Amen.Hawa alshabaab na bokoharam wanaharibu imani za watu kwa kisingizio cha dini.
Na kibaya zaidi wamekua chombo cha kufanya fujo kwa kila mwenye nia mbaya kwa nchi nyingine kwa kuaminishwa wanapigania imani huku wanaowatumia wakifaidika kiuchumi.
Mwenyezi Mungu awape viongozi wa dini imani ya kweli na macho ya kuona hili na kukemea na kuongoza vijana wao kuepuka huu mtego
Mungu ibariki Tanzania
Kwa mafunzo ya kisomo anachokula kwa kweli hata mwezi tuu ameiva tena ana kuwa morali balaaMimi nashangazwa kwamba mtu anaslimu mwaka wa 2015 na miezi kadhaa huyo ashaenda vita somalia.
Jamaa kama huyo anaelewa dini kweli? Ama ni damu moto tu.
mpigwe tu si mekubali neo colonialist agenda na kuweka hayo makambi ya kivita...wanajua wakifanya ndani lazima wachapwe...tatizo wakenya mnapenda sana hifadhi matapishi ya tanzania mara Tundu lissu,mara lema ,na wengine wakati hujawahi sikia Tanzania tumemiwfadhi mwiguna mwigunaItabidii serikali ya Kenya imewatch hawa watanzania wanaoingia Kenya kwa makini sana.
I repeat compare oranges with oranges..usilinganishe watoto wa congo na alshabaab.
Hivi unajua VBIED ndo nini ?...
Mbona wenzako wanadai eti mliwamaliza kwa wiki mbili ?Amen.
Jana tuu nimesikia dw wanasema maeneneo yanayochimba gass mpaka mwa msumbiji wameshambulia sasa sijajua kama ni upande wa tz au laa bado nafuatilia
Jeshi letu wapo makini sana kulinda mipaka yetuAmen.
Jana tuu nimesikia dw wanasema maeneneo yanayochimba gass mpaka mwa msumbiji wameshambulia sasa sijajua kama ni upande wa tz au laa bado nafuatilia
Angetuwekea ushahidi sio anasem hivyo alafu tunaona bataliani nzima ya jeshi inahamia tena hukoMbona wenzako wanadai eti mliwamaliza kwa wiki mbili ?
Umebadilisha gear[emoji23][emoji23]Hata kule El Ade pia walikimbia, Kenya mnasifika sana kwa kukimbia duniani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mumeshambuliwa kw mapanga kisha bado mkachapwaHili shambulio lilionesha jinsi gan KDF ni dhaifu walishambuliwa kwa nusu saa wakapoteza askari battalion nzima (hapa walikuwa wanaruhusiwa kujibu mashambulizi)
jwtz walishambuliwa kwa masaa 13 wakapoteza askari 14 (jwtz walikuwa hawaruhusiwi kujibu mashambulizi zaidi ya kujihami) na kubwa zaidi hawakuacha kambi itekwe
Sent using Jamii Forums mobile app
Mi nawashangaa, mapanga aisee alafu wameketi massa yote hayo walsti elade walianza suicide bomber vehichles, RPGs za kumwaga kona zote za kambi..Hahaa compare oranges with oranges.. mnashambuliwa na mapanga kwa masaa 13 ?.hahaa....Usilinganishe impact ya VBIEDs na sucide bombers na mapanga.
Mwambie huyo[emoji23][emoji23][emoji23]I repeat compare oranges with oranges..usilinganishe watoto wa congo na alshabaab.
Hivi unajua VBIED ndo nini ?...
Mbona wenzako wanadai eti mliwamaliza kwa wiki mbili ?
KDF jeshi linaloongoza kwa kukimbia duniani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]I repeat compare oranges with oranges..usilinganishe watoto wa congo na alshabaab.
Hivi unajua VBIED ndo nini ?...
Unabishana na mafala hawaelewi protocols zozote za waAmerikani au CIA missions.Jamaa walivamia upande wa airstrip...hapo ndipo walipiga Rpg na kuwapata wamerikani wawili wakiwa wamelala ndani ya ndege fulani inayo tumika na CIA contractors kwa operations za kijasusi Somalia
.Huyo jamaa mwingine was killed in the Ensuing gunfight.
Alafu Kama ilivyo kawaida ya CIA contractors they don't trust local security since hawataki classified Intel to fall into the wrong hands ...so the airstrip at the time of the attack was been manned by Americans ..Kdf only came to help them out.
Yemen kwa bei nafuuaisee naona mpaka wana RPG, hizi silaha kubwa wanazipatia wapi?
Umesahau pale mtwara wavunja tofali mlichinjwa kama kuku na wengine wenu kuchana mbuga 🏃♂️🏃♂️🏃♂️Hawana jeshi Kenya, they have gays in uniform [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]