KDF-BabaYao
JF-Expert Member
- Sep 2, 2014
- 221
- 317
- Thread starter
- #21
Akanyongwa vizuri gerezani, nguruwe yeye🤣Kuna huyu hadi alikua na ujasiri wa kuvaa kofia yenye rangi za bendera ya nchi yake Tanzania na kuja kutupiga mabomu
![]()
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akanyongwa vizuri gerezani, nguruwe yeye🤣Kuna huyu hadi alikua na ujasiri wa kuvaa kofia yenye rangi za bendera ya nchi yake Tanzania na kuja kutupiga mabomu
![]()
Labda hao ndio wakageuzwa bikra🤣Hao mabikra wa peponi nani kawaona
Baada ya kuwanyima hifadhi wakimbizi toka Mozambique na kuwa hangaisha raia kwa kutupa makobora hovyo. Magaidi Bado Wana gain foothold na support.Magaidi wanatujua vizuri sana, wakigusa Ardhi ya Tanzania tu, ndio mwisho wao, watabaki kushambulia nchi zilizotuzunguka, ila taarifa wamezipata toka kwa wenzao wa Mozambique. Tanzania hoyeee.
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
There is nor a single country or terrorists group which doesn't know the strength of TPDF, who ever tries, we make him a lesson for others, ask Uganda and Mujahidin from Mozambique.It will come back to bite them
Ngoja tu, kwanza vile Magufuli ako ruthless watastrike back
Hao maSheikh wanao wapotoza vijana watafutwe vizuri sana huko Tz.
Sanasana maeneo ya Kilimanjaro,Arusha na Tanga, msiwafuate hawa wasomali kutoka hapo Namanga mtatumiwa tu.
Tanzania is not Kenya, we know very well how to play the game. Those from Mozambique terrorists group is now the history.Baada ya kuwanyima hifadhi wakimbizi toka Mozambique na kuwa hangaisha raia kwa kutupa makobora hovyo..... Magaidi Bado Wana gain foothold na support .
Damu moto tu, doesn't make sense, he's not that deep yet, huyo alikuwa na hamu ya moto moto tu, umemchoma.Mimi nashangazwa kwamba mtu anaslimu mwaka wa 2015 na miezi kadhaa huyo ashaenda vita somalia.
Jamaa kama huyo anaelewa dini kweli? Ama ni damu moto tu
Mawili, aidha vijana kama hao wana asili ya ukatili na uhalifu mioyoni, au wamekua brainwashed.Mimi nashangazwa kwamba mtu anaslimu mwaka wa 2015 na miezi kadhaa huyo ashaenda vita somalia.
Jamaa kama huyo anaelewa dini kweli? Ama ni damu moto tu
Ndio nashangazwa, mtu kama huyo ataita wengine kafiri kivipi🤣Damu moto tu, doesn't make sense, he's not that deep yet, huyo alikuwa na hamu ya moto moto tu, umemchoma.
Mapaja ya wapi, wanadanganywa na hadithi za kwenye mavitabu yaliyokuja kwenye majahazi bure tu, wao wanajuaje kama hapa tulipo pengine ndipo peponi!!? Ovyo kabisa hawaatakuwa mapajani tu amekumbatiwa na hao mabikra
Andika kiswahili fasaha we babu OnyangoIt will come back to bite them
Ngoja tu, kwanza vile Magufuli ako ruthless watastrike back
🤣🤣 sasawa nlikuwa nataka niwakanganye kiasiAndika kiswahili fasaha we babu Onyango
Brainwashed na wahalifu, wanatazama zile video za magaidi wa somaliamawili, aidha vijana kama hao wana asili ya ukatili na uhalifu mioyoni, au wamekua brainwashed
Kaa chini ujiulize kwanini hao vijana,wakishapewa mafunzo,hawarudi bongo,kufanya mashambulizi,Kundi la Alshabaab limethiri ya kwamba raia wa Tanzania alihusika katika shambulizi la Manda airfield huko Lamu Kenya.
Jamaa huyu alislimu na kuwa muislamu mwaka wa 2015, kisha akapelekwa Somalia kupigana.
Nimewaambia mara ngapi nyie bongolala kwamba mna shida ya ugaidi nchini mwenu. Tanzania ndio imefuatilia Kenya kutoa idadi kubwa ya wapiganaji Somalia.
Sasa hivi mmezingirwa na vita vya magaidi huko Mozambique na Congo, very soon vijana wengi watazidii kujiunga na vikundi hivi na kisha kuwatishia usalama wenu.
Mjiadhari wadanganyika...kijana wenu wa pili kuuliwa Kenya kwa sababu ya ugaidi after yule Mberesero.View attachment 1667347
Mbona unajidanganya ?Kaa chini ujiulize kwanini hao vijana,wakishapewa mafunzo,hawarudi bongo,kufanya mashambulizi,
Kwanini wanaona Kenya,ni rahisi sana,kuishambulia,
Kipindi Islamic state imeshamili,jiulize kwanini hao magaidi hawakuthubutu kufanya mashambulizi Iran,au Israel?
Ukipata jibu,kaa kimya,usimwambie mtu
Sasa mwajiona mna border security ya Iran na Israel🤔Kaa chini ujiulize kwanini hao vijana,wakishapewa mafunzo,hawarudi bongo,kufanya mashambulizi,
Kwanini wanaona Kenya,ni rahisi sana,kuishambulia,
Kipindi Islamic state imeshamili,jiulize kwanini hao magaidi hawakuthubutu kufanya mashambulizi Iran,au Israel?
Ukipata jibu,kaa kimya,usimwambie mtu
Hahahaha, hahahaha, hahahaha. Weak Army, weak internal security, weak unity among Kenyan citizensSasa mwajiona mna border security ya Iran na Israel[emoji848]
Sijui kama mnaielewa border ya Kenya,kwanza sehemu ya boni forest kuenda hadi Ras Kamboni...
Kundi la Alshabaab limethiri ya kwamba raia wa Tanzania alihusika katika shambulizi la Manda airfield huko Lamu Kenya.
Jamaa huyu alislimu na kuwa muislamu mwaka wa 2015, kisha akapelekwa Somalia kupigana.
Nimewaambia mara ngapi nyie bongolala kwamba mna shida ya ugaidi nchini mwenu. Tanzania ndio imefuatilia Kenya kutoa idadi kubwa ya wapiganaji Somalia.
Sasa hivi mmezingirwa na vita vya magaidi huko Mozambique na Congo, very soon vijana wengi watazidii kujiunga na vikundi hivi na kisha kuwatishia usalama wenu.
Mjiadhari wadanganyika...kijana wenu wa pili kuuliwa Kenya kwa sababu ya ugaidi after yule Mberesero.View attachment 1667347