Kutoka kwa Yericko
Habari njema kwangu na kwa Watanzania nikuwa Kitabu chetu pendwa cha Ujasusi baada ya kuingia makubaliano na kampuni ya Kindle Publishers ili wauze kitabu kupitia amazon.com miaka mitano iliyopita,
Sasa kimekubalika na kuingizwa kwenye soko la makampuni makubwa sita ya uuzaji wa vitabu duniani ambayo ni WALMART kupitia link hii hapa Verify your identity
Kampuni ya tatu nyingine iliyoruhusu Kitabu cha Ujasusi kuingizwa na kuuzwa katika soko lake ni BARNES AND NOBLE kupitia link hii hapa Ujasusi wa Kidola na Kiuchumi|Paperback
Kampuni ya nne nyingine iliyoruhusu Kitabu cha Ujasusi kuuzwa katika soko lake la kimataifa baada ya kujiridhisha ubora na upekee wa kitabu hiki ni THRIFT BOOKS kupitia link hii hapa chini Ujasusi wa Kidola na Kiuchumi (Afrikaans... book
Kampuni ya tano nyingine iliyoruhusu Kitabu cha Ujasusi kuuzwa katika soko lake la kimataifa baada ya kujiridhisha ubora na upekee wa kitabu hiki ni BOL kupitia link hii hapa chini bol.com | Ujasusi Wa Kidola Na Kiuchumi, Yericko Nyerere | 9789976993608 | Boeken
Kampuni ya sita nyingine iliyoruhusu Kitabu cha Ujasusi kuuzwa katika soko lake la kimataifa baada ya kujiridhisha ubora na upekee wa kitabu hiki ni TANUM kupitia link hii hapa chini Ujasusi Wa Kidola Na Kiuchumi
Kampuni nyingine ya saba ambayo nayo imeruhusu Kitabu cha Ujasusi kuuzwa katika soko lake la kimataifa baada ya kujiridhisha ubora na upekee wa kitabu hiki ni EBAY kupitia link hii hapa chini
Kwa wale msiojua kitabu cha mtu ili kiuzwe na kampuni kama Walmart ni mziki mrefu kinatakiwa kitabu hicho kiwe katika ubora wa kimataifa na mwandishi awe alitulizana wakati wa kuandika. Vitabu vinavyouzwa katika masoko hayo hupitia hatua nyingi ndipo viruhusiwe.
Haya yanaweza kuonekana ni mafanikio yangu binafsi, lakini katika tafsiri haya ni mafanikio ya Taifa la Tanzania, ni mafanikio ya Afrika, ni Mafaniko ya Lugha ya Kiswahili. Ni mafaniko dhidi ya ujasuri na uthubutu.
Asanteni sana wadau wote mlioshiriki kwa namna yoyote ili kunifikisha hapa. Miaka mitano ya kukisafirisha kitabu hiki hadi soko la kimataifa ilikuwa migumu na yenye vikwazo vingi sana.
WAHI OFA MAALUMU.
1. Kitabu: Mtu baada ya Mtu, OFA ni 20,000 badala ya 80,000/=
2. Kitabu: Ujasusi, OFA ni 20,000 badala ya 80,000/=
Nunua kwa:
TigoPesa 0715865544
M-Pesa 0755865544
Airtel Money 0788887887
HaloPesa 0624452045
(Yericko Nyerere)
Tuma majina yako na ulipo
(Dar ni free delivery)
Nje ya Dar nauli 8,000/=
Instagram Follow @yerickonyerere
Habari njema kwangu na kwa Watanzania nikuwa Kitabu chetu pendwa cha Ujasusi baada ya kuingia makubaliano na kampuni ya Kindle Publishers ili wauze kitabu kupitia amazon.com miaka mitano iliyopita,
Sasa kimekubalika na kuingizwa kwenye soko la makampuni makubwa sita ya uuzaji wa vitabu duniani ambayo ni WALMART kupitia link hii hapa Verify your identity
Kampuni ya tatu nyingine iliyoruhusu Kitabu cha Ujasusi kuingizwa na kuuzwa katika soko lake ni BARNES AND NOBLE kupitia link hii hapa Ujasusi wa Kidola na Kiuchumi|Paperback
Kampuni ya nne nyingine iliyoruhusu Kitabu cha Ujasusi kuuzwa katika soko lake la kimataifa baada ya kujiridhisha ubora na upekee wa kitabu hiki ni THRIFT BOOKS kupitia link hii hapa chini Ujasusi wa Kidola na Kiuchumi (Afrikaans... book
Kampuni ya tano nyingine iliyoruhusu Kitabu cha Ujasusi kuuzwa katika soko lake la kimataifa baada ya kujiridhisha ubora na upekee wa kitabu hiki ni BOL kupitia link hii hapa chini bol.com | Ujasusi Wa Kidola Na Kiuchumi, Yericko Nyerere | 9789976993608 | Boeken
Kampuni ya sita nyingine iliyoruhusu Kitabu cha Ujasusi kuuzwa katika soko lake la kimataifa baada ya kujiridhisha ubora na upekee wa kitabu hiki ni TANUM kupitia link hii hapa chini Ujasusi Wa Kidola Na Kiuchumi
Kampuni nyingine ya saba ambayo nayo imeruhusu Kitabu cha Ujasusi kuuzwa katika soko lake la kimataifa baada ya kujiridhisha ubora na upekee wa kitabu hiki ni EBAY kupitia link hii hapa chini
Ujasusi WA Kidola NA Kiuchumi ISBN 9976993609 Isbn-13 9789976993608 for sale online | eBay
Find many great new & used options and get the best deals for Ujasusi WA Kidola NA Kiuchumi ISBN 9976993609 Isbn-13 9789976993608 at the best online prices at eBay! Free shipping for many products!
www.ebay.com
Kwa wale msiojua kitabu cha mtu ili kiuzwe na kampuni kama Walmart ni mziki mrefu kinatakiwa kitabu hicho kiwe katika ubora wa kimataifa na mwandishi awe alitulizana wakati wa kuandika. Vitabu vinavyouzwa katika masoko hayo hupitia hatua nyingi ndipo viruhusiwe.
Haya yanaweza kuonekana ni mafanikio yangu binafsi, lakini katika tafsiri haya ni mafanikio ya Taifa la Tanzania, ni mafanikio ya Afrika, ni Mafaniko ya Lugha ya Kiswahili. Ni mafaniko dhidi ya ujasuri na uthubutu.
Asanteni sana wadau wote mlioshiriki kwa namna yoyote ili kunifikisha hapa. Miaka mitano ya kukisafirisha kitabu hiki hadi soko la kimataifa ilikuwa migumu na yenye vikwazo vingi sana.
WAHI OFA MAALUMU.
1. Kitabu: Mtu baada ya Mtu, OFA ni 20,000 badala ya 80,000/=
2. Kitabu: Ujasusi, OFA ni 20,000 badala ya 80,000/=
Nunua kwa:
TigoPesa 0715865544
M-Pesa 0755865544
Airtel Money 0788887887
HaloPesa 0624452045
(Yericko Nyerere)
Tuma majina yako na ulipo
(Dar ni free delivery)
Nje ya Dar nauli 8,000/=
Instagram Follow @yerickonyerere