Mtanzania Erry Mars Afungua Website ya Kimataifa

Mtanzania Erry Mars Afungua Website ya Kimataifa

Nakutania bana.... humu kuna wakati tunakosa userious tu. Hongera sana. Ni kweli website ni kali sana. Una haki ya kuiweka kwenye level ya kimataifa. Hongera mno. Kikubwa ifanyie promo ya kutosha watu waijue. Pia ongeza waandishi hata mmoja au wawili. Then acha kuandika story na kuweka cheo chako. Ukiona huna waandishi basi tumia neno "by our correspondent" hata kama habari zote unaandika wewe. Ili mlaji aone sio wewe pekee mwandishi.

Lakini pia tafuta urafiki na vijana wa mikoa mbalimbali au vijiwe mbalimbali uwe na namba zao za simu, mara kwa mara wacheki kukupa updates za kinachoendelea mikoani kwao upate contents. Zaidi zaidi kua na ushkaji na watu wanaohusika na michezo mbalimbali hao watakusaidia kupata BREAKING NEWS.

Sina la ziada nakutakia kila la heri na Mungu akubariki!!!

Labda la ziada litoke kwa Ashura😄😄
Shukrani kaka, Nimepokea maoni yako, naelewa ndio kuna utani, Website imeanza operation jana so kwa sasa natafuta watu wa kuandika, ila tayari nimeshapata mtu mmoja.

Sitaki kutafuta mtu ili mradi, coz lazima tufuate taratibu za uandishi na taaluma yake. Hii by next year tupo hapa utaniambia sehemu ambayo itakuwa imefikia🙌
 
Shukrani kaka, Nimepokea maoni yako, naelewa ndio kuna utani, Website imeanza operation jana so kwa sasa natafuta watu wa kuandika, ila tayari nimeshapata mtu mmoja.

Sitaki kutafuta mtu ili mradi, coz lazima tufuate taratibu za uandishi na taaluma yake. Hii by next year tupo hapa utaniambia sehemu ambayo itakuwa imefikia🙌
Poa. Una jero hapo unitumie?
😛😛
 
Website ya Kimataifa alafu italeta faida gani wakati kuna websites za kimataifa uncountable Tz na duniani ziko kibao, yako ina utofauti upi? Ujue ukinunua hata shati usitangaze utaonekana mshamba na hujui dunia bado.
 
Website ya Kimataifa alafu italeta faida gani wakati kuna websites za kimataifa uncountable Tz na duniani ziko kibao, yako ina utofauti upi? Ujue ukinunua hata shati usitangaze utaonekana mshamba na hujui dunia bado.
Kuwepo kwa Website nyingine haikuzuii kufungua ya kwako, kwaio kwa sababu mwenzako kanunua gari la bei gali wewe huwezi kununua? Think positive mzee...
 
Kuwepo kwa Website nyingine haikuzuii kufungua ya kwako, kwaio kwa sababu mwenzako kanunua gari la bei gali wewe huwezi kununua? Think positive mzee...


I am well ahead of you, nachosema ww kufungua website na kutangaza ina kipi exceptional, huelewi, sbb websites ziko nyingi sana na hazina tija, yako ina nini? Jibu hilo swali, unashindwa kujibu unaona as if someone is thinking negative, eleza website yako ina nini? Having website sio kitu cha kutangaza unless una dili na kitu fulani known au una biashara gani unafanyia, tueleze, usikute una website alafu wewe kazi yako ku copy and paste kazi za websites zingine of which haina maana.
 
I am well ahead of you, nachosema ww kufungua website na kutangaza ina kipi exceptional, huelewi, sbb websites ziko nyingi sana na hazina tija, yako ina nini? Jibu hilo swali, unashindwa kujibu unaona as if someone is thinking negative, eleza website yako ina nini? Having website sio kitu cha kutangaza unless una dili na kitu fulani known au una biashara gani unafanyia, tueleze, usikute una website alafu wewe kazi yako ku copy and paste kazi za websites zingine of which haina maana.
Website yangu inautofauti mkubwa sana Naandika makala ambazo kwingine kuzipata ni ngumu. Mfano hii hapa 👇

 
Big up kwa kazi uliofanya. Muonekano/ appearance ya website iko top notch.
Maoni yangu ni tumia na English ili upate traffik kutoka kote duniani ili uweze kui diversify isije ikawa tu ya level ya taifa kwan kwenye monetization traffik inayotok mbali ndo ina mpunga mrefu.

So far kinachoitajika ni consistency
 
Big up kwa kazi uliofanya. Muonekano/ appearance ya website iko top notch.
Maoni yangu ni tumia na English ili upate traffik kutoka kote duniani ili uweze kui diversify isije ikawa tu ya level ya taifa kwan kwenye monetization traffik inayotok mbali ndo ina mpunga mrefu.

So far kinachoitajika ni consistency
Shukran sana kwa maoni yako🙏
 
Ni nzuri. Ukipambana na taarifa zinazohitajika ni suala la muda, utaanza kupata matangazo na wadhamini.

Shida ni mafanikio yakianza, una bajeti ya kupambana na wahalifu wa mitandao na washindani wako? Kila la heri errymars
 
Back
Top Bottom