Lucas de Mwashambwa hii inakuhusu.Kheri alijitambua mapema kabla ya viongozi wa CCM kumpa masifa wamharibie maisha kwa kumgeuza chawa!
Lucas mwashambwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lucas de Mwashambwa hii inakuhusu.Kheri alijitambua mapema kabla ya viongozi wa CCM kumpa masifa wamharibie maisha kwa kumgeuza chawa!
Huyu marehemu ni kijana mdogo,Kiranga ni wa 1970sJamani isijekua ni kiranga wa JF. Vp ameonekana online siku hizi za karibuni.
Ni ukweli mtupu. Huku tunaachiwa Div 0 waongoze nchi kingosha ngosha. Mtu mmoja anazunguka nchi nzima eti kutatua matatizo ya Wananchi kama vile hakuna MaDc au RCs.Watu potential wa taifa wanaenda kufanya KAZI Marekani , sisi kama taifa mnaturudishia mwili Kuzika
Kanashinda nyumbani kwa gagula kama kalinzi kake.
Sawa classmate....😜Utaogopesha watu sasa!
Hayati Lowassa alikuwa classmate wako!
Huyu naye ambaye kiumri, yeye na Lowassa ni sawa na mtu na baba yake pia ni classmate wako?
Inamaanisha watu wote maarufu ni maclassmate wako?
Au ni ile "class" nyingine?
Kula chuma hiyo ya BobUkiwa na fikra hii kwamba "vile ni mweusi" basi chochote kile kinachompata mweusi basi kafanyiwa na mweupe😁 huu ugonjwa mbaya sana.
Pengine kavumbua kitu bora zaidi hapo google na vile ni mweusi wamemzimisha na uvumbuzi wake wamepita nao, dunia hakuna wa kumwamini.
Kiranga 😀Huyu marehemu ni kijana mdogo,Kiranga ni wa 1970s
Ni kwa sababu ya hila zao.Ukiwa na fikra hii kwamba "vile ni mweusi" basi chochote kile kinachompata mweusi basi kafanyiwa na mweupe😁 huu ugonjwa mbaya sana.
Baba Mluguru mama MpareUkichunguza Abraham mgowano vizuri, unaweza kuta ni mchaga
Mbona huyo mbongo na katoboa?Wanafeli maisha bongo kwa sababu bongo wanaangalia unamjua nani
Kuna mtu humu alikuwa anakuletea ndy sivyo,Kiranga Shogun.
RIP.
Ana mdogo wake wa kike nadhani naye alienda Yale univ.Baba Mluguru mama Mpare
Watoto watatu wote hawajawahi jua B,wanajua A tu.
Their dad is the smartest guy ever in TZ
Rest easy young man....shout out to his bro nigga Alex and the family..so so sad man!
Its not what you know, its who you know....au sio!!!?Wanafeli maisha bongo kwa sababu bongo wanaangalia unamjua nani
The reports of my death are greatly exaggerated.Kuna mtu humu alikuwa anakuletea ndy sivyo,
Ova
MashaAllah na pesa pia wanayoAna mdogo wake wa kike nadhani naye alienda Yale univ.
Mwamba si mchezoukisoma secondary 2001 unamaliza 2008 kilichonishangaza ni mwamba kua na miaka 34 wakati miambo wote tuliomaliza huo mwaka mwaka kesho tunakua watu wa makamo kamili team 40 mwenzetu alituzunguka akaingia form one na miaka kumi