Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 15,835
- 23,776
Mashindano gani?
Fiesta
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mashindano gani?
....Huyu jamaa ndie wa Arusha kwa Iddi alikuwa akiishi maisha ya tabu na mkewe na mwanae mmoja ,yaani jamaa anaamka asubuhi yeye ni kukimbia tu kufanya mazoezi wengi wakamuona kama chizi vile akafanya maajabu RIO kwenye Olympic na sasa kashinda Mumbai ..kweli bidii na uvumilivu na discipline ni vitu muhimu sana
Hongera Simbu Mungu aendelee kukubariki mpaka ushangae
wakenya hawakuwepo
wako sana.Kulikuwa hakuna wakenya...
wako sana.
Walijua hivo ndio manake ameshinda.Haaaàa kwa hio alijua kama wakenya hawapo ndo
angeshinda
True nasikia ni kutoka Singida lakini anaishi Arusha pia Olympic alikuwa watano. MUNGU amemlipa juhudi zake zimezaa matunda.Huyu jamaa ndie wa Arusha kwa Iddi alikuwa akiishi maisha ya tabu na mkewe na mwanae mmoja ,yaani jamaa anaamka asubuhi yeye ni kukimbia tu kufanya mazoezi wengi wakamuona kama chizi vile akafanya maajabu RIO kwenye Olympic na sasa kashinda Mumbai ..kweli bidii na uvumilivu na discipline ni vitu muhimu sana
Hongera Simbu Mungu aendelee kukubariki mpaka ushangae
Ccm watasema alikuwa kwenye ilani yao. So ushindi wake ni kutimiza ilani ya chamaChadema watapinga