Mtanzania Afungua Kesi Mahakamani kuhusu kuzimwa kwa mitandao 2020, Aiomba Mahakama ichukue hatua kali

Mtanzania Afungua Kesi Mahakamani kuhusu kuzimwa kwa mitandao 2020, Aiomba Mahakama ichukue hatua kali

Umeme ulivyokuwa ukikatika katika miaka hiyo anamshitaki nani hasa Tanesco au mitandao?

Sababu mitandao kufanya kazi hutegemea uwepo wa umeme kwenye minara yao

Hii kesi sijaielewa vizuri

Kila la heri kwa mshtaki mitandao
Mzee ukiskia kitu mnara umeme pale haukatiki na ikitokea ukazima mafundi wanafika chapu ni hivi ndani ya mnara kuna
Mifumo 3 ya umeme na iko automatic toa sababu nyingine unayo ijuwa [emoji16][emoji16]
 
Sijakuelewa hofu ya nn kuna vita? Na wananchi ni akina nani hao ambao hawatakiwi kuwa na wasiwasi? Kwamba walivyozima mtandao ilikuwa sahihi? Yaani unaona sawa! Kwahiyo mtu asidai haki au?
Ukiona mtu anasifia sn jua ni tapeli amejificha kwenye kusifia
 
Huyo sio mzalendo labda ni mwoga kama dem mwenye bikra yake nimuona mzalendo kama angeshitaki serikali ya jiwe kipindi hicho
Amekosea timing Kama angefungua kipindi kile ingekuwa na maana Hawa ni Kama wanalipwa ili watu wasijadili Mambo yanayoendelea ka utekaji
 
Nadhani wote ni mashuhuda na wahanga kwa namna mtandao unavyozimwaga hasa kipindi cha uchaguzi, zitakumbukwa zaidi zile nyakati za uchaguzi wa 2020.

Sasa wakili na Mwanaharakati wa haki za binadamu Adv. Tito Magoti akimuwakilisha Bwn. Kumbusho Dawson Kagine, wamefungua kesi dhidi ya waziri wa Mawasiliano, Habari na teknolojia, Mamlaka ya udhibiti wa mawasiliano Tanzania pamoja na mwanasheria mkuu wa serikali.

Ni madai ya shauri hili kwamba mtandao ulizimwa kwa makusudi, na kwamba tukio hilo lilivunja haki kadhaa zinazolindwa na Katiba ya JMT. Mathalani, haki ya kupata, kutoa na kusambaza taarifa (Ib 18), uhuru wa kukutanika na kushirikiana na wegine (Ib 20(1)), na uhuru wa kushiriki shughuli za umma (Ib 21(1, 2)), na wajibu wa serikali kuheshimu katiba na sheria za nchi (Ib 26).

Vilevile wanadai kwamba, haki hizo zimekiukwa katika Mkataba wa Afrika wa Haki za Binadamu na Watu; Mkataba wa Kimataifa unaohusu Haki za Raia na Siasa; na Mkataba wa Afrika wa Demokrasia, Uchaguzi na Utawala. Pia, Azimio la Baraza la Umoja wa Mataifa kuhusu Kuendeleza, Kulinda na Kufurahia Haki ya Mtandao, Tamko la Afrika Kuhusu Haki ya na wa Uhuru Mtandao la mwaka 2017 na Kanuni za Kamisheni ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu kuhusu Uhuru wa Kujieleza Afrika yamekiukwa.

Wanaiomba Mahakama itamke yakwamba:​
  1. kuzimwa mtandao kulivunja sheria na Katiba ya JMT na mikataba ya Kimataifa. Na hivyo, kulivunja haki za binadamu kama zilivyoainishwa hapo juu.​
  2. hatua za kisheria zichukuliwe dhidi ya wote walioshiriki kuzima mtandao.​
  3. serikali izuiwe na ihakikishe hairudii, kuzima mtandao ikiwemo katika chaguzi zijazo: serikali za mitaa 2024 na uchaguzi mkuu 2025.​
Shauri hili litatajwa kwa mara ya kwanza mbele ya Mhe. David Ngunyale tarehe 17.07.2024 Mahakama Kuu kanda ya Dar es Salaam.​
View attachment 3043144
It make sense for Record Keeping
 
Hii ndio Taarifa mpya inayozunguka Duniani kwa sasa, Kwamba Mtanzania huyo Mzalendo na mwenye uthubutu, Bwana Kumbusho Dawson, ameifungulia kesi Serikali ya Tanzania Pamoja na Mamlaka za mawasiliano kwa jambo lile la kishamba la mwaka 2020 ili Mahakama ichukue hatua na itamke kwamba jambo kama lile lisirudiwe tena kwenye Nchi hii .


Nachukua nafasi hii kumpongeza kijana huyu kwa ujasiri huu, tena bila kuogopa kutekwa, badala ya kunyamaza na kuishia kulalamika kama Kinana na Warioba, yeye ameamua kuchukua hatua

Nakala: Nape Nnauye

Pia soma>> Watanzania wamefungiwa internet
Inapendeza.

Enzi hizo n
Mwendazake alishasema Wanasheria wa serikali wanashindwa vipi kesi?

Sasa wanasheria wetu wa mutaani watambe kwa kufungua mikesi kibao tu.

Nani kama mama?
 
Inapendeza.

Enzi hizo n
Mwendazake alishasema Wanasheria wa serikali wanashindwa vipi kesi?
Kwahiyo ni uthibitisho kwa alichosema Rostam kuwa mahakama zinapokea maagizo kutoka juu?
Sasa wanasheria wetu wa mutaani watambe kwa kufungua mikesi kibao tu.
Mutaani❌

Mtaani✔️

Mikesi ❌

Kesi✔️

Wingi wa kesi sio mikesi.

Hivi Canada ulienda kusomea ujinga ajuza?
Nani kama mama?
Hizo ndio 4R za mama Abdul!

Hakika kafuata nyayo za dikteta wa Chato wanatanzania wanazuiliwa kutoa maoni yao!
IMG-20240830-WA0008.jpg
 
Back
Top Bottom