Kuna watoto walio na dependency mindset kama walio soma EMs. Huko EMs kila kitu wanatafuniwa . Kayumba mtoto anajifunza kuwa fighter kuanzia darasa la kwanza . Anaanza kujifunza uhalisia wa maisha kuanzia darasa la kwanza. Hakuna mtu anae mpetipeti tofauti na huko EMs walimu wana show fake love to your childrenHauko sahihi elimu ya Tanzania sio job creater ila ni job seekers.....tena ya serikali ndo worse ata ile confidence hawana akili za mtoto alie malizia kwenye shule za sarikali zina ile dependence sydrome hawawezi maisha ya kujitegemea bila msaada wa serikale.
Hujui unachoongoe Kila mahali mtu unakuwa inatakiwa ku perform vizuri sana bila kujali ni ndani ya nchi iwe kijijini au popoteHizi shule zetu za kingereza nikwajili ya kufanya vizuri tu mitihani ya hapa kwetu. Hakuna cha ziada.
Unamkuza mtoto kuliko uwezo wakeKuna watoto walio na dependency mindset kama walio soma EMs. Huko EMs kila kitu wanatafuniwa . Kayumba mtoto anajifunza kuwa fighter kuanzia darasa la kwanza . Anaanza kujifunza uhalisia wa maisha kuanzia darasa la kwanza. Hakuna mtu anae mpetipeti tofauti na huko EMs walimu wana show fake love to your children
Kwanini Kayumba watoto hawafundishwi? Mimi sizungumzii kutaguniwa huko mkuuUnamkuza mtoto kuliko uwezo wake
Kutafuniwa Hadi chuo kikuu kupo digrii ya kwanza eneo pekee analoachiwa ni eneo la research kumzoeza kidogo kidogo kufanya research
Masters degree inakuwa nusu Kwa nusu kutafuniwa asilimia hamsini research asilimia 50
PhD kutafuniwa yaweza kuwa zero au percent ndogo sana
Mtoto wa sekondari kayumba kumgeuza sawa na mtu anasoma PhD akomae ajitafutie mwenyewe bila kutafuniwa ni uonezi wa Hali ya juu hajafikia kiwango hicho Kwa umri wake.Akili ya mtoto inatakiwa kukua slowly gradually
Mbona sijaona taarifa ya Shule walizo soma au wewe umejiongezaSimsomeshi mwanangu ili baadae aje kuwa ananipa hela. La hasha! Ninamsomesha mtoto wangu ili aweze kupata uwezo wa kujitegemea mwenyewe na kuwa responsible member of a society.
Kuwa responsible member of a society ni pamoja na kuwa useful to his or her parents or siblings in time of need like what happened to Mr.Ibu.
Watoto wake walicho takiwa kufanya ni kusimamia zoezi zima la matibabu ya baba yao.
Now see what they have done. What if kama Mr Ibu ali spend mamilioni kwenye "elimu" ya watoto wake? Probably atakuwa anatamani siku zirudi nyuma na atajilaumu why did he stress himself to pay his hard earned millions for his kids so called " education" only for them to prove their uselessness at the time when they had only one option and that is to be useful to their father.
What if kama angekuwa amewasomesha kwenye shule za serikali ambazo hazina gharama? Asinge regret sana kwa sababu asingekuwa amejistress kulipa ada ili watoto wake wasomee ujinga.
Kwako Wewe masikini wa kitanzania unae jaribu kuficha umasikini wako kwa ndugu jamaa na marafiki zako kupitia kuwasomesha watoto wako kwenye shule za English Mediums, take note. Kilicho mtokea Mr.Ibu kinaweza kukutokea hata wewe kwa namna moja ama nyingine.
Don't stress yourself. Soemsha watoto wako kwenye shule ambazo hazitakupa stress ya kulipa ada( kayumba)..
Usi idhulumu nafsi yako. Upo tayari kumlipa kila mtu kuanzia mmiliki wa shule anayo soma mtoto wako lakini wewe mwenyewe unashindwa kujilipa. Usisahau kujilipa mkuu kwa sababu eti unalipa mamilioni kwenye shule za EM. Acha huo utoto. Eat ur money. U only live once.Jiwekee akiba yako ya baadae. Watoto wako wasimamie kwenye hizo hizo Kayumba watafaulu tu kama wanavyo faulu watoto wengine kwenye shule za Kayumba ambao wamepata division one Kali tu ilhali watoto wengine kwenye shule za private wana 3na 4 na 0 na walisoma English Mediums.
Elimu haipaswi kuwa biashara inapaswa kuwa huduma.
Kifupi Mzazi kuwa bahili Kila eneo unaloliwaza kichwani ila kwenye eneo la elimu nzuri ya watoto ubahili upige full stop na uukemee Kwa jina la Yesu utokeKwanini Kayumba watoto hawafundishwi? Mimi sizungumzii kutaguniwa huko mkuu
Kila mzazi asome huu ujumbe .Kifupi Mzazi kuwa bahili Kila eneo unaloliwaza kichwani ila kwenye eneo la elimu nzuri ya watoto ubahili upige full stop na uukemee Kwa jina la Yesu utoke
Yan mtoa post tafsiri yako ni sawa na kutuambia "tusipande daladala kwasbb tunaeza kupata ajali"Simsomeshi mwanangu ili baadae aje kuwa ananipa hela. La hasha! Ninamsomesha mtoto wangu ili aweze kupata uwezo wa kujitegemea mwenyewe na kuwa responsible member of a society.
Kuwa responsible member of a society ni pamoja na kuwa useful to his or her parents or siblings in time of need like what happened to Mr.Ibu.
Watoto wake walicho takiwa kufanya ni kusimamia zoezi zima la matibabu ya baba yao.
Now see what they have done. What if kama Mr Ibu ali spend mamilioni kwenye "elimu" ya watoto wake? Probably atakuwa anatamani siku zirudi nyuma na atajilaumu why did he stress himself to pay his hard earned millions for his kids so called " education" only for them to prove their uselessness at the time when they had only one option and that is to be useful to their father.
What if kama angekuwa amewasomesha kwenye shule za serikali ambazo hazina gharama? Asinge regret sana kwa sababu asingekuwa amejistress kulipa ada ili watoto wake wasomee ujinga.
Kwako Wewe masikini wa kitanzania unae jaribu kuficha umasikini wako kwa ndugu jamaa na marafiki zako kupitia kuwasomesha watoto wako kwenye shule za English Mediums, take note. Kilicho mtokea Mr.Ibu kinaweza kukutokea hata wewe kwa namna moja ama nyingine.
Don't stress yourself. Soemsha watoto wako kwenye shule ambazo hazitakupa stress ya kulipa ada( kayumba)..
Usi idhulumu nafsi yako. Upo tayari kumlipa kila mtu kuanzia mmiliki wa shule anayo soma mtoto wako lakini wewe mwenyewe unashindwa kujilipa. Usisahau kujilipa mkuu kwa sababu eti unalipa mamilioni kwenye shule za EM. Acha huo utoto. Eat ur money. U only live once.Jiwekee akiba yako ya baadae. Watoto wako wasimamie kwenye hizo hizo Kayumba watafaulu tu kama wanavyo faulu watoto wengine kwenye shule za Kayumba ambao wamepata division one Kali tu ilhali watoto wengine kwenye shule za private wana 3na 4 na 0 na walisoma English Mediums.
Elimu haipaswi kuwa biashara inapaswa kuwa huduma.
Sasa si afadhali hata hicho kingereza awe nacho!! Ni pumba tupu mara mia umpeleke hata british council au kwa ras simbaTunauziwa kingereza kwa mamilioni ya pesa alafu ujuzi kidogo sana.
Kama umekusudia kumpa mwanao elimu ya tofauti msomeshe international schools. Hizi nyingine unauziwa kingereza tu hakuna cha ziada.
Cha msingi, somesha kwa uwezo wako,Simsomeshi mwanangu ili baadae aje kuwa ananipa hela. La hasha! Ninamsomesha mtoto wangu ili aweze kupata uwezo wa kujitegemea mwenyewe na kuwa responsible member of a society.
Kuwa responsible member of a society ni pamoja na kuwa useful to his or her parents or siblings in time of need like what happened to Mr.Ibu.
Watoto wake walicho takiwa kufanya ni kusimamia zoezi zima la matibabu ya baba yao.
Now see what they have done. What if kama Mr Ibu ali spend mamilioni kwenye "elimu" ya watoto wake? Probably atakuwa anatamani siku zirudi nyuma na atajilaumu why did he stress himself to pay his hard earned millions for his kids so called " education" only for them to prove their uselessness at the time when they had only one option and that is to be useful to their father.
What if kama angekuwa amewasomesha kwenye shule za serikali ambazo hazina gharama? Asinge regret sana kwa sababu asingekuwa amejistress kulipa ada ili watoto wake wasomee ujinga.
Kwako Wewe masikini wa kitanzania unae jaribu kuficha umasikini wako kwa ndugu jamaa na marafiki zako kupitia kuwasomesha watoto wako kwenye shule za English Mediums, take note. Kilicho mtokea Mr.Ibu kinaweza kukutokea hata wewe kwa namna moja ama nyingine.
Don't stress yourself. Soemsha watoto wako kwenye shule ambazo hazitakupa stress ya kulipa ada( kayumba)..
Usi idhulumu nafsi yako. Upo tayari kumlipa kila mtu kuanzia mmiliki wa shule anayo soma mtoto wako lakini wewe mwenyewe unashindwa kujilipa. Usisahau kujilipa mkuu kwa sababu eti unalipa mamilioni kwenye shule za EM. Acha huo utoto. Eat ur money. U only live once.Jiwekee akiba yako ya baadae. Watoto wako wasimamie kwenye hizo hizo Kayumba watafaulu tu kama wanavyo faulu watoto wengine kwenye shule za Kayumba ambao wamepata division one Kali tu ilhali watoto wengine kwenye shule za private wana 3na 4 na 0 na walisoma English Mediums.
Elimu haipaswi kuwa biashara inapaswa kuwa huduma.
Sidhani kama hata umeelewa nilicho kiandika mkuuCha msingi, somesha kwa uwezo wako,
Kuacha kufanya kitu kzr, kwa sababu tu, kuna watu walifanya wakaumia, ni ujinga,tusipande ndege kwa sababu kuna waliopanda ndege ikaanguka ikawaua!
Au, tusipande meli kwa vile Mv bukoba ilizama, au tusijenge nyumba kwa vile, kuna watu waliangukiwa na Kuta za nyumba, au tusisome wala kupeleka watoto shule,kwa vile tu, mbona Diamond hakusoma na Ana pesa ndeeefu.
Angalia na upande wa pili, watoto wa kikwete ni marubani Qatar! Ukafikiri waliishia LA saba!
Watoto wa Aden lage,wamesoma Melbourne austalia universities, ukiwalinganisha na waliosoma UD, unafikri yupi ana chance kubwa ya kuapata ajira kwenye mashirika ya kidunia, world Bank, UN, ICJ,
Acha ujinga, wa sizitaki mbichi hizi, kwa vile umeshindwa kuzifikia,
Kuna uhusiano, wa, karibu Sana Kati yq kuwa na pesa na akili,
Mtoto wa Mo anasoma IST, Ada milioni 60! Kwa mwaka,kwa logic yako, huyu anapoteza muda!sasa na ni mwenye akili tumsikilize, wewe apeche alolo au Mo!
Mtoto wako anasoma kayumba, class mate wake, ni watoto wa, katibu kata,jirani mchoma mkaa, police, mwenzio watoto wake wapo International, class mate wao ni watoto wa mabalozi, mawaziri, foreigne diplomats,
Yupi anakuwa na network Bora!
Angalizo, unaweza soma kayumba, na ukafika mbali Sana, kama dangote, lakini,safari ni ndeeefu na ngumu, lakini, ukimwezesha mtoto pa kuanzia, na base nzuri ya elimu,connection, atafika kirshisi,
Hakuna ufahari, we ulisoma kayumba, na mtoto asome kayumba!
Kaangalie matokeo ya kidato cha nne, utajua kwanini tuna somesha hizo shule,
By the way, shule zetu tunazoita English medium, kwa nchi zilizoendelea ni shule za kawaida kabisa, ndivyo shule zinatskiwa kuwa,
Hizi kayumba, ni mabanda ya kuku tu!
Mo hategemei kuja kuona mwanawe anahangaika na bahasha akitafuta ajira kutoka ofisi moja mpk nyingine. Mo anasomesha wanawe ili waje kurithi ,kusimamia na kuendeleza ukwasi wa familia ya DEWJI.Cha msingi, somesha kwa uwezo wako,
Kuacha kufanya kitu kzr, kwa sababu tu, kuna watu walifanya wakaumia, ni ujinga,tusipande ndege kwa sababu kuna waliopanda ndege ikaanguka ikawaua!
Au, tusipande meli kwa vile Mv bukoba ilizama, au tusijenge nyumba kwa vile, kuna watu waliangukiwa na Kuta za nyumba, au tusisome wala kupeleka watoto shule,kwa vile tu, mbona Diamond hakusoma na Ana pesa ndeeefu.
Angalia na upande wa pili, watoto wa kikwete ni marubani Qatar! Ukafikiri waliishia LA saba!
Watoto wa Aden lage,wamesoma Melbourne austalia universities, ukiwalinganisha na waliosoma UD, unafikri yupi ana chance kubwa ya kuapata ajira kwenye mashirika ya kidunia, world Bank, UN, ICJ,
Acha ujinga, wa sizitaki mbichi hizi, kwa vile umeshindwa kuzifikia,
Kuna uhusiano, wa, karibu Sana Kati yq kuwa na pesa na akili,
Mtoto wa Mo anasoma IST, Ada milioni 60! Kwa mwaka,kwa logic yako, huyu anapoteza muda!sasa na ni mwenye akili tumsikilize, wewe apeche alolo au Mo!
Mtoto wako anasoma kayumba, class mate wake, ni watoto wa, katibu kata,jirani mchoma mkaa, police, mwenzio watoto wake wapo International, class mate wao ni watoto wa mabalozi, mawaziri, foreigne diplomats,
Yupi anakuwa na network Bora!
Angalizo, unaweza soma kayumba, na ukafika mbali Sana, kama dangote, lakini,safari ni ndeeefu na ngumu, lakini, ukimwezesha mtoto pa kuanzia, na base nzuri ya elimu,connection, atafika kirshisi,
Hakuna ufahari, we ulisoma kayumba, na mtoto asome kayumba!
Kaangalie matokeo ya kidato cha nne, utajua kwanini tuna somesha hizo shule,
By the way, shule zetu tunazoita English medium, kwa nchi zilizoendelea ni shule za kawaida kabisa, ndivyo shule zinatskiwa kuwa,
Hizi kayumba, ni mabanda ya kuku tu!
Naunga mkono hoja halafu huwaga wana hangaika kweli kwenye mikopo chuo kwa sababu wengi huwa hawapati mkopo na mzazi anakuwa nguvu zimeisha au hakujua kama atatakiwa kuendelea kuonyesha umwamba wake wa kulipa ada hadi chuo kikuu. Wanaishia kuwatesa tu vijana wao bila sababu ya msingiMo hategemei kuja kuona mwanawe anahangaika na bahasha akitafuta ajira kutoka ofisi moja mpk nyingine. Mo anasomesha wanawe ili waje kurithi ,kusimamia na kuendeleza ukwasi wa familia ya DEWJI.
Watoto wa kikwete na wako wana ufanano gani? Familia ya kikwete ina ukwasi mkubwa hivyo inahitaji warithi watakaoendeleza mali za familia.
Ila ww pangu pakavu tia mchuzi kujistress kulipa mamilioni kwenye EM schools uchwara ili wanao waje kugombania shuttle pale mabibo hostel ni upumbavu wa kiwango cha SGR
Mmmh!! Wabongo bwana vitu vingine acheni mkumbo.Nafuatilia hizi shule walimu hawajui grammar kabisa yani wanawafundisha utumbo tena ni hizi shule zenu kubwa kabisa[emoji2357]English Medium ni Muhimu kwa wanangu, naplay part yangu na wao wakikua wataplay part yao, wasipo play it's all fine
JUAN MANUELMmmh!! Wabongo bwana vitu vingine acheni mkumbo.Nafuatilia hizi shule walimu hawajui grammar kabisa yani wanawafundisha utumbo tena ni hizi shule zenu kubwa kabisa[emoji2357]