BONGOLALA
JF-Expert Member
- Sep 14, 2009
- 16,508
- 11,897
Mtanzania Suleiman Nassoro ametangaza nia yake ya kuinunua klabu maarufu ya liverpool.SWALI Je ni kweli huyu bwana mfanyabiashara ana uwezo wa fedha za kuinunua hiyo klabu au ni kutaka umaarufu?ni kiwaza wazazi mwananyamala hospital wanalala watatu kitanda kimoja siamini kama kuna mtanzania wa kununua klabu UK.source TBC1