Pre GE2025 Mtanzania anatekwa nchi jirani hakuna tamko lolote kutoka serikali ya Tanzania, hii ina maana gani?

Pre GE2025 Mtanzania anatekwa nchi jirani hakuna tamko lolote kutoka serikali ya Tanzania, hii ina maana gani?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu,

Toka tukio la utekaji wa Maria limetokea jana Januari 12, 2024, akapatikana, akatoa statement kwa ufupi na kusema ataongea vizuri leo hakuna neno lolote kutoka serikali ya Tanzania kuhusu utekaji huo uliofanyika kwa majirani zetu!

Soma Pia: Mwanaharakati Maria Sarungi adaiwa kutekwa na watu wenye silaha Nairobi, wakiwa na Noah nyeusi

Lakini Rais Samia katoa neno jana Simba ilipofuzu kuingia hatua ya Robo Fainali! Mpira una maana sana na tukio la Maria kutekwa ni upuuzi ambao hauhitaji attention ya Rais na Serikali kwa ujumla?

IMG_20250113_150716_557.jpg

Hii ina maana gani? Serikali imebariki utekaji huo? Wanajua wahusika hivyo hakuna haja ya kuliongelea? Serikali haijali kabisa wananchi wake? Kuna ushirikiano wa vitendo hivi na serikali ya Kenya? Maana kule nako vitendo hivi vimeshamiri karibuni mpaka wakafanya maandano.

Kwanini serikali haijatoa neno lolote kuhusu hili?
 
Wakuu,

Toka tukio la utekaji wa Maria limetokea jana Januari 12, 2024, akapatikana, akatoa statement kwa ufupi na kusema ataongea vizuri leo hakuna neno lolote kutoka serikali ya Tanzania kuhusu utekaji huo uliofanyika kwa majirani zetu!

Lakini Rais Samia katoa neno jana Simba ilipofuzu kuingia hatua ya Robo Fainali! Mpira una maana sana na tukio la Maria kutekwa ni upuuzi ambao hauhitaji attention ya Rais na Serikali kwa ujumla?


Hii ina maana gani? Serikali imebariki utekaji huo? Wanajua wahusika hivyo hakuna haja ya kuliongelea? Serikali haijali kabisa wananchi wake? Kuna ushirikiano wa vitendo hivi na serikali ya Kenya? Maana kule nako vitendo hivi vimeshamiri karibuni mpaka wakafanya maandano.

Kwanini serikali haijatoa neno lolote kuhusu hili?
Tamko la ninj wakati kwshrudi home ?
 
Wakuu,

Toka tukio la utekaji wa Maria limetokea jana Januari 12, 2024, akapatikana, akatoa statement kwa ufupi na kusema ataongea vizuri leo hakuna neno lolote kutoka serikali ya Tanzania kuhusu utekaji huo uliofanyika kwa majirani zetu!

Lakini Rais Samia katoa neno jana Simba ilipofuzu kuingia hatua ya Robo Fainali! Mpira una maana sana na tukio la Maria kutekwa ni upuuzi ambao hauhitaji attention ya Rais na Serikali kwa ujumla?


Hii ina maana gani? Serikali imebariki utekaji huo? Wanajua wahusika hivyo hakuna haja ya kuliongelea? Serikali haijali kabisa wananchi wake? Kuna ushirikiano wa vitendo hivi na serikali ya Kenya? Maana kule nako vitendo hivi vimeshamiri karibuni mpaka wakafanya maandano.

Kwanini serikali haijatoa neno lolote kuhusu hili?
Hao wanaokashfu Viongozi & Serikali wakitekwa nani awahurumie au kujishughulisha nao? Utakuwa unafiki
 
Hao wanaokashfu Viongozi & Serikali wakitekwa nani awahurumie au kujishughulisha nao? Utakuwa unafiki
Wamewakashafu wapi? Unataka kila mtu awe kondoo kama wewe, tukae wote meeee!!! Tupisheee

Hata kama ni kukashifu, kama wamevunja sheria si wapelekwe mahakamani? Kwahiyo hivyo ndio "wanadeal" nao?
 
Ubinadamu wako na utu wao haina thamani kwa kuwa kama unavyosema "wanaikashfu Serikali"

Kwani Serikali ni nini na Iko Kwa ajili ya nani?
Serikali sio mawe ni watu.Nani aoneshe ubinadamu kwani wao wanavyotukana na kudhalilisha viongozi Huwa hawajui Kuna ubinadamu?

Mimi siwezi kuwa mnafiki wa hivyo labda ufanye wewe
 
Back
Top Bottom