Mtanzania alihusika katika shambulizi la Kambi ya Marekani huko Manda, Lamu

Mtanzania alihusika katika shambulizi la Kambi ya Marekani huko Manda, Lamu

Ukipigwa lazima ulalamike na utie huruma[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Walifikiria vile ni vita gya drone, tena wana bahati wanaishi na KDF mle ndani lkn wangelifyekwa vibaya sana..
Ila vijana wetu wakupasua ubongo wakawahi faster kuwapeleka mbele za haki
Mlikimbia nyie bure kabisa mpaka Leo mmeshindwa kuwamaliza alshabab wakati sisi wiki mbili tu tuliwaangamiza wote msumbiji
 
Mlikimbia nyie bure kabisa mpaka Leo mmeshindwa kuwamaliza alshabab wakati sisi wiki mbili tu tuliwaangamiza wote msumbiji
Subutu[emoji1787][emoji1787]
Wale walipiga wakenda kupambana na jeshi la msumbiji...
 
umekuja moto yet bila kujua unaongea pumba.

haya twambie mkivamiwa kambi yote ni sector gani inatakiwa kupambana!!!

mama wa sectors[emoji38][emoji38][emoji38],poor kabisa.
Wapi manda paliandikwa kumevamiwa kambi yote kando na sehemu ya USA[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Subutu[emoji1787][emoji1787]
Wale walipiga wakenda kupambana na jeshi la msumbiji...
Jeshi la msumbiji lilishawashindwa siku nyingi wakachukua mpaka bandari wazee wa kazi tulipoingia tulitumia wiki 2 tu na hatuna sifa tutatangaze tulienda huko
 
Mlikimbia nyie bure kabisa mpaka Leo mmeshindwa kuwamaliza alshabab wakati sisi wiki mbili tu tuliwaangamiza wote msumbiji
Nani kakimbia ? Hahaa...infact KDF ilipeleka attack helikopta wakati askari wa ardhini waliwafunika Wanajeshi wa Merika ambao walikuwa wamezidiwa nguvu.
Ukiangalia utaona MD500 ikiruka.
WhatsApp-Image-2020-01-23-at-13.25.022-768x576 (1).jpeg
 
Wapi manda paliandikwa kumevamiwa kambi yote kando na sehemu ya USA[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Jamaa walivamia upande wa airstrip...hapo ndipo walipiga Rpg na kuwapata wamerikani wawili wakiwa wamelala ndani ya ndege fulani inayo tumika na CIA contractors kwa operations za kijasusi Somalia
.Huyo jamaa mwingine was killed in the Ensuing gunfight.
Alafu Kama ilivyo kawaida ya CIA contractors they don't trust local security since hawataki classified Intel to fall into the wrong hands ...so the airstrip at the time of the attack was been manned by Americans ..Kdf only came to help them out.
 
Jeshi la msumbiji lilishawashindwa siku nyingi wakachukua mpaka bandari wazee wa kazi tulipoingia tulitumia wiki 2 tu na hatuna sifa tutatangaze tulienda huko
Kama mliwamaliza mbona juzi Total wame sitisha shughuli zao baada ya mashambulizi?...ama bado hujapata habari.?
 
Vijana wanaaminishwa vitu visvyokuepo wanaingia mtegoni

Swali la kujiuliza ni kwanini hawa Vijana wanarubunika kirahisi hivyo na kujiunga na makundi haya ya kigaidi ambako wanaweka maisha yao rehani?
 
Watakimbiaje sehemu ambayo hawakuwepo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Huna unachokijua kuhusu kambi za jeshi tena joint[emoji1787][emoji1787]
Hata mimi ndo nashanga watakimbiaje na hata hawakuwa wakishika doria kwenye airstrip . .....Kambi ya Jeshi la Merika haikuwa lengo wala haikuathiriwa na pia eneo la Kenya Navy huko Lamu halikuathiriwa.
Lengo lilikuwa ndege za ujasusi (special mission aircrafts) zilizoegeshwa kwa Airstrip..haswa (De Havilland Dash-8 ) ambayo ilikuwa ikitumika na CIA na imewahi kuonekana hata huko Libya 2017.
The myth that Kuna base ilishambuliwa was debunked through ONSIT and Geo locationing....that's why Kdf never even bothered to respond to the unfounded claims.
IMG_20210105_004418.jpg
 
Hata kule El Ade pia walikimbia, Kenya mnasifika sana kwa kukimbia duniani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hili shambulio lilionesha jinsi gan KDF ni dhaifu walishambuliwa kwa nusu saa wakapoteza askari battalion nzima (hapa walikuwa wanaruhusiwa kujibu mashambulizi)

jwtz walishambuliwa kwa masaa 13 wakapoteza askari 14 (jwtz walikuwa hawaruhusiwi kujibu mashambulizi zaidi ya kujihami) na kubwa zaidi hawakuacha kambi itekwe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hili shambulio lilionesha jinsi gan KDF ni dhaifu walishambuliwa kwa nusu saa wakapoteza askari battalion nzima (hapa walikuwa wanaruhusiwa kujibu mashambulizi)

jwtz walishambuliwa kwa masaa 13 wakapoteza askari 14 (jwtz walikuwa hawaruhusiwi kujibu mashambulizi zaidi ya kujihami) na kubwa zaidi hawakuacha kambi itekwe

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaa compare oranges with oranges.. mnashambuliwa na mapanga kwa masaa 13 ?.hahaa....Usilinganishe impact ya VBIEDs na sucide bombers na mapanga.
 
Najua unajua kabisa kuwa askari wa jwtz hawakushambuliwa na mapanga ila unajifariji tu

pia najua unajua kuwa lile shambulio la jwtz kuna tetesi kuwa lilipangwa na wakubwa na walitumia askari wenye waredi wa hali ya juu

kwaiyo mkishambuliwa na mabomu ndio kunahalalisha kupoteza askari battalion nzima na kuliwa tigo juu ndani ya kambi yenu [emoji23][emoji23]
Hahaa compare oranges with oranges.. mnashambuliwa na mapanga kwa masaa 13 ?.hahaa....Usilinganishe impact ya VBIEDs na sucide bombers na mapanga.
 
Hao maSheikh wanao wapotoza vijana watafutwe vizuri sana huko Tz.

Sanasana maeneo ya Kilimanjaro,Arusha na Tanga...msiwafuate hawa wasomali kutoka hapo Namanga mtatumiwa tu
Inahitajika nguvu ya ziada na security ya hali ya juu kukabiliana na haya mambo. Otherwise with this trend worst things are going to happen as these peoples are building up and expanding. Sometimes you feel as if there's security/intel lapse.
 
Najua unajua kabisa kuwa askari wa jwtz hawakushambuliwa na mapanga ila unajifariji tu

pia najua unajua kuwa lile shambulio la jwtz kuna tetesi kuwa lilipangwa na wakubwa na walitumia askari wenye waredi wa hali ya juu

kwaiyo mkishambuliwa na mabomu ndio kunahalalisha kupoteza askari battalion nzima na kuliwa tigo juu ndani ya kambi yenu [emoji23][emoji23]
I repeat compare oranges with oranges..usilinganishe watoto wa congo na alshabaab.
Hivi unajua VBIED ndo nini ?...
 
Sio mbaya na jkt kibao walioko mtaani wana usongo wa kuingia front wanatamani hiyo chaneli hata kesho
 
Itabidii serikali ya Kenya imewatch hawa watanzania wanaoingia Kenya kwa makini sana.
Aliekuambia wakiingia kenya ndio wanakaa hapo nani. Wale ni wapitaji ni kama unavyoona wasomalia wakikamatwa hapa tz nao wanapita kwenda southafrika.akikamatwa ni bahati mbaya
 
Back
Top Bottom