Mtanzania, Alphonce Simbu ashika nafasi ya tatu Marathon IAAF LONDON

Mtanzania, Alphonce Simbu ashika nafasi ya tatu Marathon IAAF LONDON

Mkenya mda wote alikuwa anageuka nyuma alichoka sana

mchana toch ,usiku magogo tufanyaje?

Sio Mkenya ni mtu wa Ethiopia

Labda naye Simbu alikuwa kachoka pia, ingawa angeweza kumpita kama angekomaa zaidi

Ila la msingi ni kuwa tumpongeze kwa kazi nzuri aliyoifanya
 
Huyu kijana tumuombee siku moja afute ile kauli ya Mzee Mwinyi
Kumbe mnajielewa ninyi ni vichwa vya wendawazimu kila mtu anajifunza kunyolea tukiongea ukweli mnaona tunadharau. Kumbe kiuhalisia unajua hali zetu zilivyo wtz bana
 
Mtanzania Joseph Simbu ashika nafasi ya tatu katika mashindano ya kimataifa ya raidha (IAAF) huko jijini London.

Simbu amepambana sana sana na kukaribia kushika nafasi ya pili
Jamaa huwa anajitahidi last few kms...hata Rio Olympics km chache za mwisho alitoka nafasi ya kumi hadi ya tano
 
b8027a36c522e2169b14427c607f50ca.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
Tz na Ethiopia seknde 2 tu

Sent using Jamii Forums mobile app from my Android phone
 
Ni kweli kama Simbu angekaza angechukua Silver,hata hivyo kajitahidi ,katika mashindano haya hatujawahi kuchukua medal yoyote hata akina Bayi hawakuweza.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli angekaza angechukua silver.. Ila yule mu Ethiopia aliyeshika ya kwanza ni nyoko kawaacha mbali sana

Had wazungu wanashika shika miguu yake labda wanajua plstik

mchana toch ,usiku magogo tufanyaje?
 
Bora tu awe wa mwisho,ili awe anaokota 'hela' wanazoangusha wenzie sasa,maana huku Tanzania hali ngumu kwa kweli...!
 
Nilikuwa naangalia hapa ila daah wakenya wanakimbia bwana .

Lakini hongera sama mtanzania kwa kuja na medari angalau....
Mkenya mmoja tu(bingwa Kirui) ndio kamshinda Simbu, Kipketer kapitwa na Simbu kaambulia nafasi ya tano.
 
Back
Top Bottom