Uta Uta
JF-Expert Member
- Feb 2, 2016
- 3,740
- 8,751
Kitonsa itakuwa ulikuwa unamfahamu?Mbona hizo picha ni mdoli?
Ukoo wa kina Tembo naufahamu, Hakuna mdoli.
Kwao Dundani, njia ya kwenda kwetu Mkuranga. Kwa Dar walikua mtaa wa Udoe, Kariakoo, zamani sana.
Inna li Llahi wa Inna Ilayhi rajiun.