errymars
Member
- Dec 17, 2019
- 98
- 285
Kyle Walker aomba kuondoka Manchester City - Fntaz
Kyle Walker aomba kuondoka Manchester City, Guardiola athibitisha
fntaz.com
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
fntaz.com
fntaz.com
Nimependa UI na rangi zake unaifanya iwe na mwonekano wa kimataifa. Ila sasa kwanini menu ni ya kiingereza, What's hot ni kiingereza huku tovuti ni ya kiswahili?😂😂Kaiangalie kaka
Kaka point hapo ilikuwa niwe naandika Kingereza na kiswahili nikaoni iwe ivyo, Nashukuru sana kwa maoni yako kaka mkubwa 🙏Nimependa UI na rangi zake unaifanya iwe na mwonekano wa kimataifa. Ila sasa kwanini menu ni ya kiingereza, What's hot ni kiingereza huku tovuti ni ya kiswahili?
Sasa kwanini isiwepo menu juu upane wa kulia wa kuchange language na mtu akichange inachange alnguage ya page nzima. Japo kwenye menu maneno mengine wka kiswahili yatachekesha.Kaka point hapo ilikuwa niwe naandika Kingereza na kiswahili nikaoni iwe ivyo, Nashukuru sana kwa maoni yako kaka mkubwa 🙏
And how are you going to monetize it mkuu? Au business model ni siri ya kambi?Sasa kwanini isiwepo menu juu upane wa kulia wa kuchange language na mtu akichange inachange alnguage ya page nzima. Japo kwenye menu maneno mengine wka kiswahili yatachekesha.
Mkuu ni sababu ya hako kanembo ka "F" kalikozungukwa na rangi nyekundu au sababu ya kizungu??![]()
Kyle Walker aomba kuondoka Manchester City - Fntaz
Kyle Walker aomba kuondoka Manchester City, Guardiola athibitishafntaz.com
Kaka website zinafaida nyingi sema kwa Tanzania tumechelewa, Instagram na mitandao mingine haina uwezo wa kutunza kumbukumbu, ila website inao huo uwezo, Kuandikwa kwenye site ni mileji pia unaweza kufanya monetization kwa Google Ads pia unaweza tafuta kampuni wakawek matangazo yao hapo.And how are you going to monetize it mkuu? Au business model ni siri ya kambi?
Nakutania bana.... humu kuna wakati tunakosa userious tu. Hongera sana. Ni kweli website ni kali sana. Una haki ya kuiweka kwenye level ya kimataifa. Hongera mno. Kikubwa ifanyie promo ya kutosha watu waijue. Pia ongeza waandishi hata mmoja au wawili. Then acha kuandika story na kuweka cheo chako. Ukiona huna waandishi basi tumia neno "by our correspondent" hata kama habari zote unaandika wewe. Ili mlaji aone sio wewe pekee mwandishi.Hahaha, unaweza kuikosoa kaka karibu🙏