Sisi mashangazi wenye makalio makubwa kwa kweRi tunaringa mjini hapa. Mungu ametubariki zawadi ya KUDUMU.
Kumbe kuna watu wanayasaka makalio hadi wanafarikii????? Jamaniiiii nimebubujikwa na machozi!
Angenifwata nimmegee kipande cha kalio ajibandikie na superglue na yeye angalau awe mtu katika watu!
Mjini makalio. Mtakufa sana Alaaah π₯±π₯±π₯±
Cc
Lamomy Poor Brain mshamba_hachekwi fundi bishoo