Influenza
JF-Expert Member
- Jul 1, 2018
- 1,509
- 3,756
Mtanzania Gabriel Geay, ameweka historia kwa kushika nafasi ya pili katika mbio za Boston (Boston Marathon) zilizofanyika kwa mara ya 127 mwaka huu huko Boston, Marekani
Geay alifanikiwa kumaliza mbio baada ya saa 2:06:04 akimaliza nyuma ya kinara, Evans Chebet kutoka Kenya aliyekimbia mbio hizo kwa saa 2:05:54
Evan amefanikiwa kutetea taji hilo mbele ya Eliud Kipchoge (KEN) anayeshikilia rekodi ya dunia katika riadha. Kipchonge ameshika nafasi ya sita katika mbio hizo
Na hizi ndio zawadi wanazopatiwa Washindi katika mbio hizo
Geay alifanikiwa kumaliza mbio baada ya saa 2:06:04 akimaliza nyuma ya kinara, Evans Chebet kutoka Kenya aliyekimbia mbio hizo kwa saa 2:05:54
Evan amefanikiwa kutetea taji hilo mbele ya Eliud Kipchoge (KEN) anayeshikilia rekodi ya dunia katika riadha. Kipchonge ameshika nafasi ya sita katika mbio hizo
Na hizi ndio zawadi wanazopatiwa Washindi katika mbio hizo