DOKEZO Mtanzania huyu alikuja Marekani kusoma, akapata changamoto ya Akili, sasa hivi anaishi Mtaani, anahitaji msaada

  • Thread starter Thread starter Anonymous
  • Start date Start date
Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Sasa MD2 na hoja yake vinaingilianaje..?
Kwanza mental issues zamani tulikuwa tunasoma MD4 wengine MD5 sijui kwa sasa. Anyways, kubali kutokukubaliana bila kuvunjiana heshima.
Yeye ni kama anaongelea bioethics, huja soma comments zake za nyumba ni kama anataka kuprove kua anajua ethics
 
Yeye ni kama anaongelea bioethics, huja soma comments zake za nyumba ni kama anataka kuprove kua anajua ethics
Nadhani ni vyema mnge focus na swala la kwamba huyo dada ni kweli huu ndo msaada wa kweli aliostahili kuupata kutoka kwa huyo jamaa na mke wake au hii pia haijakaa sawa. Na kama haijakaa sawa, tuunganishe nguvu na mawazo ya namna bora ya kumsaidia. I am sure the thread writer is flexible to learn and help better.
 
Nanukuu::
"Umejuaje ana matatizo ya akili?"
Mkuu; kama sikosei (samahani lakini)swali kama hili mara nyingi huwa ni swali la ki-Polisi. (Maafisa-polisi mliopo hapa pia naomba samahani)
Lakini katika hali ya kawaida, hata huku kijijini mtu akipatwa na Tatizo la akili haihitajiki kutafuta jibu la swali eti Umejuaje ana matatizo ya akili?. Watu wanakijiji kwa busara zao (common sense) humtambua wanachukua hatua ya humdhibiti kwanza kwa kumfunga kamba ili asijidhuru mwenyewe au asidhuru wengine na mali zilizopo. Ww mkuu, unaulizaje swali kama hilo nukuu hapo juu?? Ina maana hata ikatokea mmoja wapo ktk familia yako akipatwa na tatizo kama hilo kweli hutajua? Sasa wewe mbona unamwuliza mtoa dokezo kwamba Umejuaje ana matatizo ya akili? Wahenga walisema "Mwenye macho haambiwi tazama"
Hapo umetuwekea utaratibu wa kufuatwa ili anayedhaniwa ni mgonjwa wa akili apatiwe huduma.
Ina maana Ubolozi wetu haufahamu utaratibu huo? Lakini pia ukizingatia kwamba mtoa dokezo kuna shughuli ilompeleka hapo Marekani na sio kazi ya kufuatilia waTz wengine hapo USA esp. Afya zao. Hilo kalifanya on Charity basis tu.
Kazi ya kujaza hiyo Fomu na kutoa Location ya alipo mgonjwa ni 100% mojawapo ya kazi ya Ofisi ya Ubalozi wa Tz uliopo hapo Marekani.
Labda Ofisi ya Ubalozi ikatae kwamba hilo halimo kati ya majukumu yake au iseme haimjui mtu huyo au waseme huyo dada wanamfahamu ila sio mgonjwa wa Akili.
 
Wazungu wana msemo «Charity starts at home». Jee, hakuna umoja wa Watanzania huko Houston ambao wapo karibu zaidi naye wakafuatilia hadi kujua huyo dada ni nani na wakaweza kumsaidia? Unakimbilia ubalozini wkt mji mkubwa kama Houston kutakuwa na umoja wa Watanzania? Unajifanya unahangaika kumsaidia lkn hakuna lolote la maana unalofanya. Pumbaavu kabisa.
 
Kwanini tusitumia kigezo cha huyu dada kumfukuza kazi huyo balozi wa Tz nchini Marekani. Hawajali kabisa watanzania
 
Me nakuelewa sana mkuu, tatizo ni kwamba naona enzi zetu sisi tukiwa tunabeba boksi Texas ni tofauti na enzi za hawa waliopo huko saivi. Wanashindwa kuelewa Dignity unayoiongelea.
 
Ukishakua na shida ambayo iko nje ya uwezo wako neno privacy halina maana tena

Neno privacy linamaana kama shida bado iko ndani ya uwezo wako
Kama unashida usione aibu kusema kwa watu ndo maisha
 
Ukishakua na shida ambayo iko nje ya uwezo wako neno privacy halina maana tena

Neno privacy linamaana kama shida bado iko ndani ya uwezo wako
Kama unashida usione aibu kusema kwa watu ndo maisha
Mngekuwa mnaletewa picha za ndugu zenu wakiwa ulaya pale wanapokutana na maswahibu, server za JF zisingetosha. The streets are very rough and hard especially kwa ambao hawana papers na hawana kazi.
 
Mngekuwa mnaletewa picha za ndugu zenu wakiwa ulaya pale wanapokutana na maswahibu, server za JF zisingetosha. The streets are very rough and hard especially kwa ambao hawana papers na hawana kazi.
Kama wanashida na wameletwa huku jf sio vibaya watakua wametusaidia sana kama ndugu

kwani hata sahivi kuna nyuzi nyingi tu zisizokua na kichwa wala miguu huku jf
 
Kinachoonekana hapo huyo dada ni homeless nothing else.

Huko sio Tanzania ukifikia hali hiyo ndugu mnatafutana kuokoa jahazi kwa kuogopa jamii itawasema mnashindwa kumsaidia ndugu yenu hana pakukaa.

Hizo nchi walipo diaspora ukikosea step unalo hilo ama uende ubalozini urudi mwenyewe, uende immigration zao uombe msaada wa kurudishwa kwenu au upambane unavyojua kitaa kama huna family and friend support network kama Jane.

Alipofikia Jane sio pazuri hilo halina ubishi but it none of everyone else business zaidi ya ndugu zake. Habari ingeweza letwa kwa njia nyingine bila ya kudhalilishana kuomba msaada wa kuwapata ndugu zake.
 
Unafikiri kila mtu ana roho mbaya yako
Nyie ndo wale unamuona mwenzako anashida haumsaidii kwa kigezo cha unaheshimu privacy yake

Huna moyo wa kusaidia watu
 
Mkuu umeongea kwa uchungu. lkn bongo hamnaga watu kuna sanamu tupu. Yani namaanisha kuna mifano ya watu hawana maarifa wala roho za kistaarabu
 
My village peole won it again.

#Hilinalomkalitizame.
 
Mkuu; Niwajuavyo watanzania kwa kawaida wawapo nje ya nchi yetu(nina experiance ya 1yr in Denmark) wanaushirikiano sana. Sasa iweje huyo dada ameachwa bila msaada?
Mtoa dokezo amefanya (kama kweli unadhani ni udhalilishaji) kwa nia njema kabisa. Iko hv; yan kama mtu amekuwepo katika hali hiyo ya Ugonjwa (uchizi)kwa muda mrefu na hakuna anayejali ukizingatia Taratibu nyingi - rigorous and tedious activity in filling the Required Forms, angelifanyaje na roho inamuuma kwamba yan mTz mwenzangu anaendelea kutaabika kana kwamba hakuna waTz huku na hakuna anayemwona? Kama wapo na wanamwona ina maana wameridhika?
Mkuu kumbuka maradhi ya Akili huwa yana complications nyingi. Huku bongo tunasemaga mwezi mchanga, mwezi mpevu n.k. Ni mojawapo ya matatizo ya Akili na yanahusishwa na mambo mengi pia Biological na non biological.
Ni hoja ndefu tuache nafasi pia na wenzetu waweze kuchangia.
 
Kama wanashida na wameletwa huku jf sio vibaya watakua wametusaidia sana kama ndugu

kwani hata sahivi kuna nyuzi nyingi tu zisizokua na kichwa wala miguu huku jf
Hakuna utafutaji ambao hauna shida. Kila mtu anafurukuta mpaka anatoka kwenye hizo shida.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…