TANZIA Mtanzania Abraham Mgowano aliyeajiriwa na Google afariki dunia kwa kuanguka kwenye Boti na kuzama

...[emoji26]...Hakuna Mchezo mchafu kweli Hapo ? Watu 12 Wakishinda kumuokoa mwenzao mmoja ?....[emoji848]
 
Stori yake ni sawa na ile ya mwanariadha wa Kenya Kelvin Kiptum Cheruiyot aliyefariki kwenye ajali ya gari, Very young kabla hajafaidi matunda ya kazi yake...

Graveyard is full of unaccomplished dreams...
Hii habari imenisikitisha sana sana😭😭
 

Miafrika bana. Akili zimekabaa backwards tu. Sababu za kijinga jinga kama hizi ndo serikali zenu zinatoa kuwachota akili badala ya uwajibikaji.
 
Mliokuwa mnauliza tanzania one wako wapi? Majibu yanakuja polepole
80% ya waalimu vyuo vikuu, taasisi za serikali, mashirika ya kimataifa na makampuni binafsi hasa hasa zile idara zinazohitaji vichwa vilivyotulia kama utafiti mara nyingi sana huwa utawakuta wanafunzi waliofanya vizuri sana kitaifa.

Nakumbuka pale benki kuu (BoT) kurugenzi ya uchumi na utafiti iliwahi kuwa na wachumi pamoja na wataalamu wa fedha zaidi ya 30
ambao miaka yao walipokuwa wanamaliza f6 walikuwa wanafunzi bora kitaifa kuanzia mwaka 1989 (John Mtui) mpaka 2006 (Mosses Mwizarubi).
 
Naona player haters washaanza kuwasigolea [emoji1]

Ova
Ndio hivyo mkuu, wabongo wengi wao wana roho za husda, na wanajua kubeba box basi ni hizo kazi tu na kusikia huyo alikua Google basi wanaona ndio alikua top of all the people in USA. Hawajui kua kuna watu wanafanya kazi kwenye mashirika makubwa hata huko africa hawayajui na wanalipwa mpunga wa kutosha. Na wamekazana ooh rudi bongo, ukiwauliza bongo kuna nini ?? hamna kitu hawajui wengine tuliondoka kuja kuishi ughaibuni.Kuendesha magari na nyumba tumejenga kitambo sana na pesa za Long room.
RIP Mgowano.
 
Nikawaida na desturi ya sisi waTanzania kutoa mkono wa pole mkuu, kama huko kwenu Canada hamna utaratibu huo basi nisawa.
Nashukuru kunitabiria U Canada ingawa siutaki uraia wa Canada. Bado sijatoka nje ya bara la Afrika mkuu, ila naamini "one day yes". Canada lazima nifike.

Weka namba yako ya simu "watakaoguswa" wakarushie chochote. Watakaoguswa tu lakini. Mimi niondoe kwenye listi ya "watakaoguswa"
 
Kimara sehemu gani Mkuu??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…