Mtanzania Ashambuliwa na Mwanamke wa Kichina, Yasemekana kwa Kosa la Kudhalilisha Wanawake

Mtanzania Ashambuliwa na Mwanamke wa Kichina, Yasemekana kwa Kosa la Kudhalilisha Wanawake

SIO RAHISI KWA MTU MGENIMWEUSI KWENDA KUDHALILISHA MWANAMKE CHINA.
HATA HILI NENO KUDHALILISHA UNAFIKIRI NI KITU GANI KAFANYA? UNAWEZA KUTA JAMAA ALIVYO MUONA MWANAMKE AKA TABASAMU TU.
MAADAM KESI MLALAMIKAJI NI MWANAMKE, BASI JAMAA NI MKOSEFU!!
 
Nchi yoyote yenye maadili inasheria ya kulinda mahusiano.

Nchi nyingi za Kiafrika hazina Sheria za maadili. Watu wanaishi kama wanyama. Wakifika nchi za Asia waafrika wengi wanaingia kwenye kesi za mambo ya ngono na mapenzi na udhalilishaji mana wanafikiri kila Mwanamke ni WA wote.

Huku Afrika Mwanamke anaweza akashikwa Tako na mtu asiyemfahamu na akatabasam alimradi TU ahisi kuwa ni mtu mwenye Hela au madaraka makubwa. Mwanaume anaweza akakaa na Mwanamke kwenye basi na kushika shika mapaja bila ridhaa na Bado Mwanamke akakaa kimya na akatoa mpaka namba ya simu . Afrika tuna jamii ya hovyo kwenye ulimwangu wa kidigitali .
 
Mbona Mtanzania mwenyewe kama Saa Mbovu...?
 
Hapa unatemewa mate pembeni, unadhalilishwa na kuitwa majina ya kimbari na mchina, hakuna lelote linafanyika....Ati ni Wawekezaji!
Kamfanya biashara wa cellphone case!

Na nyie muwaambie zipo sheria zetu pia
 
Wachina watu wa hovyo sana,wanavyowafanya watu weusi kule sishangai kusikia hao mademu walimuita jamaa nyani nae akaamua kurudisha
 
Hawa wavimba macho kwao humanity ni msamiati wao ni niguse nikuchafue
 
Dogo kawekwa mtu Kati kama anapigwa ndoa ya mkeka
 
Hata afrika tu ukiwadhalilisha wanawake Ina kula kwako. Labda alitaka umaarufu. Kama yule binti wa zambia badala ya kufata shule anakwenda kukata viuno kwenye makaburi ya mashujaa wa urusi wa vita vya pili vya Dunia, wakamshughulikia
 
Wanawake wa china huwa wanafuga msitu awafyeki ndio utamaduni wao.
Kule topaz hazina biashara.
 
Ndio maana kuna nchi huwa siendi. Nchi kubwa lakini mambo utafikiri nchi za dunia ya tatu!

Kama jamaa kafanya udhalilishaji he deserves everything that comes his way I have no sympathy whatsoever ila wachina nao wapate same treatment wawapo kwenye nchi zetu maana wanaongoza kwa kunyanyasa watu wetu.
 
Back
Top Bottom