Mtani wetu Simba, hii Derby haina kipengele labda ukilete wewe. Kuna Azam walikijua mapema

Mtani wetu Simba, hii Derby haina kipengele labda ukilete wewe. Kuna Azam walikijua mapema

Walitafuta tu sababu ya kuhairisha mechi waoga sana
 
Utasombwa na maji wewe chura wa kike, tulia na ishia kupiga kelele kama hizi mtani.

Mligomea mechi imesogezwa kwa masaa mawili tu. Leo mnaona Nongwa Mnyama kutimka🤣😂
Kwanza tarehe ambayo watapanga ili ichezwe, najitolea kuandamana hakuna kupeleka timu. Hatuwezi kuwa na ligi ya kipumbavu hivi. Kilichofanyika leo ni ujinga uliotukuka.
 
Kwanza tarehe ambayo watapanga ili ichezwe, najitolea kuandamana hakuna kupeleka timu. Hatuwezi kuwa na ligi ya kipumbavu hivi. Kilichofanyika leo ni ujinga uliotukuka.
🤣🤣🤣

Sawa.
 
Ila hapa naona kama hiyo bodi ya ligi ndio imejaa wapumbavu.
Huwezi ghairi mechi kipumbavu namna hiyo tena masaa machache kabla ya mechi.
Ushauri wangu kwa Yanga ni kwamba kama wasipocheza mechi leo, wagome wasicheze tena. Sijaona sababu zenye mashiko zimetolewa
Mechi itapangwa na msipokuja uwanjani tunabeba point tatu za bure
Ninyi mmeenda uwanjani refa mmemwona?Kama hapakuwa na refa nani kawapa point? 🤣🤣🤣
 
Jana wote tumeshuhudia Ma bus makubwa 2 yakitaka kuingia Uwanja wa Mkapa usiku.

Moja likiwa Bus la Simba, lingine likiwa Limejaa Wazee sijui walitoka wapi...! Makomando wa Yanga hawakuwa na tatizo na Bus la Simba, walitaka kujua lile Bus jingine la BM limewabeba kina nani..!? Walipolisogelea lile Bus wakaanza kusikia sauti za Mbuzi na Kondoo ndani ya Bus.... Mgogoro ukaanzia hapo.

Simba Ina Majeruhi 2 wa Wachezaji wa Kikosi Cha kwanza, Camara na Arteba, Wazee wakawaambia Mechi ya Leo tutafungwa lah twende tukaicheze Ile Mechi uwanjani, ikaonekana ni jambo gumu coz Watu wangeona kama wangeenda kufanya Mazoezi mida ya saa 10 jioni.

Wakapata wazo kwamba wataenda kufanya Mazoezi usiku, ili wakati wao wanazuga na Mazoezi, Wazee waendee kuicheza Mechi ya Leo wakiwa pale pale uwanjani.

Kwa vile Simba ni watu sana wanaamini Ushirikina (Rejea tu tukio la Simba kuwasha moto Mechi na Kaizer chief) na Huwa hawana aibu kufanya mambo ya Kishirikina.
Makomando wa Yanga wakakataa kuwaruhusu Simba kuingia Taifa, wakawaambia kama mnataka ingizeni Bus Moja tu lenye Wachezaji, Simba wakakataa wakisema lazima waingize na Bus la Wazee wao wakiwataja kama Mashabiki wao, Makomando wa Yanga wakasema basi Leo hamuingii humu ndani, Simba wakaamua kuondoka.

Wakaenda kufanya Kikao na Wazee wao, Wazee wakawaambia kama kesho mkipeleka Team Kwa maana ya Leo, mnaenda kufa Goli 7, na Kwa vile imeshindikana kwenda kuicheza Mechi sisi wenyewe Taifa, kesho Msipeleke Team uwanjani.

Andikeni malalamiko ili Mechi isogezwe mbele, Majeruhi wetu watakua wamepona, pia matokeo yatabadirika kutegemea na tarehe husika na siku husika...!

Wameandika Barua Bodi ya ligi, mwanzo Bodi ya ligi ilitoa msimamo kwamba Mechi lazima ichezwe, kama Kuna uvunjifu wa kanuni, Team itaadhibiwa Kwa mujibu wa kanuni, lakini Kwa vile Bodi ya ligi inaendeshwa na viongozi wengi wa Simba, wakaamua kukwepesha Kanuni.

Sasa hivi Yanga ipo Taifa inamsubiri Simba, Simba wasipokuja Yanga wanataka point zao 3 na magoli 3.... Wameshasema kama SI Leo hawatacheza Mechi na Simba kwenye Mechi zilizobaki.

Ugomvi ambao Bodi ya ligi wameuanzisha Kwa kukwepesha Kanuni na kusogeza Mechi mbele, hawana uwezo wa kuumaliza Wala TFF haiwezi zaidi ya kupiga Yanga point 3, lah..... Ugomvi utaenda kumalizwa CAF ama FIFA.

Azam inabidi watueleze na kibwagizo Chao Cha matangazo ya Derby....kwamba...

"Hii Derby Haina Kipengele Mtani, Kipengele labda ukilete wewe.....!
Kususia Mechi ya hii kulipagwa zamani.
Kwa maelezo haya wewe, makomando na viongozi wa Yanga ndiyo washirikina.
Wazee tunaishi nao kila mahali, wazee ndiyo wenye timu za Yanga na Simba iweje leo uwepo wa wazee uhusishe na uchawi?
Ndugu mtoa mada bila shaka unatokea mikoa ile yenye tabia ya kuua wazee.
Muwe na heshima na wazee wetu.
 
Kunywa kinywaji chochote Fanton Mahal msimamo ndiyo huo, wanaahirishaje mechi masaa machache hivi, kabla ya muda wa mechi? Tena hakuna tukio kubwa la kitaifa kusema lipishe. Tutawatagisha hawa, hiyo tarehe wanayopanga wao hatutacheza. walipolalia ndipo tulipoamkia.
Ustaadhat hata wewe unaingia kwenye mkenge wa shirki!?😳
 
Dada simba kawaingiza msomali na gengelake mtegoni kama alivyo taka kumuingiza Rc mwanza ...timu lia lia hii mdebwedo
 
Mimi napendekeza Yanga wapigane proxy war.
Wakubali kuingia hasara wawafadhili wafanyabiashara na washabiki waliosafiri kutoka mikoani wafungue kesi ya madai dhidi ya bodi ya ligi walipwe hasara walizopata.
Hii itakua funzo kwao na watakao kuja kughairisha mechi kingesengese kwa kumlinda mtoto mdekaji Dunduka.
Kabisa maana hiki kitu watu wanakichukulia poa lakini hii tabia itaendelea siku zote hadi siku mashabiki waoneshe umoja na kuziwajibisha hizi timu na hiyo bodi yao. Maana hasara kubwa wanakula mashabiki kuliko hata hizo team. Watu wamelipa nauli/mafuta kwenye magari, wamelipa hotel/lodge, wamelipa kiingilio, wengine wamelipia king’amuzi, wafanyabiashara wameongeza idadi ya vyakula na vinywaji wakitegemea wateja wa mpira kwenye mabaa halafu wajinga flani wanakuja kuahirisha mechi kirahisi tu. Mashabiki inabidi na wao waoneshe msimamo wao na sio kusubiri hizi team ambazo zenyewe zipo kisiasa tu na haziwafikirii mashabiki hata siku moja. Nitaona mashabiki wajinga siku wakiingia uwanjani kwenye mechi mpya!
 
Mechi itapangwa na msipokuja uwanjani tunabeba point tatu za bure
Ninyi mmeenda uwanjani refa mmemwona?Kama hapakuwa na refa nani kawapa point? 🤣🤣🤣
Hapana, mimi sija comment toka pande yoyote kishabiki. Ndio maana sijawalalamikia simba, nime point udhaibu straight kwa bodi ya ligi ambapo kimsingi Ni kama wamewaonea Yanga.
Mfano, hiyo siku ya mechi nyingine na Yanga wakatengeneza zengwe kuwa wamhujumiwa hivyo hawatacheza mechi, je bodi ya ligi watachukua uamuzi gani kuthibitisha hayo madai kama ambavyo hawajachukua hatua yotote ya maana kuthibitisha claims za Simba whether are valid or not???

Vipi na azam nao wakaja na ujinga kama huu na timu zingine pia, huoni kama bodi itakua ime play part pakubwa sana kuharibu ligi??

Simba hawakuandika barua yoyote kutoa taarifa kiofisi kuwa wamehujumiwa.
Bodi haijachukua hatua zozote za kiuchunguz kuthibitisha madai ya simba ili kuchukua hatua.
Yanga hawajapewa taarifa yoyote kiofisi kuhusu kughairishwa kwa mchezo,
Huoni this whole ambiguity circumstance ilivyo juu chini ,chini juu??

Hapa Yanga wameonewa, black n white bila kujali ushabiki.
Bodi ya ligi wameboronga
Na simba ndio chanzo cha tatizo
Period
 
NAJIULIZA TU HIVI MAKOMQNDOO WA YANGA WANGEACHA SHOBO NA KIHEREHELE CHA KUFANYA VURUGU KWA MSAFARA WA SIMBA LEO TUNGEFIKA HUKU??

KWA WANAODAI SIMBA ALITAFUTA SABABU BASI NA YANGA WAMEINGIA KWENYE MTEGO KWA HILI YANGA WAMEPUYANGA
 
Jana wote tumeshuhudia Ma bus makubwa 2 yakitaka kuingia Uwanja wa Mkapa usiku.

Moja likiwa Bus la Simba, lingine likiwa Limejaa Wazee sijui walitoka wapi...! Makomando wa Yanga hawakuwa na tatizo na Bus la Simba, walitaka kujua lile Bus jingine la BM limewabeba kina nani..!? Walipolisogelea lile Bus wakaanza kusikia sauti za Mbuzi na Kondoo ndani ya Bus.... Mgogoro ukaanzia hapo.

Simba Ina Majeruhi 2 wa Wachezaji wa Kikosi Cha kwanza, Camara na Arteba, Wazee wakawaambia Mechi ya Leo tutafungwa lah twende tukaicheze Ile Mechi uwanjani, ikaonekana ni jambo gumu coz Watu wangeona kama wangeenda kufanya Mazoezi mida ya saa 10 jioni.

Wakapata wazo kwamba wataenda kufanya Mazoezi usiku, ili wakati wao wanazuga na Mazoezi, Wazee waendee kuicheza Mechi ya Leo wakiwa pale pale uwanjani.

Kwa vile Simba ni watu sana wanaamini Ushirikina (Rejea tu tukio la Simba kuwasha moto Mechi na Kaizer chief) na Huwa hawana aibu kufanya mambo ya Kishirikina.
Makomando wa Yanga wakakataa kuwaruhusu Simba kuingia Taifa, wakawaambia kama mnataka ingizeni Bus Moja tu lenye Wachezaji, Simba wakakataa wakisema lazima waingize na Bus la Wazee wao wakiwataja kama Mashabiki wao, Makomando wa Yanga wakasema basi Leo hamuingii humu ndani, Simba wakaamua kuondoka.

Wakaenda kufanya Kikao na Wazee wao, Wazee wakawaambia kama kesho mkipeleka Team Kwa maana ya Leo, mnaenda kufa Goli 7, na Kwa vile imeshindikana kwenda kuicheza Mechi sisi wenyewe Taifa, kesho Msipeleke Team uwanjani.

Andikeni malalamiko ili Mechi isogezwe mbele, Majeruhi wetu watakua wamepona, pia matokeo yatabadirika kutegemea na tarehe husika na siku husika...!

Wameandika Barua Bodi ya ligi, mwanzo Bodi ya ligi ilitoa msimamo kwamba Mechi lazima ichezwe, kama Kuna uvunjifu wa kanuni, Team itaadhibiwa Kwa mujibu wa kanuni, lakini Kwa vile Bodi ya ligi inaendeshwa na viongozi wengi wa Simba, wakaamua kukwepesha Kanuni.

Sasa hivi Yanga ipo Taifa inamsubiri Simba, Simba wasipokuja Yanga wanataka point zao 3 na magoli 3.... Wameshasema kama SI Leo hawatacheza Mechi na Simba kwenye Mechi zilizobaki.

Ugomvi ambao Bodi ya ligi wameuanzisha Kwa kukwepesha Kanuni na kusogeza Mechi mbele, hawana uwezo wa kuumaliza Wala TFF haiwezi zaidi ya kupiga Yanga point 3, lah..... Ugomvi utaenda kumalizwa CAF ama FIFA.

Azam inabidi watueleze na kibwagizo Chao Cha matangazo ya Derby....kwamba...

"Hii Derby Haina Kipengele Mtani, Kipengele labda ukilete wewe.....!
Kususia Mechi ya hii kulipagwa zamani.
Utoto tu umeandika
 
KATIKA MAISHA YAKO OGOPA SANA KUWA JINGA NA LI PUMBAVU.

Kanuni inaitaka timu ngeni Iende ikafanye mazoezi uwanjani siku moja kabla ya mchezo .

Haijalishi waende na.
Mabasi hamsini.
Kuku.
Ngombe.
Kufuturu.
Kusali.
Chochote wana uhuru wa Kukifanya.

Nakushauri ukimbie Ujinga Uogope Upumbavu.
Inasikitisha Mno kulilia Upumbavu.

Fikicha akili
 
Back
Top Bottom