Duh! Noma sana
Duh! Noma sana
Aje aandamane huku Tanzania maana huku ndio kwao. Aache kuvuruga Amani ya nchi za watu. Atafanya watanzania waanze kunyimwa kwenda Marekani kwasababu wataonekana ni wakorofi
[emoji23][emoji23] kwahiyo tuseme wakenya wapo kwenye chimbuko la CoronaWakenya wako china
Wengi wanashindwa kuelewa maswala ya uakaaji😳😳😳😳😳 Unajuaje kama naye akili, jasho na damu yake imetumika kuijenga US!?
Uhuni wake ni upi? Kama ana uraia ana haki zote sawa na Mmarekani yeyote yule. Acheni kuonyesha ujinga kuhusu haki za mtu katika Nchi za watu.
Sasa kama ni raia wa Marekani mzee?... haki gani anaidai huko Marekani huyo mhuni? Haki yake iko Afrika arudi kuidai sio kupayuka kwenye nchi za watu walizozijenga kwa akili, jasho, na damu.
Aje aandamane huku Tanzania maana huku ndio kwao. Aache kuvuruga Amani ya nchi za watu. Atafanya watanzania waanze kunyimwa kwenda Marekani kwasababu wataonekana ni wakorofi
Wacha ujinga wewe! Watanzania chungu nzima wamebambikiwa kesi ikiwemo Eric Kabendera hadi kusababisha kifo cha mama yake, Ben Saanane, Azory gwanda wamepotea hadi hii leo hakuna uchunguzi. Watanzania wameokotwa kwenye viroba ufukweni hakuna uchunguzi. Shambulizi la lissu, kunyimwa pesa zake ambazo ni haki yake pia kuporwa ubunge wake na kuwabambikia kesi viongozi na wanachama wa Chadema. Halafu unaandika ujinga wako eti tuna amani.
Wanafikisha ujumbe kwa wahusika, unauliza jiwe katika milima ya Mwanza ?Ni mbaya sana,issue ni black mwenzetu kauliwa,sasa wanavunja maduka wanaiba what is what.
Mkuu mbona umefula...Lissu alipigwa risasi,Mwangosi alipigwa risasi,mzee Mangula alilishwa sumu,Kibiti watu wamekufa ,Ben Saanane na Azory awaonekani.Yote ayo yamefanyika apo Tz ,vipi mbona hamkutoka mtaani kuandamana ,kuvunja maduka nk apo Bongo?
Yaani mnajari ya wenzenu huku ngambo lakini huko nyumbani mpo kimya...Anzieni nyumbani kwanza
Mbuzi kabisa weweTanzania tuna amani sana. Tunamshukuru sana Rais Magufuli kwa hili.
Kila kitu kizuri chao utasikia wametengeza passport ya huyo mtuNa ndiyo maana wana wagonjwa taktiba elfu2
Wanatuzidi kila kitu hadi wagonjwa wa corona wanatuzidiKila kitu kizuri chao utasikia wametengeza passport ya huyo mtu