Zemanda
JF-Expert Member
- Jan 10, 2021
- 8,323
- 18,051
Kiwingu kwa namna gani tena mzee? Yaani mfano wewe umegundua watu wanakula chakula chenye sumu pandikizi utawatazama tu wakila au utawatahadharisha?Nukuu:" ............ tukiongea ni ngumu kueleweka."
Ndio na pia unaweza kujikuta umeingia kwenye vita ya kiuchumi bila sababu za msingi. Wanaotoa hiyo huduma wangelipenda na wanatamani wateja waende wengi ss wewe utakuwa unawawekea kiwingu.