Chipukizi
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 4,409
- 6,773
Mtanzania mmoja amefariki akiwa anapelekwa Kituo cha Police kwenye kitongoji moja wapo jijini Johanesburg. Kulitokea majibishano na Kurushiana Mawe kati ya Police na Watanzania kwenye kitongoji hicho. Kile walichodai watanzania kuwa Police wamemuua na kuchukua pesa zake. Kuna video ya maojiano kati ya wanahabari na watanzania hao ntaipost bdae kidogo.