Mtanzania apeperusha vema bendera ya Taifa kwenye Boston Marathon. Ashika nafasi ya 2

Mtanzania apeperusha vema bendera ya Taifa kwenye Boston Marathon. Ashika nafasi ya 2

Safi sana,tunataka kuona watu,wanamichezo aina hii
Wanaoitangaza nchi...
Achana na wale wakata mauno

Ova

Hua nikisikiliza nyimbo za moro jazz, vijana jazz, msondo, sikinde, tabora jazz, na rhumba za akina tabuley, franco, madilu, werrasoni, fela kuti, unajua wanamuziki zamani waliimba bana acha siku hizi, unamsikiliza jumbe au komando hamza kalala au ongala au chidumule unaona jamaa walikua na test yao hawa basi tu walituburudisha enzi hawapati hata pesa lakini walifanya na kutumikia vipaji vyao
 
Punguza siasa. Riadha ni kipaji na sio utasema kwamba kwasababu tuko 60m ndo tutapata wanariadha kirahisi. Ingekuwa rahisi kwenye hizo mbio ungeona USA wametawala kwasababu hela wanazo na pia idadi ya watu ni wengi. Au ungeona hata Nigeria wametawala hapo. Mashindano kama ya Boston Marathon yanahusisha vile vipaji vya hali ya juu kabisa kwenye riadha yaani ile top layer kabisa. Hapo world record holder Kipchoge alikuwa wa 6. Kimsingi hapo ni vipaji vitupu. Kwa rekodi alizoweka Geay inaweza kuchukua hata miaka 40 kutokea mtanzania mwingine wa kuzifikia.
Kwa vile ni imani yako endelea kuamini hivyo. Mimi naamini latika nilichoeleza.

Mfano ni mpira wa Miguu. Kuna nchi zilikuwa chini mfano Japan na Korea kusini. Lakini mabadiliko ya sera na uwekezaji leo wapo juu. Unavipataje vipaji nabkuviendeleza ikiwa huna nia ya kufanya hivyo? Sera ni mwongozo.

Sitaki kubadili imani yako, endelea nayo na mimi ya kwangu inabaki hivyo. Tukubaliane kutokubaliana
 
Kwa vile ni imani yako endelea kuamini hivyo. Mimi naamini latika nilichoeleza.

Mfano ni mpira wa Miguu. Kuna nchi zilikuwa chini mfano Japan na Korea kusini. Lakini mabadiliko ya sera na uwekezaji leo wapo juu. Unavipataje vipaji nabkuviendeleza ikiwa huna nia ya kufanya hivyo? Sera ni mwongozo.

Sitaki kubadili imani yako, endelea nayo na mimi ya kwangu inabaki hivyo. Tukubaliane kutokubaliana
Hakuna cha kukubaliana hapa. Kama vipaji hakuna ni hakuna. Labda tuwe na vipaji vya kununua kama USA na nchi za kiarabu. Huko ukiwa na kipaji cha riadha unapewa uraia fasta na mpunga wa kutosha. Kama ingekuwa mambo ya sera na siasa unazoelezea ndo kila kitu basi nchi maskini kama Kenya, Ethiopia na Jamaica zingesumbua kwenye riadha.
 
Listi ya wanariadha wa "Marathon" kidunia na muda wao bora katika mabano ambao walishiriki "Boston Marathon":-

Eliud Kipchoge (KEN) 2:01:09 (WR)
Evans Chebet (KEN) 2:03:00
Gabriel Geay (TAN) 2:03:00
Herpasa Negasa (ETH) 2:03:40
Benson Kipruto (KEN) 2:04:24
Lelisa Desisa (ETH) 2:04:45
Shura Kitata (ETH) 2:04:49
Daniel Do Nascimento (BRA) 2:04:51
John Korir (KEN) 2:05:01
Nobert Kigen (KEN) 2:05:13
Ghirmay Ghebreslassie (ERI) 2:05:34
Andualem Belay (ETH) 2:05:45
Mark Korir (KEN) 2:05:49
Filmon Ande (ERI) 2:06:38
Andamlak Belihu (ETH) 2:06:40
Isaac Mpofu (ZIM) 2:06:48
Hamza Sahli (MAR) 2:07:15
Michael Githae (KEN) 2:07:28
Albert Korir (KEN) 2:08:03
Conner Mantz (USA) 2:08:16
Scott Fauble (USA) 2:08:52
Melikhaya Frans (RSA) 2:09:24
Matt McDonald (USA) 2:09:49
Nico Montanez (USA) 2:09:55
Mick Iacofano (USA) 2:09:55
Mustafa Mohamed (SWE) 2:10:03
Hendrik Pfeiffer (GER) 2:10:18
CJ Albertson (USA) 2:10:23
Nathan Martin (USA) 2:11:05
Colin Mickow (USA) 2:11:22
Wilkerson Given (USA) 2:11:44
Turner Wiley (USA) 2:11:59
Augustine Choge (KEN) 2:20:53
 
Listi ya wanariadha wa "Marathon" kidunia na muda wao bora katika mabano ambao walishiriki "Boston Marathon":-

Eliud Kipchoge (KEN) 2:01:09 (WR)
Evans Chebet (KEN) 2:03:00
Gabriel Geay (TAN) 2:03:00
Herpasa Negasa (ETH) 2:03:40
Benson Kipruto (KEN) 2:04:24
Lelisa Desisa (ETH) 2:04:45
Shura Kitata (ETH) 2:04:49
Daniel Do Nascimento (BRA) 2:04:51
John Korir (KEN) 2:05:01
Nobert Kigen (KEN) 2:05:13
Ghirmay Ghebreslassie (ERI) 2:05:34
Andualem Belay (ETH) 2:05:45
Mark Korir (KEN) 2:05:49
Filmon Ande (ERI) 2:06:38
Andamlak Belihu (ETH) 2:06:40
Isaac Mpofu (ZIM) 2:06:48
Hamza Sahli (MAR) 2:07:15
Michael Githae (KEN) 2:07:28
Albert Korir (KEN) 2:08:03
Conner Mantz (USA) 2:08:16
Scott Fauble (USA) 2:08:52
Melikhaya Frans (RSA) 2:09:24
Matt McDonald (USA) 2:09:49
Nico Montanez (USA) 2:09:55
Mick Iacofano (USA) 2:09:55
Mustafa Mohamed (SWE) 2:10:03
Hendrik Pfeiffer (GER) 2:10:18
CJ Albertson (USA) 2:10:23
Nathan Martin (USA) 2:11:05
Colin Mickow (USA) 2:11:22
Wilkerson Given (USA) 2:11:44
Turner Wiley (USA) 2:11:59
Augustine Choge (KEN) 2:20:53
Hii mbungi ilikuwa sio poa. Wakali watupu
 
Hakuna cha kukubaliana hapa. Kama vipaji hakuna ni hakuna. Labda tuwe na vipaji vya kununua kama USA na nchi za kiarabu. Huko ukiwa na kipaji cha riadha unapewa uraia fasta na mpunga wa kutosha. Kama ingekuwa mambo ya sera na siasa unazoelezea ndo kila kitu basi nchi maskini kama Kenya, Ethiopia na Jamaica zingesumbua kwenye riadha.
Ukilaza nacho ni kipaji. Ova
 
Back
Top Bottom