Mtanzania, Alphonce Simbu ashika nafasi ya tatu Marathon IAAF LONDON

Hongera magufuli kwa kumsupport kijana kutuwakilisha huko kwa kwini. Magufuli oyee

Sent using Jamii Forums mobile app
magufuli kamsapoti wapi wewe usilete siasa kwenye jasho la mtu, simbu wa watu kapuyanga zake tu huko mtaani tunamfahamu,aheri hilo pongezi ungempa mke wake simbu ningekuona wa maana. Ila pongezi nyingi zimfikie jamaa Simbu popote alipo London pamoja na mke wake aliyemtia moyo kwa kazi yake
 
Arusha ni mkombozi wa hii nchi katika kila nyanja
wengi hamuelewi vizuri historia inapokuja suala la riadha TZ mkoa wa Manyara ndo habari ya dunia wala c Arusha kama wanavyodhani wengi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…