanjani.

Andikeni malalamiko ili Mechi isogezwe mbele, Majeruhi wetu watakua wamepona, pia matokeo yatabadirika kutegemea na tarehe husika na siku husika...!

Wameandika Barua Bodi ya ligi, mwanzo Bodi ya ligi ilitoa msimamo kwamba Mechi lazima ichezwe, kama Kuna uvunjifu wa kanuni, Team itaadhibiwa Kwa mujibu wa kanuni, lakini Kwa vile Bodi ya ligi inaendeshwa na viongozi wengi wa Simba, wakaamua kukwepesha Kanuni.

Sasa hivi Yanga ipo Taifa inamsubiri Simba, Simba wasipokuja Yanga wanataka point zao 3 na magoli 3.... Wameshasema kama SI Leo hawatacheza Mechi na Simba kwenye Mechi zilizobaki.

Ugomvi ambao Bodi ya ligi wameuanzisha Kwa kukwepesha Kanuni na kusogeza Mechi mbele, hawana uwezo wa kuumaliza Wala TFF haiwezi zaidi ya kupiga Yanga point 3, lah..... Ugomvi utaenda kumalizwa CAF ama FIFA.


Azam inabidi watueleze na kibwagizo Chao Cha matangazo ya Derby....kwamba...

"Hii Derby Haina Kipengele Mtani, Kipengele labda ukilete wewe.....!
Kususia Mechi ya hii kulipagwa zamani.
 
Yanga hatuna kipengele mtani, kipengele mlikuja nacho nyie jana watani.
Nilikuwa nimeshaiona hii dabi kwenye ulimwengu wa roho,kama ingechezwa leo,kwenye macho ya nyama ubao ungesoma yanga 3 na Simba sc 7.
 
Jana wote tumeshuhudia Ma bus makubwa 2 yakitaka kuingia Uwanja wa Mkapa usiku.

Moja likiwa Bus la Simba, lingine likiwa Limejaa Wazee sijui walitoka wapi...! Makomando wa Yanga hawakuwa na tatizo na Bus la Simba, walitaka kujua lile Bus jingine la BM limewabeba kina nani..!? Walipolisogelea lile Bus wakaanza kusikia sauti za Mbuzi na Kondoo ndani ya Bus.... Mgogoro ukaanzia hapo.

Simba Ina Majeruhi 2 wa Wachezaji wa Kikosi Cha kwanza, Camara na Arteba, Wazee wakawaambia Mechi ya Leo tutafungwa lah twende tukaicheze Ile Mechi uwanjani, ikaonekana ni jambo gumu coz Watu wangeona kama wangeenda kufanya Mazoezi mida ya saa 10 jioni.

Wakapata wazo kwamba wataenda kufanya Mazoezi usiku, ili wakati wao wanazuga na Mazoezi, Wazee waendee kuicheza Mechi ya Leo wakiwa pale pale uwanjani.

Kwa vile Simba ni watu sana wanaamini Ushirikina (Rejea tu tukio la Simba kuwasha moto Mechi na Kaizer chief) na Huwa hawana aibu kufanya mambo ya Kishirikina.
Makomando wa Yanga wakakataa kuwaruhusu Simba kuingia Taifa, wakawaambia kama mnataka ingizeni Bus Moja tu lenye Wachezaji, Simba wakakataa wakisema lazima waingize na Bus la Wazee wao wakiwataja kama Mashabiki wao, Makomando wa Yanga wakasema basi Leo hamuingii humu ndani, Simba wakaamua kuondoka.

Wakaenda kufanya Kikao na Wazee wao, Wazee wakawaambia kama kesho mkipeleka Team Kwa maana ya Leo, mnaenda kufa Goli 7, na Kwa vile imeshindikana kwenda kuicheza Mechi sisi wenyewe Taifa, kesho Msipeleke Team uwanjani.

Andikeni malalamiko ili Mechi isogezwe mbele, Majeruhi wetu watakua wamepona, pia matokeo yatabadirika kutegemea na tarehe husika na siku husika...!

Wameandika Barua Bodi ya ligi, mwanzo Bodi ya ligi ilitoa msimamo kwamba Mechi lazima ichezwe, kama Kuna uvunjifu wa kanuni, Team itaadhibiwa Kwa mujibu wa kanuni, lakini Kwa vile Bodi ya ligi inaendeshwa na viongozi wengi wa Simba, wakaamua kukwepesha Kanuni.

Sasa hivi Yanga ipo Taifa inamsubiri Simba, Simba wasipokuja Yanga wanataka point zao 3 na magoli 3.... Wameshasema kama SI Leo hawatacheza Mechi na Simba kwenye Mechi zilizobaki.

Ugomvi ambao Bodi ya ligi wameuanzisha Kwa kukwepesha Kanuni na kusogeza Mechi mbele, hawana uwezo wa kuumaliza Wala TFF haiwezi zaidi ya kupiga Yanga point 3, lah..... Ugomvi utaenda kumalizwa CAF ama FIFA.

Azam inabidi watueleze na kibwagizo Chao Cha matangazo ya Derby....kwamba...

"Hii Derby Haina Kipengele Mtani, Kipengele labda ukilete wewe.....!
Kususia Mechi ya hii kulipagwa zamani.
Mpaka Muda huu...hakuna aliyethibitisha hii habari ya makomandoo..
TFF hakika inapaswa buruzwa kimataifa ikashtakiwe kwa kuahirisha mechi kwa kukubaliana na uoga wa Simba...
 
Nilikuwa nimeshaiona hii dabi kwenye ulimwengu wa roho,kama ingechezwa leo,kwenye macho ya nyama ubao ungesoma yanga 3 na Simba sc 7.
Ulimwengu wako wa kiroho haukutendei haki. Mechi ilichezwa juzi tulishinda magoli zaidi ya 2. Ndiyo maana madunduka ilibidi waicheze usiku wa jana, kuzirudisha kabla ya leo. Huu mchezo hautaki hasira... nawapa jina jipya wakimbizi...
 
Ulimwengu wako wa kiroho haukutendei haki. Mechi ilichezwa juzi tulishinda magoli zaidi ya 2. Ndiyo maana madunduka ilibidi waicheze usiku wa jana, kuzirudisha kabla ya leo. Huu mchezo hautaki hasira... nawapa jina jipya wakimbizi...
Dabi ijayo mtaleta timu uwanjani?
 
Dabi ijayo mtaleta timu uwanjani?
Kwanza tarehe ambayo watapanga ili ichezwe, najitolea kuandamana hakuna kupeleka timu. Hatuwezi kuwa na ligi ya kipumbavu hivi. Kilichofanyika leo ni ujinga uliotukuka.
 
Mimi sio shabiki kindaki ndaki wa mpira lakini kwenye hili suala mashabiki inabidi na wao waoneshe msimamo wao. Wanachotakiwa kufanya ni kutokuingia uwanjani siku mpya ya mechi (itakayopangwa na bodi). Naamini kuna viongozi wa mashabiki wa hivi vilabu viwili, watoe msimamo wao kuwa pesa walizolipia kwenye mchezo huu zitumike kwenye michezo mingine ila sio mchezo mpya wa Yanga na Simba. Wacheze wenyewe uwanjani bila mashabiki na mapato ya uwanjani ili liwe funzo waache kucheza na akili na pesa za mashabiki. Tofauti na hivyo hivi vilabu na hao TFF/Bodi hawataacha huu ujinga kamwe!
Mimi napendekeza Yanga wapigane proxy war.
Wakubali kuingia hasara wawafadhili wafanyabiashara na washabiki waliosafiri kutoka mikoani wafungue kesi ya madai dhidi ya bodi ya ligi walipwe hasara walizopata.
Hii itakua funzo kwao na watakao kuja kughairisha mechi kingesengese kwa kumlinda mtoto mdekaji Dunduka.
 
Jana wote tumeshuhudia Ma bus makubwa 2 yakitaka kuingia Uwanja wa Mkapa usiku.

Moja likiwa Bus la Simba, lingine likiwa Limejaa Wazee sijui walitoka wapi...! Makomando wa Yanga hawakuwa na tatizo na Bus la Simba, walitaka kujua lile Bus jingine la BM limewabeba kina nani..!? Walipolisogelea lile Bus wakaanza kusikia sauti za Mbuzi na Kondoo ndani ya Bus.... Mgogoro ukaanzia hapo.

Simba Ina Majeruhi 2 wa Wachezaji wa Kikosi Cha kwanza, Camara na Arteba, Wazee wakawaambia Mechi ya Leo tutafungwa lah twende tukaicheze Ile Mechi uwanjani, ikaonekana ni jambo gumu coz Watu wangeona kama wangeenda kufanya Mazoezi mida ya saa 10 jioni.

Wakapata wazo kwamba wataenda kufanya Mazoezi usiku, ili wakati wao wanazuga na Mazoezi, Wazee waendee kuicheza Mechi ya Leo wakiwa pale pale uwanjani.

Kwa vile Simba ni watu sana wanaamini Ushirikina (Rejea tu tukio la Simba kuwasha moto Mechi na Kaizer chief) na Huwa hawana aibu kufanya mambo ya Kishirikina.
Makomando wa Yanga wakakataa kuwaruhusu Simba kuingia Taifa, wakawaambia kama mnataka ingizeni Bus Moja tu lenye Wachezaji, Simba wakakataa wakisema lazima waingize na Bus la Wazee wao wakiwataja kama Mashabiki wao, Makomando wa Yanga wakasema basi Leo hamuingii humu ndani, Simba wakaamua kuondoka.

Wakaenda kufanya Kikao na Wazee wao, Wazee wakawaambia kama kesho mkipeleka Team Kwa maana ya Leo, mnaenda kufa Goli 7, na Kwa vile imeshindikana kwenda kuicheza Mechi sisi wenyewe Taifa, kesho Msipeleke Team uwanjani.

Andikeni malalamiko ili Mechi isogezwe mbele, Majeruhi wetu watakua wamepona, pia matokeo yatabadirika kutegemea na tarehe husika na siku husika...!

Wameandika Barua Bodi ya ligi, mwanzo Bodi ya ligi ilitoa msimamo kwamba Mechi lazima ichezwe, kama Kuna uvunjifu wa kanuni, Team itaadhibiwa Kwa mujibu wa kanuni, lakini Kwa vile Bodi ya ligi inaendeshwa na viongozi wengi wa Simba, wakaamua kukwepesha Kanuni.

Sasa hivi Yanga ipo Taifa inamsubiri Simba, Simba wasipokuja Yanga wanataka point zao 3 na magoli 3.... Wameshasema kama SI Leo hawatacheza Mechi na Simba kwenye Mechi zilizobaki.

Ugomvi ambao Bodi ya ligi wameuanzisha Kwa kukwepesha Kanuni na kusogeza Mechi mbele, hawana uwezo wa kuumaliza Wala TFF haiwezi zaidi ya kupiga Yanga point 3, lah..... Ugomvi utaenda kumalizwa CAF ama FIFA.

Azam inabidi watueleze na kibwagizo Chao Cha matangazo ya Derby....kwamba...

"Hii Derby Haina Kipengele Mtani, Kipengele labda ukilete wewe.....!
Kususia Mechi ya hii kulipagwa zamani.
Ngapi ngapi huko?😃😆🤣

Yanga Uto SC vs Yanga Mabaunsa
 
Mimi napendekeza Yanga wapigane proxy war.
Wakubali kuingia hasara wawafadhili wafanyabiashara na washabiki waliosafiri kutoka mikoani wafungue kesi ya madai dhidi ya bodi ya ligi walipwe hasara walizopata.
Hii itakua funzo kwao na watakao kuja kughairisha mechi kingesengese kwa kumlinda mtoto mdekaji Dunduka.
Hakuna sauti mtaacha kutoa vyura nyie🤣😂😁😀😄😃😆😅

Mechi hakuna leo Utopolo nyie
 
Back
Top Bottom