NetMaster
JF-Expert Member
- Sep 12, 2022
- 1,454
- 4,925
Mzee anajisnichi mwenyewe, ni kama anajivunia kwa kazi haramu aliyowahi kuifanya
uyu mzee ni kama vile sio mzima kwakweli, ana jitoa ufaamu wazi wazi.
anaonyesha hadi id yake aliyotumia Kenya pamoja na chapisho la gazeti kwamba ni "wanted".
chanzo ni Millard, ni credible source so nahisi hawatakua kama Hawa wengine wa kibongo wanaotupotezea muda na mb kwa zile video wanazolipa watu wanakuja kuleta shuhuda za uongo na upuuzi ili wapate viewers!
Hapo kwenye wizi wa simu miaka ya 1999 watanzania tusiwe wabishi, kwa nchi kama Kenya simu zilishaanza kusambaa tangu miaka ya 1997, mitandao iliyovuma ni kencell, telkcom, safaricom, n.k.
uyu mzee ni kama vile sio mzima kwakweli, ana jitoa ufaamu wazi wazi.
anaonyesha hadi id yake aliyotumia Kenya pamoja na chapisho la gazeti kwamba ni "wanted".
chanzo ni Millard, ni credible source so nahisi hawatakua kama Hawa wengine wa kibongo wanaotupotezea muda na mb kwa zile video wanazolipa watu wanakuja kuleta shuhuda za uongo na upuuzi ili wapate viewers!
Hapo kwenye wizi wa simu miaka ya 1999 watanzania tusiwe wabishi, kwa nchi kama Kenya simu zilishaanza kusambaa tangu miaka ya 1997, mitandao iliyovuma ni kencell, telkcom, safaricom, n.k.