Posted by Mwazange: Mgonjwa tayari ameshatutoka?????
Unanambia mimi Kifimbocheza huku unaposti crippity crap kama hiyo ! Huwezi kusema kitu kama hicho mtu bado yuko Hospitali.
Mgonjwa tayari ameshatutoka????? Hebu tupeni updates waheshimiwa........
Huyo JK na serikali yake achaneni naye kwanza...Tumfuatilieni mwenzetu.
That's what I've been trying to do.....Lets keep our hopes and prayers to almighty God......Manzage, please lets keep praying.Dont anticipate....
Wana-JF,
Ule wakati wengine wetu tuliohofia umetimia.
Nasikitika kutangazo kifo cha Ndalima Nzaro kilichotokea leo saa
nane na nusu mchana.Marehemu alituaga kutokana na majeruhi
aliyopata baada ya ajali ya hivi majuzi katika maeneo kidogo nje ya Detroit.
Info kuhusu ajali yenyewe zapatikana katika hii thread:
Mtanzania apata ajali Michigan,Mahtuti.
Watanzania mnaombwa mchango wenu na kama unaweza account infor ni
kama ifuatavyo:
Bank Of America:
Route No. 072000805
A/C No. 5407722411
Mawasiliano zaidi ni kupitia Chinga networks simu nambari 248 796 1267
Kwa sasa watu wanajumika nyumbani kwa Ayub Mfinanga ambaye ni
Mwenyekiti wa TAMI (Tanzanians Association of Michigan) kwa mipango
zaidi.
We will keep you posted as developments happen.
Asanteni kwa sala zenu na maneno ya kuwafariji wafiwa.
Samahani kuuliza.Hivi marehemu alikuwa na mahusiano na ukoo wa Balozi Eva Nzaro?
Ahsante sana kwa juhudi zako za kutupa taarifa kuhusu Mtanzania mwenzetu toka alipopata ajali mpaka anafariki. Mwenyezi Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi~AMEN.
Thanks to you too bro.
Its in times like these that we pull together as one.
Ab-Tichaz,
Pole na wewe pia. Je ulikuwa una ukaribu na Marehemu Ndalima?
Unaweza kunambia mawili matatu kuhusu Marehemu, the person, ambayo naweza kujifunza kwayo?
Watanzania mnaombwa mchango wenu na kama unaweza account infor ni
kama ifuatavyo:
Bank Of America:
A/C Name: Philemon Mzava
27303 Gateway Drive N,Apt # 103
Farmington, MI 48334
Route No. 072000805
A/C No. 5407722411
Mawasiliano zaidi ni kupitia Chinga networks simu nambari 248 796 1267
Kwa sasa watu wanajumika nyumbani kwa Ayub Mfinanga ambaye ni
Mwenyekiti wa TAMI (Tanzanians Association of Michigan) kwa mipango
zaidi.