DOKEZO Mtanzania huyu alikuja Marekani kusoma, akapata changamoto ya Akili, sasa hivi anaishi Mtaani, anahitaji msaada

  • Thread starter Thread starter Anonymous
  • Start date Start date
Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

You cant educate me shit. Save your energy for your metabolism and stuff.
 
Nadhani unafikiri ukionekana unachangia mambo ya Nje ya nchi utaonekana unajua kwanza toa maoni kiswahili tu kingereza ni lugha tu sio elimu hili neno privacy nadhani hata hujui maana yake au jinsi ya kulitumia nikujulishe Tena na watanzania kwa ujumla huyu dada Ana ugonjwa wa akili sisi Ndio tunamuona hakuna mgonjwa wa akili Unaweza kusema anamaamuzi pia usidhani wagojwa wa akili ni waiopo maporini tu kuna wengine humu kina privacy nao wanahitaji msaada 😂
 
Sema wakati mwingine mjitahidi kukaa kimya kuficha ubovu wa akili mengine yawapitege
 
Toa tafsiri ya ugonjwa wa akili tuanzie hapo.
 
Well then don’t quote me whilst dismissing my arguments. Otherwise I am gonna give you facts why it is wrong to record people without their consent.

Here to keep the tread alive. Even if it takes a million times quoting you.
 
Sasa wew unategemea huyo dada angefanyaje wakati unaona hali yake masuala ya privacy sidhani Kama yanamhumi kwa hali aliyonayo kikubwa
Wewe peke yako ndio unaishi ulaya kwenye hii mada.

Wakują utawajua tu
Nina hakina hujui unacho kisema ungekua huko ulaya unakosema ungejitambua pia jua tu Mimi siko ulaya 😂😂
 
Here to keep the tread alive. Even if it takes a million times quoting you.
Well then I am gonna keep giving you medical principles why the act is wrong.

Health is heirerachial you don’t just assume things are right nor just do things as you wish. There are guidelines.

What do you know about safeguarding the patient?
 
Nina hakina hujui unacho kisema ungekua huko ulaya unakosema ungejitambua pia jua tu Mimi siko ulaya 😂😂
Sina muda wa kujibizana na watu wanaodhani kuishi huko ni big deal.

Una arguments za position ya huyo dada na kwanini unadhani nakosea sawa. Iła wewe kuwa wapi duniani doesn’t interest me.
 

Bring it on. It wont change an alphabet of the original content posted for the lady in need.
 
Balozi zetu za Tanzania huwa zinatuona wa maana Rais akiwa anataka kutembelea na wanataka twende kuonana nae ila zaidi ya hapo ni kutusisitiza tu kujaza taarifa zetu kwenye database yao basi. Kifupi ni kwamba hata ukiwa na shida wala usitegemee msaada wa aina yoyote ile kutoka ubalozini. Kwanza hata simu tu kupokea ni mpaka waamue.
 
Sasa wew unategemea huyo dada angefanyaje wakati unaona hali yake masuala ya privacy sidhani Kama yanamhumi kwa hali aliyonayo kikubwa msaada
Sijasema asimtafutie msaada lakini hakuwa na sababu ya kutuletea life story na kwenda kum-record anapolala chini ya daraja bila ya ridhaa yake.

Angeweza kufikisha ujumbe kwa njia nyingine labda kwa passport size photo na kuelezea kuomba wenye kumfahamu yeye au ndugu zake wamtafute.

Sio kuanza kumnyanyapaa kwanza ana mrekodi nina hela yako, dada mwenyewe anaonekana wala hana shida na hiyo hela. Anakuja humu anampa label ya uchizi wakati hana medical records zake wala hajui ana medical condition gani. Hiko kitendo ndio nipo against nacho huo ni udhalilishaji usio na lazima.
 
Umeonesha upendo na uzalendo wa hali ya juu....
 
Kwanza Hongera kwa. kufuatilia na kutoa taarifa. Nakushauri na kukuomba kwa kuwa mamlaka zina taarifa NENDA MCHUKUE USIMUACHE ADHALILISHWE KINGONO NA KIMWILIl na KIHISIA pia. Fanya hivyo. Lkn Wizara yetu husika IHUSIKE SASA KUPITIA UZI HUU. Roho moja ya Mtz ni bora kuliko kuleta muwekezaji
 
Unafkiri bila kufanya hivyo watu wangeamini hilo analolisema....
And unapataje lidhaa kwa mtu mwenye matatizo ya akili tena uliyokuwa neglected.
 
Wizara ya Mambo ya nje should do more to protect and check the welfare of all Diaspora ....
Kama unashindwa kutafuta fursa za uwekezaji, atleast hata upande wa watz wenzetu muwajali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…