Mtanzania afia Uturuki akifanyiwa operesheni ya shepu

Mtanzania afia Uturuki akifanyiwa operesheni ya shepu

Halafu cha ajabu nimeona wanaomba mchango wa $4,500 za kuweza kurudisha mwili TZ.

Yani mtu aende na kiranga chake mwenyewe cha kutaka kumkosoa Mungu halafu ndugu na jamaa waje kuomba msaada wa kurudisha mwili wake.

Ikiwa alikuwa na pesa za kwenda kuweka matako basi lazima itakuwa ana pesa za kutosha kurudisha masalia ya hayo matako.
Wamzike huko huko
 
Ila binadamu wana tamaa sana. Mimi tu kufanyiwa operation ya kizazi nilikuwa naogopa sembuse kuongezewa shepu etc. Mbona tunapendwa tu na u portable wetu. Tena mtu yuko proud na wewe. Ila sababu mapenzi yamekuwa biashara wanawake wanajitoa ufahamu
 
Kama nikweli basi mtihani unakufa kwa sababu ya kumkosoa Mungu
Hii haihusiani na Mungu hajapenda au amependa sababu Wema Sepenga alienda kumkosoa Mungu alipona.
Hii inahusiana na huduma mbovu au afya mbovu ya muhusika.
Au kibongongo siku yake ukifika.
 
Mdada wa kitanzania anaejulikana kwa jina la shufaa kitwana tembo amefariki siku ya jana nchini Uturuki wakati anafanyiwa operesheni ya kuongeza makalio na kupunguza tumbo. Bwana ametoa na bwana ametwaa, jina la bwana libarikiwe. Pole ziwafikie familia ya mareemu na marafiki.View attachment 2980499View attachment 2980499
'Ukitaka uzuri sharti uzurike.'
 
Ila binadamu wana tamaa sana. Mimi tu kufanyiwa operation ya kizazi nilikuwa naogopa sembuse kuongezewa shepu etc. Mbona tunapendwa tu na u portable wetu. Tena mtu yuko proud na wewe. Ila sababu mapenzi yamekuwa biashara wanawake wanajitoa ufahamu
Wanawake na attention ni kama benki na riba. Wanaitafuta kwa gharama yoyote.
 
Back
Top Bottom