TANZIA Mtanzania Abraham Mgowano aliyeajiriwa na Google afariki dunia kwa kuanguka kwenye Boti na kuzama

TANZIA Mtanzania Abraham Mgowano aliyeajiriwa na Google afariki dunia kwa kuanguka kwenye Boti na kuzama

Ukiwa na fikra hii kwamba "vile ni mweusi" basi chochote kile kinachompata mweusi basi kafanyiwa na mweupe😁 huu ugonjwa mbaya sana.
Kula chuma hiyo ya Bob

(Na-na-na-na-na!) Na-na-na, na-na-na na!
We're the survivors
In this age of technological inhumanity (Black survival)
Scientific atrocity (survivors)
Atomic mis-philosophy (Black survival)
Nuclear mis-energy (survivors):
It's a world that forces lifelong insecurity (Black survival)

Together now:
(Na-na-na-na-na!) Na na-na na na! (Na na-na na na!)
We're the survivors, yeah!
We're the survivors!
Yes, the black survivors!
We're the survivors:
A good man is never honoured (survivors)
In his own country (Black survival)
Nothing change, nothing strange (survivors)
Nothing change, nothing strange (Black survivors)
We got to survive, y'all! (survivors)
 
Ukiwa na fikra hii kwamba "vile ni mweusi" basi chochote kile kinachompata mweusi basi kafanyiwa na mweupe😁 huu ugonjwa mbaya sana.
Ni kwa sababu ya hila zao.
Weusi wenye asili ya pale wanabaguliwa waziwazi ndio ije aliyetoka shit country.
Kuna namna......
 
ukisoma secondary 2001 unamaliza 2008 kilichonishangaza ni mwamba kua na miaka 34 wakati miambo wote tuliomaliza huo mwaka mwaka kesho tunakua watu wa makamo kamili team 40 mwenzetu alituzunguka akaingia form one na miaka kumi
Mwamba si mchezo
 
Back
Top Bottom