Habari njema kwangu na kwa Watanzania nikuwa Kitabu chetu pendwa cha Ujasusi baada ya kuingia makubaliano na kampuni ya Kindle Publishers ili wauze kitabu kupitia amazon.com miaka mitano iliyopita,
Sasa kimekubalika na kuingizwa kwenye soko la makampuni makubwa sita ya uuzaji wa vitabu duniani ambayo ni WALMART kupitia link hii hapa Verify your identity
Kampuni ya tatu nyingine iliyoruhusu Kitabu cha Ujasusi kuingizwa na kuuzwa katika soko lake ni BARNES AND NOBLE kupitia link hii hapa Ujasusi wa Kidola na Kiuchumi|Paperback
Kampuni ya nne nyingine iliyoruhusu Kitabu cha Ujasusi kuuzwa katika soko lake la kimataifa baada ya kujiridhisha ubora na upekee wa kitabu hiki ni THRIFT BOOKS kupitia link hii hapa chini Ujasusi wa Kidola na Kiuchumi (Afrikaans... book
Kampuni ya sita nyingine iliyoruhusu Kitabu cha Ujasusi kuuzwa katika soko lake la kimataifa baada ya kujiridhisha ubora na upekee wa kitabu hiki ni TANUM kupitia link hii hapa chini Ujasusi Wa Kidola Na Kiuchumi
Kampuni nyingine ya saba ambayo nayo imeruhusu Kitabu cha Ujasusi kuuzwa katika soko lake la kimataifa baada ya kujiridhisha ubora na upekee wa kitabu hiki ni EBAY kupitia link hii hapa chini
Find many great new & used options and get the best deals for Ujasusi WA Kidola NA Kiuchumi ISBN 9976993609 Isbn-13 9789976993608 at the best online prices at eBay! Free shipping for many products!
www.ebay.com
Kwa wale msiojua kitabu cha mtu ili kiuzwe na kampuni kama Walmart ni mziki mrefu kinatakiwa kitabu hicho kiwe katika ubora wa kimataifa na mwandishi awe alitulizana wakati wa kuandika. Vitabu vinavyouzwa katika masoko hayo hupitia hatua nyingi ndipo viruhusiwe.
Haya yanaweza kuonekana ni mafanikio yangu binafsi, lakini katika tafsiri haya ni mafanikio ya Taifa la Tanzania, ni mafanikio ya Afrika, ni Mafaniko ya Lugha ya Kiswahili. Ni mafaniko dhidi ya ujasuri na uthubutu.
Asanteni sana wadau wote mlioshiriki kwa namna yoyote ili kunifikisha hapa. Miaka mitano ya kukisafirisha kitabu hiki hadi soko la kimataifa ilikuwa migumu na yenye vikwazo vingi sana.
WAHI OFA MAALUMU.
1. Kitabu: Mtu baada ya Mtu, OFA ni 20,000 badala ya 80,000/=
2. Kitabu: Ujasusi, OFA ni 20,000 badala ya 80,000/=
Habari njema kwangu na kwa Watanzania nikuwa Kitabu chetu pendwa cha Ujasusi baada ya kuingia makubaliano na kampuni ya Kindle Publishers ili wauze kitabu kupitia amazon.com miaka mitano iliyopita...
Habari njema kwangu na kwa Watanzania nikuwa Kitabu chetu pendwa cha Ujasusi baada ya kuingia makubaliano na kampuni ya Kindle Publishers ili wauze kitabu kupitia amazon.com miaka mitano iliyopita...
Kwanza hongera kwa Yericko Nyerere kuweza kufika ngazi hivyo ya soko.
Je kinapatikana ktk lugha ya Kiingereza ili wigo wa wasomaji uongezeke? Kama sivyo fanya hima kipatikane ktk chapisho sanifu cha hiyo lugha nyingine ya kimataifa ya English.
Mbona vimo vingi vya watanzania wengine? Hata hivyo, kuingiza kitabu walmart hakumnufaishi mtungaji kama mnavyodhani. Hawa ni matapeli wa kawaida sawa na wengine wengi wanaouuza vitabu online.
Namfahamu mwandishi maarufu ambaye vitabu vyake vijaa online lakini analalamika hawamlipi chochote. Nadhani mleta uzi hajui biashara ya vitabu.
Ni mawazo yatokanayo na uzoefu tu. Hebu fuatilia link hii hapa Verify your identity
Habari njema kwangu na kwa Watanzania nikuwa Kitabu chetu pendwa cha Ujasusi baada ya kuingia makubaliano na kampuni ya Kindle Publishers ili wauze kitabu kupitia amazon.com miaka mitano iliyopita,
Ni kwamba asiwe na tamaa ya kuweka bei kubwa wakati wasomaji wake ni hawa hawa wabeba boksi na walala hoi kama mimi iwapo wenye vitabu vinavyosomwa na wenye uwezo hawachaji bei kubwa hivyo.
Ni kwamba asiwe na tamaa ya kuweka bei kubwa wakati wasomaji wake ni hawa hawa wabeba boksi na walala hoi kama mimi iwapo wenye vitabu vinavyosomwa na wenye uwezo hawachaji bei kubwa hivyo.
Inawezekana wewe hujawahi kuingia kwenye hiyo industry ya kpublish vitabu kwa hiyo unadhani bei inapangwa na walmart au publisher. Kuna vitabu vinachukua rasmilali nyingi sana za mtunzi wake na huwezi kuvipata kwa bei ya chini; mtunzi anakusanya data kwa kusafiri sehemu mbalimbali ili kukamilisha kitabu hicho.
Kitabu cha namna hiyo siyo sawa na kitabu ambacho mtu anakaa na kuweka mawazo yake pamoja kama kitabu. Kabla wale jamaa hawajapanga bei zao hutaka kujua kuwa mtunzi anasema nini; na mara zote bei zao ni kama 10-15% tu ya bei ya mtunzi, plus tax na gharama za shipping and handling!!
YANAYOENDELEA WILAYA YA HAI NI MKAKATI MAALUMU UMEPANGWA Kwanza Niseme Jambo Moja Mliopo Nje Ya Wilaya Ya Hai Hamjui Kinachoendelea Huku Haya Masuala Naomba Mzingumze Kisiasa Sisi Wananchi Tunaoishi Hai Ndio Tunajua Chanzo Ni Nini kuhusu Yanayoendelea Na Nitoe Pongezi Zangu Sana Kwa DC Sabaya...
Huyu itakuwa ni Mtanzania wa pili baada ya Gwajima na kitabu chake cha Kijapani!!
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji125][emoji125][emoji125]