Mtanzania acha kuji-stress kuwalipia watoto wako mamilioni kwenye shule za English Medium. Kilichomtokea Mr. Ibu kinaweza kukutokea hata wewe

Mtanzania acha kuji-stress kuwalipia watoto wako mamilioni kwenye shule za English Medium. Kilichomtokea Mr. Ibu kinaweza kukutokea hata wewe

Mtu anaetoa mfano wa Mo dewji ni mpumbavu sana.

Anajua familia ya kina Mo dewji inamiliki mabilioni kabla hata Mo dewji hajazaliwa.

Mo Dewji kapewa nafasi ya baba yake kuongoza kampuni ya Mohammed Enterprises mwaka 1998. Kipindi hicho kampuni hiyo ina mauzo ya Bilioni 70 kwa mwaka.

Imagine mwaka 1998 Mo amekuta kampuni ina mauzo ya mabilioni.

Kipindi Mo dewji anasoma high school IST baba yake na Mo alikuwa ananunua kwa serikali kiwanda cha National Milling kilichokuwa kiwanda kikubwa cha ngano Tanzania

Mo dewji yupo shule baba yake ananunua viwanda kwa mabilioni.

Halafu mpuuzi humu anajilanganisha na Mo. Huku yeye mwenyewe anategemea ajira ya milioni moja na baba yake mkulima.

Ada aliyokuwa analipiwa Mo IST haifiki hata asilimia 0.00001 ya mapato ya baba yake. Ni sawa na uwe na kipato cha Milioni moja halafu ulipe ada shilingi elfu moja

Baba yake na Mo Dewji hakuwa anaenda bank kukopa ada. Ama kusumbua vikoba ili alipe ada
Ur the true son of your father
 
Mtu anapata mshahara wa 1M kwa mwezi...halafu analazimisha kulipa ada ya mtoto 3-4M kwa mwaka...huku pato lake kwa mwaka likienda 12M kabla ya kutoa kodi na matakataka mengine....anajikuta zaidi ya 40% ya pato lake kwa mwaka analitumia kulipa ada...hapa lazima aishi maisha ya msongo wa mawazo kila ifikapo january, mikopo, wizi na ulaji mwingi wa rushwa huko maofisini. Halafu hapa anakuja kujilinganisha na Mo dewji.
 
Mtu anapata mshahara wa 1M kwa mwezi...halafu analazimisha kulipa ada ya mtoto 3-4M kwa mwaka...huku pato lake kwa mwaka likienda 12M kabla ya kutoa kodi na matakataka mengine....anajikuta zaidi ya 40% ya pato lake kwa mwaka analitumia kulipa ada...hapa lazima aishi maisha ya msongo wa mawazo kila ifikapo january, mikopo, wizi na ulaji mwingi wa rushwa huko maofisini. Halafu hapa anakuja kujilinganisha na Mo dewji.
100% correct
 
Back
Top Bottom