Mtanzania Abdulrazak Gurnah ashinda Tuzo ya Nobel katika Fasihi

Mtanzania Abdulrazak Gurnah ashinda Tuzo ya Nobel katika Fasihi

Wewe ni mtanzania wa kuzaliwa au mhamiaji haramu?

Mimi si Mtanzania ni Mzanzibari niliyevamiwa na Tanganyika 1964. Mtanganyika ( Mtanzania ) ananilazimisha niuchukuwe Lakini one day yes tutamwachia mwenyewe
 
Tz hatuna uraia pacha mtu ameishi huko miaka yote hadi kuwa prof. Eti mnajitapa mtanzania ukiulizwa hata kitabu chake kimoja ushawahi kukiona utatoa mimacho tu
Mkuu hapa tunazungumzia uraia wa Tanzania kwa Ptof. Gurnah. Hakuna uraia pacha. Kuishi Uingereza hakumuondolei mtu uraia. Kambona alikaa Uingereza miaka mingi sijasikia na sitosikia akiambiwa sio raia. Ukipenda boga upende na mti wake.
 
Mkuu hapa tunazungumzia uraia wa Tanzania kwa Ptof. Gurnah. Hakuna uraia pacha. Kuishi Uingereza hakumuondolei mtu uraia. Kambona alikaa Uingereza miaka mingi sijasikia na sitosikia akiambiwa sio raia. Ukipenda boga upende na mti wake.
Kambona kwani alikuwa na passport ya Uingereza vile ??
 
Sio mtanzania ni muingereza mwenye asili ya Tz na kwenye tuzo hiyo kaiwakilisha Uingereza sio Tz.
 
Sio mtanzania ni muingereza mwenye asili ya Tz na kwenye tuzo hiyo kaiwakilisha Uingereza sio Tz.
Ametangaziwa na Kamati ya Nobel prize kama amezaliwa Zanzibar sasa kama wengine wanampakazia u Tanganyika / utanzania kazi kwenu
 
Mkuu habari hapa ilikuwa huyu Prof. Kaishi Uingereza na kafundisha huko. Mwingine akauliza kuishi kote huko Bado ni Mtanzania? Mimi nikajibu ni Mtanzania ikiwa hajaukana Utanzania. Sasa swala la paspoti labda wewe sasa uthibitishe kwamba anayo paspoti ya Uingereza. Ikitokea anayo sheria ya uraia Iko wazi
 
Mimi si Mtanzania ni Mzanzibari niliyevamiwa na Tanganyika 1964. Mtanganyika ( Mtanzania ) ananilazimisha niuchukuwe Lakini one day yes tutamwachia mwenyewe

Kumbe wewe ndio mtu wa aina hiyo? Nikuache tuu maana hakuna kitu unajua wala unaweza jua
 
Siku za karibuni tunataraji kupata tuzo nyingine kutoka kwa mtanzania mwenzetu aishie ubelgiji,
 
Kumbe wewe ndio mtu wa aina hiyo? Nikuache tuu maana hakuna kitu unajua wala unaweza jua
Ni kweli ninachojua ni risasi na bakora Za kulazimishwa niwe M tanganyika kwa jina la Tanzania Na Muungano kila siku Za uchafuzi unaoitwa uchaguzi
 
Ni kweli ninachojua ni risasi na bakora Za kulazimishwa niwe M tanganyika kwa jina la Tanzania Na Muungano kila siku Za uchafuzi unaoitwa uchaguzi
😏😏😏
 
Ametangaziwa na Kamati ya Nobel price kama amezaliwa Zanzibar sasa kama wengine wanampakazia u Tanganyika / utanzania kazi kwenu
kb.jpg
 
Mkuu habari hapa ilikuwa huyu Prof. Kaishi Uingereza na kafundisha huko. Mwingine akauliza kuishi kote huko Bado ni Mtanzania? Mimi nikajibu ni Mtanzania ikiwa hajaukana Utanzania. Sasa swala la paspoti labda wewe sasa uthibitishe kwamba anayo paspoti ya Uingereza. Ikitokea anayo sheria ya uraia Iko wazi

Mimi ninavyohisi Na nilivyoambiwa Na watu wa Familia yake ni kuwa Si Mtanzania Na Huo ni sababu Moja iliyomfanya aukimbie
 
Mimi ninavyohisi Na nilivyoambiwa Na watu wa Familia yake ni kuwa Si Mtanzania Na Huo ni sababu Moja iliyomfanya aukimbie
Mkuu ikiwa jamaa zake wanasema hivyo Sina ubishi na hilo ila wkt mwingine watu wetu hawajui sheria.
 
8 Oct 2021

Tanzanian novelist Abdulrazak Gurnah wins Nobel Prize in Literature



72-year-old Tanzanian novelist Abdulrazak Gurnah has won the Nobel Literature Prize for a body of work that focuses on the effects of colonialism and the fate of refugees. Ethiopian author Maaza Mengiste weighs in..
Source : TRT World Now
 
Kwa hiyo kama wewe hujafaidika na unaichukia CCM ndio unaichukia Tanzania!? Na unataka na Abdulrazak aichukie!?

Mwenzio yeye anaipenda Tanzania na anajivunia kutambulika hivyo. Na tuzo aliyoipata ni moja ya faida kubwa kutokana na kutambulika kama mtanzania

Tujifunze kuona fursa na kupunguza lawama, tukifanikiwa hapo tunaweza pata mazuri toka hata kile wengine wanaokiona hakifai
Mimi ni mtanzania, naipenda nchi yangu, nasikitika tu kwamba kuna kikundi cha magaidi wanaojiita ccm wanaididimiza nchi hii kwenye lindi la ufukara.
Unasema "sababu naichukia ccm, basi naichukia Tanzania" wewe ni mtu wa ajabu! Kuichukia ccm ni kuichukia Tanzania? Kwa hiyo ccm = Tanzania ?

Umesahau hii ni nchi ya Demokrasia ya vyama vingi? Ccm ni chama tu, kinaweza kikafa kama vyama vingine, na kwa kweli kilishakufa. Kinajiegemeza kwenye Dola tu. Kikiachia dola tu wala moshi wake hautauona. Na ndo mana wanaamua kuwa wezi wa kura.
Sina tatizo na "utanzania" wa huyo mshindi wa Nobel. Tatizo langu ni kuihusisha ccm na huu ushindi. Hujanipa hoja hata moja kuhusu hilo.
 
Back
Top Bottom