GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,189
- 10,375
Hata wewe mkuu unaamini hivyo?Washamroga,Wabongo nuksi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata wewe mkuu unaamini hivyo?Washamroga,Wabongo nuksi
Kwenye ajali hiyo, je ni yeye peke yake aliyeangukia kwenye maji? Wenzake walinusurikaje?View attachment 2918748
View attachment 2918751
MAREKANI: Mwili wa Mtanzania Abraham Mgowano aliyekuwa akiishi na kufanya kazi katika Kampuni ya Google kama Mhandisi wa Programu Endeshi (Software Engineer) umepatikana ukielea katika Mto Miami jijini Florida baada ya kuanguka kwenye 'Boti'.
View attachment 2918766
Abraham aliripotiwa kupata ajali Februari 24, 2024 akiwa na wenzake 12 pamoja na Kapteni wa Boti hiyo. Polisi walianza kumtafuta kwa kutumia Boti nyingine na Helikopta bila mafanikio hadi walipopata taarifa za kupatikana kwa mwili huo ukielea Februari 27, 2024.
Kwa mujibu wa taarifa, Abraham alikuwa Mfanyakazi wa Google kwa miaka 9 baada ya kuwa mmoja wa Wanafunzi bora kutoka Chuo Kikuu cha Stanford. Baadaye aliajiriwa kama Mshauri wa Masuala ya Kompyuta chuoni hapo kwa mwaka mmoja.
Aidha, Mtanzania huyo alikuwa kati ya Wanafunzi Bora 12 waliofaulu vizuri Mtihani wa Kidato cha 4 mwaka 2007 ambapo walipata nafasi ya kukutana na kupongezwa na Rais Jakaya Kikwete.
========
The body of a California man who fell from a chartered yacht making its way up the Miami River over the weekend was found floating in the water Tuesday, according to police.
Abraham Mgowano, 35, had been missing since falling from the 44-foot Sea Ray cabin cruiser around 2:30 p.m. Saturday as it headed westbound on the river near Lummus Park.
While confirming the Berkeley, California native’s body had been found, police with the Florida Fish and Wildlife Conservation, the lead agency investigating the case, did not release details about where Mgowano’s corpse was discovered nor who found him.
The 12 other people on the boat told investigators they saw him go overboard and never resurface, according to the initial incident report released by the FWC.
The report states the boat operator, Eddy Espinosa Hernandez, 39, was a captain hired by the passengers. He could not be reached for comment. Police noted in their report that he “showed no signs of impairment.”
The Coast Guard suspended its search for Mgowano around 8:15 p.m. Saturday after finding no signs of him.
The hunt on the river spanned from the Flagler Street and 7th Avenue bridges, as well as the nearby coastline, said Petty Officer 2nd Class Diana Sherbs, a Coast Guard spokeswoman.
Fish and Wildlife officers and officers with the city of Miami and Miami-Dade County continued their search this week.
“Our thoughts are with Mr. Mgowano’s friends and family during this difficult time,” the FWC said in a statement. “This is an active investigation.”
CBS NEWS
Sure, alikuwa High. wala siyo hujuma hizi wabongo wanajaribu kuanza kutengeneza. Ni ajali kama ajali zingine ukichangia pia kuwa tayari alishakuwa tungi.Wabongo kwa conclusion tu, Huyo jamaa kaanguka itakua ajali kama ajali zingine tu za majini. Video zake tumeziona akiwa kwenye hio Yatch alikua anaonekana yupo high inaonekana alipata ugimbi kidogo. Anyway siku yake ilifika maana vifo vya maji uwa ni vigumu sana.
Alinibrush geogy zile calc za time zones 😄 kipindi niko f1Ulisema ni "kaka" yako mkuu. Kumbuka alivyokuwa akiwasaidia "namba".
Ni Kimara Baruti,kama unaelekea Mbezi upande wa kushoto, then unazama bondeni chini chini kule ndio home kwaoKimara sehemu gani Mkuu??
Yatch party za bongo si mnaona wanavyokula bata kina gigy..sasa mtu alewe aanguke kwenye maj na bado muanze lawama jaman.dahKwa safety measures za mambelez inawezekana kweli wakapanda boat bila life jackets? Pole kwa familia ya mwamba!!
Asante Mkuu nashukuru kwa kunipa direction.. Hapana hakuwa na bifu na mtu, ni ajali tu kama ajali zingine maana alikuwa ameonja pombe kidogo.Ni Kimara Baruti,kama unaelekea Mbezi upande wa kushoto, then unazama bondeni chini chini kule ndio home kwao
Nyumba nzima Manchester United kuanzia maza,dingi,watoto,etc..very humble people,watoto wapole na wachangamfu hasa yule bro wao Alex....
Marehemu genius ndio alikua the most quiet one than all three...ni maajabu nije nisikie kuna mzungu alikua na beef nae,so strange
Ila huu msiba mimi personally umeniuma,maana wale machalii nawajua tangu wakiwa sekondari,halafu watu wa maana wasio na tatizo na wanadamu ndio wanasepaga
Ni sawaAsante Mkuu nashukuru kwa kunipa direction.. Hapana hakuwa na bifu na mtu, ni ajali tu kama ajali zingine maana alikuwa ameonja pombe kidogo.
SaSa kama kupata ka tempo hata kwenye ka NGO Hadi uwe CHAWA sijui Kunguni hata angekuwa wewe ungebaki hukohuko sidhani kama Kuna mtu hapa tz alikuwa anakaribia salary yake ukimuondoa managing director wa GGMWatu potential wa taifa wanaenda kufanya KAZI Marekani , sisi kama taifa mnaturudishia mwili Kuzika
Anamaanisha asimamiwe na mjingaKwani ana shida gani?
Kumbe wana mambo za kiswahili!?Ni sawa
Ngoja tuone familia yao ije America walalamike wapewe official investigation halafu tuone results
Inawezekana ikawa ajali kweli bila tatizo,ila kwa jinsi wazungu walivyo very sneaky,nina wasiwasi..
Niko nao huku hawa wehu,umenunua nyumba mtaa wao tu wanaanza vikao
Wewe mtu anakuta sandwitch yake home imeungua kwenye oven anabeba semi-auto Uzi machine-gun anashoot shule ya msingi kuanzia getini hadi madarasani....wale jamaa ni wehu aisee
View attachment 2918748
View attachment 2918751
MAREKANI: Mwili wa Mtanzania Abraham Mgowano aliyekuwa akiishi na kufanya kazi katika Kampuni ya Google kama Mhandisi wa Programu Endeshi (Software Engineer) umepatikana ukielea katika Mto Miami jijini Florida baada ya kuanguka kwenye 'Boti'.
View attachment 2918766
Abraham aliripotiwa kupata ajali Februari 24, 2024 akiwa na wenzake 12 pamoja na Kapteni wa Boti hiyo. Polisi walianza kumtafuta kwa kutumia Boti nyingine na Helikopta bila mafanikio hadi walipopata taarifa za kupatikana kwa mwili huo ukielea Februari 27, 2024.
Kwa mujibu wa taarifa, Abraham alikuwa Mfanyakazi wa Google kwa miaka 9 baada ya kuwa mmoja wa Wanafunzi bora kutoka Chuo Kikuu cha Stanford. Baadaye aliajiriwa kama Mshauri wa Masuala ya Kompyuta chuoni hapo kwa mwaka mmoja.
Aidha, Mtanzania huyo alikuwa kati ya Wanafunzi Bora 12 waliofaulu vizuri Mtihani wa Kidato cha 4 mwaka 2007 ambapo walipata nafasi ya kukutana na kupongezwa na Rais Jakaya Kikwete.
========
The body of a California man who fell from a chartered yacht making its way up the Miami River over the weekend was found floating in the water Tuesday, according to police.
Abraham Mgowano, 35, had been missing since falling from the 44-foot Sea Ray cabin cruiser around 2:30 p.m. Saturday as it headed westbound on the river near Lummus Park.
While confirming the Berkeley, California native’s body had been found, police with the Florida Fish and Wildlife Conservation, the lead agency investigating the case, did not release details about where Mgowano’s corpse was discovered nor who found him.
The 12 other people on the boat told investigators they saw him go overboard and never resurface, according to the initial incident report released by the FWC.
The report states the boat operator, Eddy Espinosa Hernandez, 39, was a captain hired by the passengers. He could not be reached for comment. Police noted in their report that he “showed no signs of impairment.”
The Coast Guard suspended its search for Mgowano around 8:15 p.m. Saturday after finding no signs of him.
The hunt on the river spanned from the Flagler Street and 7th Avenue bridges, as well as the nearby coastline, said Petty Officer 2nd Class Diana Sherbs, a Coast Guard spokeswoman.
Fish and Wildlife officers and officers with the city of Miami and Miami-Dade County continued their search this week.
“Our thoughts are with Mr. Mgowano’s friends and family during this difficult time,” the FWC said in a statement. “This is an active investigation.”
CBS NEWS
Anawakilisha taifa kwani taifa lilimpelekaMtu unajuwa unaliwakilisha taifa kwenye kampuni kubwa alfu unakwenda kucheza mtoni na kujirusha
Ni hasara Sana hii
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Taifa lako linawakilishwa na wakina bblevel mwijk huko njeMtu unajuwa unaliwakilisha taifa kwenye kampuni kubwa alfu unakwenda kucheza mtoni na kujirusha
Ni hasara Sana hii
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Pole sana home boyNi Kimara Baruti,kama unaelekea Mbezi upande wa kushoto, then unazama bondeni chini chini kule ndio home kwao
Nyumba nzima Manchester United kuanzia maza,dingi,watoto,etc..very humble people,watoto wapole na wachangamfu hasa yule bro wao Alex....
Marehemu genius ndio alikua the most quiet one than all three...ni maajabu nije nisikie kuna mzungu alikua na beef nae,so strange
Ila huu msiba mimi personally umeniuma,maana wale machalii nawajua tangu wakiwa sekondari,halafu watu wa maana wasio na tatizo na wanadamu ndio wanasepaga
Yacht party siku hizi zmevamiwaYatch party za bongo si mnaona wanavyokula bata kina gigy..sasa mtu alewe aanguke kwenye maj na bado muanze lawama jaman.dah
Pole tuipeleke kwa wenye familia mkuuPole sana home boy
Ova
I'm sorry I didn't determined to write what I did so I deleted it, so you may did the same where you have quoted.
Thank u
Wehu waleKumbe wana mambo za kiswahili!?