Pre GE2025 Mtanzania anatekwa nchi jirani hakuna tamko lolote kutoka serikali ya Tanzania, hii ina maana gani?

Pre GE2025 Mtanzania anatekwa nchi jirani hakuna tamko lolote kutoka serikali ya Tanzania, hii ina maana gani?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wakuu,

Toka tukio la utekaji wa Maria limetokea jana Januari 12, 2024, akapatikana, akatoa statement kwa ufupi na kusema ataongea vizuri leo hakuna neno lolote kutoka serikali ya Tanzania kuhusu utekaji huo uliofanyika kwa majirani zetu!

Lakini Rais Samia katoa neno jana Simba ilipofuzu kuingia hatua ya Robo Fainali! Mpira una maana sana na tukio la Maria kutekwa ni upuuzi ambao hauhitaji attention ya Rais na Serikali kwa ujumla?


Hii ina maana gani? Serikali imebariki utekaji huo? Wanajua wahusika hivyo hakuna haja ya kuliongelea? Serikali haijali kabisa wananchi wake? Kuna ushirikiano wa vitendo hivi na serikali ya Kenya? Maana kule nako vitendo hivi vimeshamiri karibuni mpaka wakafanya maandano.

Kwanini serikali haijatoa neno lolote kuhusu hili?
Nani alimtuma huko Nairobi
 
Ukiacha mdomo na kufuata maisha yako hata utekwi ila kila kukicha unahangaika na watu nchi ya Tanzania haina mamlaka yakuongea lolote maana wanajua tu alipeleka kihere here huko wakamwonyesha . Jigambe kwenu .

Kwa watu ishi kwa stepu . Tanzania haijamteka katekwa huko Kenya , nikenya iongee kwanini wamemteka raia wa Tanzania na hujui chini ya kapeti ninini kinaendelea maisha ya kujifanyaga unajua ni mbaya MIND YOUR OWN BUSINESS IF YOU MIND OTHERS BUSINESS YOU WILL BE FUCKED .
 
Wakuu,

Toka tukio la utekaji wa Maria limetokea jana Januari 12, 2024, akapatikana, akatoa statement kwa ufupi na kusema ataongea vizuri leo hakuna neno lolote kutoka serikali ya Tanzania kuhusu utekaji huo uliofanyika kwa majirani zetu!

Lakini Rais Samia katoa neno jana Simba ilipofuzu kuingia hatua ya Robo Fainali! Mpira una maana sana na tukio la Maria kutekwa ni upuuzi ambao hauhitaji attention ya Rais na Serikali kwa ujumla?


Hii ina maana gani? Serikali imebariki utekaji huo? Wanajua wahusika hivyo hakuna haja ya kuliongelea? Serikali haijali kabisa wananchi wake? Kuna ushirikiano wa vitendo hivi na serikali ya Kenya? Maana kule nako vitendo hivi vimeshamiri karibuni mpaka wakafanya maandano.

Kwanini serikali haijatoa neno lolote kuhusu hili?
Bado wanafinyanga maneno watoa tu
 
Ukiacha mdomo na kufuata maisha yako hata utekwi ila kila kukicha unahangaika na watu nchi ya Tanzania haina mamlaka yakuongea lolote maana wanajua tu alipeleka kihere here huko wakamwonyesha . Jigambe kwenu .

Kwa watu ishi kwa stepu . Tanzania haijamteka katekwa huko Kenya , nikenya iongee kwanini wamemteka raia wa Tanzania na hujui chini ya kapeti ninini kinaendelea maisha ya kujifanyaga unajua ni mbaya MIND YOUR OWN BUSINESS IF YOU MIND OTHERS BUSINESS YOU WILL BE FUCKED .
Amnesty International wamesema mkosoaji wa serikali ya saa 100 atekwa kenya unatakiwa utumie akili za kichwani kuelewa hizo zako za matyako utasubiri sana
 
Wakuu,

Toka tukio la utekaji wa Maria limetokea jana Januari 12, 2024, akapatikana, akatoa statement kwa ufupi na kusema ataongea vizuri leo hakuna neno lolote kutoka serikali ya Tanzania kuhusu utekaji huo uliofanyika kwa majirani zetu!

Lakini Rais Samia katoa neno jana Simba ilipofuzu kuingia hatua ya Robo Fainali! Mpira una maana sana na tukio la Maria kutekwa ni upuuzi ambao hauhitaji attention ya Rais na Serikali kwa ujumla?


Hii ina maana gani? Serikali imebariki utekaji huo? Wanajua wahusika hivyo hakuna haja ya kuliongelea? Serikali haijali kabisa wananchi wake? Kuna ushirikiano wa vitendo hivi na serikali ya Kenya? Maana kule nako vitendo hivi vimeshamiri karibuni mpaka wakafanya maandano.

Kwanini serikali haijatoa neno lolote kuhusu hili?
Pia karibu media zote zimezibwa midomo zisitangaze tukio hilo. Ni gazeti la mwanachi pekee lililojitutumua kwa kuziandika kwa woga. Hili linatuonyesha kuwa serikali ya Samia ndiyo inayoratibu utekaji na mauaji ya raia wasio na hatia
 
Unataka Serikali au Samia aongee nini Kwa mtu ambaye hafaidiki naye Kwa chochote??

Hata wewe mleta mada leo Samia akiskia Kuna lolote baya limekukuta hawezi hata kushtuka, maana hauna significant impact yoyote kwake.

Huku kwenye Moira lazima atoe neno maana amegundua ndio sehemu pekee ya yeye kumaintain popularity yake.
 
Amnesty International wamesema mkosoaji wa serikali ya saa 100 atekwa kenya unatakiwa utumie akili za kichwani kuelewa hizo zako za matyako utasubiri sana
Acha matusi na akili huna na hueleweki peleka ngideri huko kwenu
 
Wakuu,

Toka tukio la utekaji wa Maria limetokea jana Januari 12, 2024, akapatikana, akatoa statement kwa ufupi na kusema ataongea vizuri leo hakuna neno lolote kutoka serikali ya Tanzania kuhusu utekaji huo uliofanyika kwa majirani zetu!

Lakini Rais Samia katoa neno jana Simba ilipofuzu kuingia hatua ya Robo Fainali! Mpira una maana sana na tukio la Maria kutekwa ni upuuzi ambao hauhitaji attention ya Rais na Serikali kwa ujumla?


Hii ina maana gani? Serikali imebariki utekaji huo? Wanajua wahusika hivyo hakuna haja ya kuliongelea? Serikali haijali kabisa wananchi wake? Kuna ushirikiano wa vitendo hivi na serikali ya Kenya? Maana kule nako vitendo hivi vimeshamiri karibuni mpaka wakafanya maandano.

Kwanini serikali haijatoa neno lolote kuhusu hili?
Huyo mtanzania unajua kweli ,je anafaida gani kwenye Taifa lake
 
Mume wa Maria alitoa Taarifa Interpol na Chama Cha Wanasheria wa Kenya hao ndio wamefanikisha Maria kupatikana

Interpol watatumia Taarifa Kwa Serikali Yetu na ndipo tamko litatolewa

Aidha Rais wa LSK ameshawasaliana na mwenzake wa TLS Mh BAK Mwabukusi

Happy New Year 😄
Umekatengeneza kastori kama kakweli hivi...😃😆😄

Niliwahi kukaa na Thom Nyimbo siku moja, nikajua ukweli jinsi unavyopindishwa.

Aliniambia, ukitaka kupindisha ukweli, upindishe huku unatumia sehemu ya ukweli kupindisha ukweli.

Aliniambia kwa mfano unasema " CCM imechokwa Sana... Lakini unadhani watu wengi wameichoka basi, ni watu wachache Sana tena wasio na shukrani"😄😆😃

Sasa wewe hapa umeutumia ukweli kuupindisha ukweli 😅
 
Wakuu,

Toka tukio la utekaji wa Maria limetokea jana Januari 12, 2024, akapatikana, akatoa statement kwa ufupi na kusema ataongea vizuri leo hakuna neno lolote kutoka serikali ya Tanzania kuhusu utekaji huo uliofanyika kwa majirani zetu!

Lakini Rais Samia katoa neno jana Simba ilipofuzu kuingia hatua ya Robo Fainali! Mpira una maana sana na tukio la Maria kutekwa ni upuuzi ambao hauhitaji attention ya Rais na Serikali kwa ujumla?


Hii ina maana gani? Serikali imebariki utekaji huo? Wanajua wahusika hivyo hakuna haja ya kuliongelea? Serikali haijali kabisa wananchi wake? Kuna ushirikiano wa vitendo hivi na serikali ya Kenya? Maana kule nako vitendo hivi vimeshamiri karibuni mpaka wakafanya maandano.

Kwanini serikali haijatoa neno lolote kuhusu hili?
Simba ni kubwa sana kuliko Maria Sarungi.
 
Wakuu,

Toka tukio la utekaji wa Maria limetokea jana Januari 12, 2024, akapatikana, akatoa statement kwa ufupi na kusema ataongea vizuri leo hakuna neno lolote kutoka serikali ya Tanzania kuhusu utekaji huo uliofanyika kwa majirani zetu!

Lakini Rais Samia katoa neno jana Simba ilipofuzu kuingia hatua ya Robo Fainali! Mpira una maana sana na tukio la Maria kutekwa ni upuuzi ambao hauhitaji attention ya Rais na Serikali kwa ujumla?


Hii ina maana gani? Serikali imebariki utekaji huo? Wanajua wahusika hivyo hakuna haja ya kuliongelea? Serikali haijali kabisa wananchi wake? Kuna ushirikiano wa vitendo hivi na serikali ya Kenya? Maana kule nako vitendo hivi vimeshamiri karibuni mpaka wakafanya maandano.

Kwanini serikali haijatoa neno lolote kuhusu hili?
Inashangaza sana!
 
Huyo Maria anakwenda mbali zaidi katika kuifanya roho mbaya serikali. Anafikia hatua ya kujiunga pamoja na maadui wa bandari wakiipinga DPW pale bandarini.

Analeta uadui ndani ya Tanzania ambayo Baba yake mzazi alizaliwa akakua mpaka akawa waziri katika awamu ya pili.
DPW wameipinga watu wengi kutokana na uwekezaji Serikali iliokua imewekeza bandarini Magu angekupo bandari asingeitoa
 
Unataka Serikali au Samia aongee nini Kwa mtu ambaye hafaidiki naye Kwa chochote??

Hata wewe mleta mada leo Samia akiskia Kuna lolote baya limekukuta hawezi hata kushtuka, maana hauna significant impact yoyote kwake.

Huku kwenye Moira lazima atoe neno maana amegundua ndio sehemu pekee ya yeye kumaintain popularity yake.
Rais nimuajiliwa inatakiwa kutimiza uwajibu wake pamoja na kuthamini kila Raia wote bila kujali wanaomkosoa
 
Rais nimuajiliwa inatakiwa kutimiza uwajibu wake pamoja na kuthamini kila Raia wote bila kujali wanaomkosoa
Raisi Gani? Au namuongelea Samia huyu ambaye ameshajitanabaisha yeye ni kiziwi haskii Wala hajali chochote kuhusu malalamiko ya watu?

Samia huyu ambaye anawaambia watu kifo ni kifo tu haijalishi umekufa Kwa nini na huku akisema huu utekaji unaoendelea ni drama tu?

Please wapo maraisi wanaojali lakini sio huyu bibi WA kizanzibari asiyejali chochote kabisa kuhusu Tanganyika
 
Back
Top Bottom