Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani amtolee tamko malaya aliyekimbilia Nairobi na kuweka kambi ya kuoporomoshea matusi nchi yake??Labda utekaji unabaraka zao.
Ni UDWANZI kuishi Nairobi na kutegemea kipato kutola NGOs baada ya kuibagaza nchi yako. Maria haoni lolote zuri linalofanywa na Serikali ya SamiaUbinadamu wako na utu wao haina thamani kwa kuwa kama unavyosema "wanaikashfu Serikali"
Kwani Serikali ni nini na Iko Kwa ajili ya nani?
Serikali ya Tanzania na vyombo vya usalama vya Kenya(Serikali ya Kenya) ndiyo wahusika, Kenya walivyoonya pressure na kelele za 'mabeberu' zimekuwa kubwa immediately baada ya utekaji kutendeka wakaogopa na ku-abort mpango huo bila ya kuishirikisha serikali ya Bongo, hapo serikali ya Bongo ipagawa na kukasirika, vichwa vyao havijakaa sawa imekuwa ghafla hivyo hawajui waseme nini. To cut the long story short serikali ya TZ bado wana hasira kwa kusalitiwa wakati among watekaji kulikuwa na TISS wakirikiana na majasusi wa Kenya(hii ni kutokana na Maria alivyodai according to their accents).Wakuu,
Toka tukio la utekaji wa Maria limetokea jana Januari 12, 2024, akapatikana, akatoa statement kwa ufupi na kusema ataongea vizuri leo hakuna neno lolote kutoka serikali ya Tanzania kuhusu utekaji huo uliofanyika kwa majirani zetu!
Lakini Rais Samia katoa neno jana Simba ilipofuzu kuingia hatua ya Robo Fainali! Mpira una maana sana na tukio la Maria kutekwa ni upuuzi ambao hauhitaji attention ya Rais na Serikali kwa ujumla?
Hii ina maana gani? Serikali imebariki utekaji huo? Wanajua wahusika hivyo hakuna haja ya kuliongelea? Serikali haijali kabisa wananchi wake? Kuna ushirikiano wa vitendo hivi na serikali ya Kenya? Maana kule nako vitendo hivi vimeshamiri karibuni mpaka wakafanya maandano.
Kwanini serikali haijatoa neno lolote kuhusu hili?
Bibi kakosa attention akaona apige filmeeKwani Serikali ya Nchi Jirani imesemaje?🐼
Hawezi kuupinga ukweli, muhuni yule atamuumbua kwa kumwaga data zaidi.Kimetoka kitabu kinasema Makamo wa Rais wakati huo alikoswa kubakwa ila serikali ipo kimya.
Wala huwa haihitaji procedures ndefu, embassy iliposwa kutoa tamko immediately na kuitaka serikali ya Kenya ihakikishe usalama wa raia wa TZ aliyetekwa sadly serikali zote mbili(ya TZ na ya Kenya) zimehusika katika huo utekaji).Serikali haiwezi kukurupuka tu na tamko
Ziko Itifaki za Kimataifa 🐼😂
Hana lolote huyo unayemtetea, anateka na kuua. Si yeye aliyesema kifo ni kifo mbona yeye hafi?"Asiyekuumba kukuumbua hawezi" haya maneno yaliwahi kusemwa na the late Dr Mwene Malecela (r.i.p) baada ya kuundiwa zengwe na kashfa zisizoeleweka na mkubwa flani hivi. Nayarudia Leo hapa kuwaalert nyie haters wa mama Samia, The Mother of Modern Tanzania, kuwa hamuwezi kamwe kushindana na kudra za Mungu.......aliyeamua kumpa na kumstiri itabaki hivyo tu hata mfanye nini. Mnajiumiza wenyewe Bure na michuki yenu hiyo.
Wewe unaisaidia nini nchi yetu kukuza pato la taifa, sana sana umewekwa kwenye section ya kupiga pesa kama anavyofanya Samia na watoto zake.Huyo mtanzania anaisaidia nini nchi kukuza pato la taifa🤔🤔🤔🤔😂😂😂
Sawa, hongereni.Hana lolote huyo unayemtetea, anateka na kuua. Si yeye aliyesema kifo ni kifo mbona yeye hafi?
Kama vile haliwahusuHata Embassy nayo imenyuti
Hana shida ya ulaya, inabidi usome na ujue historia ya mtu. Unayemsema huyo mama yake ni raia wa EU, maria hakataliwi mahali popote pale duniani. Akitaka kuishi anaweza na ana credentials za kutosha siyo kama wewe ukitaka kwenda Ulaya hadi udandie meli au upande mtumbwi kuvuka kwenda Italy. Mwache Maria siyo size yako.Aliji stage mwenyewe kutafuta namna ya kupata political asylum ulaya