Abdul Said Naumanga
JF-Expert Member
- Jan 28, 2024
- 673
- 1,318
Kwahiyo mtu asidai haki au?
Swali zuri, labda Benjamini Netanyahu atusaidie hapa😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo mtu asidai haki au?
Mzee ukiskia kitu mnara umeme pale haukatiki na ikitokea ukazima mafundi wanafika chapu ni hivi ndani ya mnara kunaUmeme ulivyokuwa ukikatika katika miaka hiyo anamshitaki nani hasa Tanesco au mitandao?
Sababu mitandao kufanya kazi hutegemea uwepo wa umeme kwenye minara yao
Hii kesi sijaielewa vizuri
Kila la heri kwa mshtaki mitandao
"Microwave stations" equipped with linear ad diabolic antennas.Marine cable ndio inarusha hewani? Ili kuwafikia watumiaji popote Tanzania? Mijini na vijijini?
Mkuu sijaelewa swali vizuriSwali zuri, labda Benjamini Netanyahu atusaidie hapa😁
Ukiona mtu anasifia sn jua ni tapeli amejificha kwenye kusifiaSijakuelewa hofu ya nn kuna vita? Na wananchi ni akina nani hao ambao hawatakiwi kuwa na wasiwasi? Kwamba walivyozima mtandao ilikuwa sahihi? Yaani unaona sawa! Kwahiyo mtu asidai haki au?
Amekosea timing Kama angefungua kipindi kile ingekuwa na maana Hawa ni Kama wanalipwa ili watu wasijadili Mambo yanayoendelea ka utekajiHuyo sio mzalendo labda ni mwoga kama dem mwenye bikra yake nimuona mzalendo kama angeshitaki serikali ya jiwe kipindi hicho
It make sense for Record KeepingNadhani wote ni mashuhuda na wahanga kwa namna mtandao unavyozimwaga hasa kipindi cha uchaguzi, zitakumbukwa zaidi zile nyakati za uchaguzi wa 2020.
Sasa wakili na Mwanaharakati wa haki za binadamu Adv. Tito Magoti akimuwakilisha Bwn. Kumbusho Dawson Kagine, wamefungua kesi dhidi ya waziri wa Mawasiliano, Habari na teknolojia, Mamlaka ya udhibiti wa mawasiliano Tanzania pamoja na mwanasheria mkuu wa serikali.
Ni madai ya shauri hili kwamba mtandao ulizimwa kwa makusudi, na kwamba tukio hilo lilivunja haki kadhaa zinazolindwa na Katiba ya JMT. Mathalani, haki ya kupata, kutoa na kusambaza taarifa (Ib 18), uhuru wa kukutanika na kushirikiana na wegine (Ib 20(1)), na uhuru wa kushiriki shughuli za umma (Ib 21(1, 2)), na wajibu wa serikali kuheshimu katiba na sheria za nchi (Ib 26).
Vilevile wanadai kwamba, haki hizo zimekiukwa katika Mkataba wa Afrika wa Haki za Binadamu na Watu; Mkataba wa Kimataifa unaohusu Haki za Raia na Siasa; na Mkataba wa Afrika wa Demokrasia, Uchaguzi na Utawala. Pia, Azimio la Baraza la Umoja wa Mataifa kuhusu Kuendeleza, Kulinda na Kufurahia Haki ya Mtandao, Tamko la Afrika Kuhusu Haki ya na wa Uhuru Mtandao la mwaka 2017 na Kanuni za Kamisheni ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu kuhusu Uhuru wa Kujieleza Afrika yamekiukwa.
Wanaiomba Mahakama itamke yakwamba:
kuzimwa mtandao kulivunja sheria na Katiba ya JMT na mikataba ya Kimataifa. Na hivyo, kulivunja haki za binadamu kama zilivyoainishwa hapo juu. hatua za kisheria zichukuliwe dhidi ya wote walioshiriki kuzima mtandao. serikali izuiwe na ihakikishe hairudii, kuzima mtandao ikiwemo katika chaguzi zijazo: serikali za mitaa 2024 na uchaguzi mkuu 2025.Shauri hili litatajwa kwa mara ya kwanza mbele ya Mhe. David Ngunyale tarehe 17.07.2024 Mahakama Kuu kanda ya Dar es Salaam.View attachment 3043144
This case has huge stake in it. Only for ignorants can not see.Kesi ina mantiki kubwa sana Tatizo ni wale waliopelekewa kesi.Anayeshtakiwa na anayepelekewa kesi ni familia moja.
Sure 👍🏼This case has huge stake in it. Only for ignorants can not see.
Kesi ina mantiki kubwa sana Tatizo ni wale waliopelekewa kesi.Anayeshtakiwa na anayepelekewa kesi ni familia moja.
Ofcourse hakuna aliyesema kuna ushahidi lakini aliyezima tumtambua na alikusudia nini?Utasikia; hakuna ushaidi kuwa serikali ndio iliyozima mtandao😃.
Inapendeza.Hii ndio Taarifa mpya inayozunguka Duniani kwa sasa, Kwamba Mtanzania huyo Mzalendo na mwenye uthubutu, Bwana Kumbusho Dawson, ameifungulia kesi Serikali ya Tanzania Pamoja na Mamlaka za mawasiliano kwa jambo lile la kishamba la mwaka 2020 ili Mahakama ichukue hatua na itamke kwamba jambo kama lile lisirudiwe tena kwenye Nchi hii .
Nachukua nafasi hii kumpongeza kijana huyu kwa ujasiri huu, tena bila kuogopa kutekwa, badala ya kunyamaza na kuishia kulalamika kama Kinana na Warioba, yeye ameamua kuchukua hatua
Nakala: Nape Nnauye
Pia soma>> Watanzania wamefungiwa internet
Kwahiyo ni uthibitisho kwa alichosema Rostam kuwa mahakama zinapokea maagizo kutoka juu?Inapendeza.
Enzi hizo n
Mwendazake alishasema Wanasheria wa serikali wanashindwa vipi kesi?
Mutaani❌Sasa wanasheria wetu wa mutaani watambe kwa kufungua mikesi kibao tu.
Hizo ndio 4R za mama Abdul!Nani kama mama?