Mtanzania aingiza kitabu chake soko la WALMART Marekani

Tapeli mwenye macho makavu. Sijui ni ujasiri wa bange au vipi🤣
 
Kwanza hongera kwa Yericko Nyerere kuweza kufika ngazi hivyo ya soko.

Je kinapatikana ktk lugha ya Kiingereza ili wigo wa wasomaji uongezeke? Kama sivyo fanya hima kipatikane ktk chapisho sanifu cha hiyo lugha nyingine ya kimataifa ya English.
Asante sana mkuu nitafanyia kazi jambo hili mapema
 
Huyu itakuwa ni Mtanzania wa pili baada ya Gwajima na kitabu chake cha Kijapani!!
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji125][emoji125][emoji125]
Hahahaa daaah
 
Dah!!! Umekuja kunisaka na huku mkuu
Kwa nini yasiishie kule?
 
Hongera sana kwa kuweza kuandika kitabu...hongereni pia na walioweza kusoma..hongera sana...mimi nitavinunua naimani pengine wanangu watapewa kipaji cha kusoma...
 
Safiii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…