Mtanzania afia Uturuki akifanyiwa operesheni ya shepu

Mtanzania afia Uturuki akifanyiwa operesheni ya shepu

Ndio ukakuze kalio ili uongeze idadi ya masponsor
Biashara matangazo, biashara uiboreshe ukitaka faida nzuri, ile ni biashara kama biashara zingine.....mwamba amevuta ktk harakati za utafutaji
 
Inasikitisha sana mtoto mrembo kama Shuu kufariki Uturuki kwa kuongeza msambwanda wakati kwa jinsi alivyo tu angeweza kula vichwa vizuri tu bila sajari.
 
Sisi mashangazi wenye makalio makubwa kwa kweRi tunaringa mjini hapa. Mungu ametubariki zawadi ya KUDUMU.

Kumbe kuna watu wanayasaka makalio hadi wanafarikii????? Jamaniiiii nimebubujikwa na machozi!

Angenifwata nimmegee kipande cha kalio ajibandikie na superglue na yeye angalau awe mtu katika watu!

Mjini makalio. Mtakufa sana Alaaah 🥱🥱🥱

Cc Lamomy Poor Brain mshamba_hachekwi fundi bishoo
Wizo 😂😂😂😂
Fanya kunipa moja basi mwenzio flat huku, mwili wangu wote sawa na kalio lako moja 😂
 
Back
Top Bottom