Tychob
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 3,972
- 5,170
Wamzike huko hukoHalafu cha ajabu nimeona wanaomba mchango wa $4,500 za kuweza kurudisha mwili TZ.
Yani mtu aende na kiranga chake mwenyewe cha kutaka kumkosoa Mungu halafu ndugu na jamaa waje kuomba msaada wa kurudisha mwili wake.
Ikiwa alikuwa na pesa za kwenda kuweka matako basi lazima itakuwa ana pesa za kutosha kurudisha masalia ya hayo matako.