Mzee anajisnichi mwenyewe, ni kama anajivunia kwa kazi haramu aliyowahi kuifanya
uyu mzee ni kama vile sio mzima kwakweli, ana jitoa ufaamu wazi wazi.
anaonyesha hadi id yake aliyotumia Kenya pamoja na chapisho la gazeti kwamba ni "wanted".
chanzo ni Millard, ni credible source so nahisi hawatakua kama Hawa wengine wa kibongo wanaotupotezea muda na mb kwa zile video wanazolipa watu wanakuja kuleta shuhuda za uongo na upuuzi ili wapate viewers!
Hapo kwenye wizi wa simu miaka ya 1999 watanzania tusiwe wabishi, kwa nchi kama Kenya simu zilishaanza kusambaa tangu miaka ya 1997, mitandao iliyovuma ni kencell, telkcom, safaricom, n.k.
Kama ni kweli basi Sheria zifate mkondo wake, huku kwetu tunachukulia vitu simple sana, Kuna story 'pendwa' hapa jf mtu anaelezea matukio aliyoyafanya akiwa jambazi, yaani anaelezea location mpaka anataja watu majina
Nikiwa nasoma nikawa nawaza ' I hope it's not true' maana kaweka details zote, kama ni kweli tukio Hilo lipo on record mtu unaweza shikwa na ukafungwa vizuri tu
YouTube Kuna akaunti inaitwa A&E Kuna clip za 'cold case files' yaani polisi Kule Wana kitengo Cha kufatilia kesi zote ambazo hazikupata ufumbuzi(cold cases) hata kama ikiwa imepita miaka 40 mauaji yaliyotokea na hakuna aliyeshikwa Kuna kitengo wanaendelea na investigation, watu wengi wameshikwa baada ya zaidi ya miaka 10 au 20 baada ya kufanya uhalifu
Kwa hiyo kama anajitangaza alifanya uhalifu naamini records zitakuwepo na Sheria ifate mkondo wake, hua nashangaa Sana mtu kujitokeza eti nilikua jambazi,tuliua mtu au watu ila sasa hivi nimebadilika sijui blah blah, vyombo vya usalama kamateni Hawa watu wahoji kama ni kweli wapewe stahiki zao, nothing goes unpunished!!
Millard ni credible source so nahisi hawatakua kama Hawa wajinga wengi wa kibongo wanaotupotezea muda na mb kwa content za kijinga maana hua wanalipa watu wanakuja kuleta confessions za uongo na upuuzi ili wapate viewers! Unakuta heading eti 'shemeji alinikuta nimelala akaniingizia nyuma' upumbavu mtupu
Millard ni credible source so nahisi hawatakua kama Hawa wajinga wengi wa kibongo wanaotupotezea muda na mb kwa content za kijinga maana hua wanalipa watu wanakuja kuleta confessions za uongo na upuuzi ila wapate viewers! Unakuta heading eti 'shemeji alinikuta nimelala akaniingizia nyuma' upumbavu mtupu
Kama ni kweli basi Sheria zifate mkondo wake, huku kwetu tunachukulia vitu simple sana, Kuna story 'pendwa' hapa jf mtu anaelezea matukio aliyoyafanya akiwa jambazi, yaani anaelezea location mpaka anataja watu majina..
Stori ya uongo hii. 1999 watu waliporwa simu zao? Hiyo 99 simu zilikuwepo ila kwa watu wachache mno kiasi kwamba utakuta mji mzima wenyewe simu hawafiki 10.
Stori ya uongo hii. 1999 watu waliporwa simu zao? Hiyo 99 simu zilikuwepo ila kwa watu wachache mno kiasi kwamba utakuta mji mzima wenyewe simu hawafiki 10.
Ni Kenya sio Tanzania, Kwa kenya simu za mkononi zimeanza kuwepo tangu 1995
Tanzania hapa tupo nyuma sana kwenye teknolojia, hata tv zilianza kuwepo majumbani kuanzia miaka ya 90 wakati kenya ni tangu zamani, Muda huu kenya nyumba kibao zina fibre internet lakini huku kwetu bado.
Hivi zile simu kubwa zenye mkonga za mtandao wa mobitel kwa Tanzania nakumbuka kama sikosei zilianza kutumika mwaka 1995, zilikuwa kubwa kama kipande cha sabuni ya mche!