Mtanzania Suleiman Nassoro ametangaza nia yake ya kuinunua klabu maarufu ya liverpool.SWALI Je ni kweli huyu bwana mfanyabiashara ana uwezo wa fedha za kuinunua hiyo klabu au ni kutaka umaarufu?ni kiwaza wazazi mwananyamala hospital wanalala watatu kitanda kimoja siamini kama kuna mtanzania wa kununua klabu UK.source TBC1
This is why we elect fools to lead us. The average Tanzanian will believe any rubbish even though it makes no sense whatsoever.
Anauza sura tu yule jamaa. Kwa mimi ndio kwanza naumuona
Anauza sura tu yule jamaa. Kwa mimi ndio kwanza naumuona
Jamani huyu ataifanya tanzania ikose misaada kwa hawa wazungu ! Si angesaidia kujenga zahanati na kutuletea vifaa vya kisasa mahospitalini?