Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Amani amani mkuu.....Shwari mkuu?
Vipi nyie huko dasalamu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amani amani mkuu.....Shwari mkuu?
Yaani mtu hatoi pesa mfukoni ni swala la kumfatilia na kumrudisha Tanzania ndugu watapatikana tu ila sasa kwa roho za hao jamaa nao ndio kwanza wanasoma hizi taarifa kama wapo China...Mkuu umeongea kwa uchungu. lkn bongo hamnaga watu kuna sanamu tupu. Yani namaanisha kuna mifano ya watu hawana maarifa wala roho za kistaarabu
Watanzania wanapikuwa nje ya nchi ni ndugu tofauti na makabila mengine kama wasauz, ukimkuta ndugu yako kavua nguo anakataa kuvaa huwezi mwacha utatafuta watu wakusaidie kumsitiri ndo alichofanya ndugu yetu, we msaidie hata kwa mawazo tu.Mtu anakwambia sitaki niache kwanini ulazimishe kumrekodi na kumpa msaada ambao hana shida nao?
Halafu unatoka hapo unaenda rusha maudhui mitandaoni na kumwita chizi? Hakuna tafsiri nyingine ya hiyo act zaidi ya udhalilishaji.
Give a dog a bad name and hang him. Ndio nilichokiona hapo.
Mambo kama haya ndio ya kuandamana mpaka Bunge liongeeBalozi za kwetu ni za kipumbavu sana. Hazina msaada hata chembe kwa watanzania wenzao wenye shida. Mtu katoa taarifa na ameelekezwa jimbo alipo. Wanashindwa kutrack hadi wampate na kumrjesha nyumbani. Hawa watu ni qumer sijawahi kuona.
Siyo kama amekosa sehemu ya kukaa. Ni kichaa. Nadhani unajua changamoto za watu wenye ugonjwa wa akili. Wengi wanakimbia nyumbani. BTW kuishi na mtu mwenye ugonjwa wa akili kunahitaji uangalizi wa 24/7. Nani atafanya hiyo kazi wakati majuu unatoka asubuhi na kurudi jioni? Ukikuta amechoma nyumba moto? Au amejinyonga?Yeye huyo aliyekaa nae hapo bustanini Texas kwann asimuhifadhi. Huku akisubiri msaada zaidi kwa ndugu husika? Au hujui nn namaanisha?
Wewe ni mpumbavu sana. Ndiyo maana utaozea hapo Bongo kwa sababu mawazo yako ni kijinga. Unaonea wivu mpaka vichaa kwa sababu tu alisafari nje ya nchi? Unataka kila mtu akae Tanzania una kazi za kuwapa? Idiot!Tunaobakia Tanzania na kupambana na Hali zetu ( Shida ) huku tukisoma katika Vyuo Vikuu vyetu na Kula Maharage, Tembele na Dagaa huwa tunachekwa na kudharaulika mno na wale ambao huona Ulaya / Marekani ndiyo Pepo na Suluhu yao ya Maisha na Taaluma. Kudadadeki apambane na hali yake kama nasi tunavyopambana na hali zetu huku Madongo Kuinama Afrika.
Kwa hiyo alipoenda UK kipi kilimkutaKuna mdada mwingine alikuwa Lawyer wa TPDC anaitwa Belinda Ringo, very bright lady,alipomaliza mwaka mmoja wa ajira akapelekwa na TPDC UK
Kuna jinga moja linaitwa GENTAMYCINE linachekelea eti ni kwa nini alienda nje ya nchi. Hebu fikiri jitu kama hili likipewa madaraka litakuwaje!Nikisema kuhusu balozi za Watanzania mnabisha hapo ni swala la siku moja tu hilo huyo dada yupo Tanzania ila Watanzania wakipata tu vyeo ni makatili kupita kiasi niliwahi kuambiwa na bwana mdogo mmoja Mnigeria kuhusu huyo dada sikuamini maana hakuna na picha aliniambia kuwa pana dada Mtanzania anapata tabu huko mtaani ninyi hamna msaada wowote...mkuu ukiweza wasiliana na Agent afanye hiyo kazi utapata dhawabu za kutosha sana inaumiza sana hasa kwa sisi wasafiri hatujui kesho yetu ipoje...
Unaongelea raisi yupi?Kuwe na accountability kwa mabalozi wetu hii ni moja ya kazi zao raisi awawajibishe mabalozi wazembe kama huyu wa marekani
Ficha upumbavu wako. Narudia: ficha upumbavu wako.![]()
Dignity- a fundamental principle of mental health care : Indian Journal of Medical Research
An abstract is unavailable.journals.lww.com
![]()
Setting the Stage: Why Health Care Needs a Culture of Respect
Respect is an essential component of a high-performance organization; it helps to create a healthy environment in which patients feel cared for as individuals, and members of health care teams are engaged, collaborative, and committed to service.postgraduateeducation.hms.harvard.edu
![]()
Disclosure of confidential information by mental health nurses, of patients they assess to be a risk of harm to self or others: An integrative review - PubMed
There is a duty of confidentiality on the part of mental health nurses when they handle confidential patient information. Nonetheless, it may be necessary to disclose confidential information of a patient if the patient is assessed as being a risk to self or others, to protect the patient or...pubmed.ncbi.nlm.nih.gov
Article 8: Respect for your private and family life | EHRC
Everyone has the right to respect for his or her private and family life, home and correspondence.www.equalityhumanrights.com
Kitendo cha ku-post hiyo video, tena mwenyewe anamwambia niache sitaki; ame-violate kanuni kadhaa za afya na human rights naweza kukujazia uzi nikitaja zote.
Mambo mengine yanataka uelewa na experience ya maisha hayo mambo ni kawaida hata kwa wazungu wenyewe huko kwao kulała rough kipindi ambacho unashida na huna msaada.
Asante sana. Huyo jamaa ni mpumbavu wa wapumbavu. Achana naye.You cant educate me shit. Save your energy for your metabolism and stuff.
Kipenzi cha watanzania SSHUnaongelea raisi yupi?
Huyo amesema hana Pa kuishi, na anaishi darajani au msituni.Siyo kama amekosa sehemu ya kukaa. Ni kichaa. Nadhani unajua changamoto za watu wenye ugonjwa wa akili. Wengi wanakimbia nyumbani. BTW kuishi na mtu mwenye ugonjwa wa akili kunahitaji uangalizi wa 24/7. Nani atafanya hiyo kazi wakati majuu unatoka asubuhi na kurudi jioni? Ukikuta amechoma nyumba moto? Au amejinyonga?
Ubalozi au ndugu zake wanaweza kusikilizwa kuliko mtu baki tu. Ila kuna watu wanamshambulia mlete ''alert'' eti alitakiwa amchue aishi naye. Watu wanadhani mambo yanaenda kienyeji tu. Nakumbuka huko huko USA mama mmoja na mumewe walikuta na homeless mmoja wakaamua kumchukuwa na kumpa chumba cha kuishi kwenye makazi yao. Yaani alikuwa anapata kila kitu free kama mtoto wao. Pamoja na ukarimu wote akawavizia siku moja na kuwaua wote.Kuna jamaa kipindi fulani huko majuu alichanganyikiwa hivyo hivyo kwa stress tu, akaonekana chizi watu tujiunge tumsaidie kumrudisha home. Huyu jamaa alikuwa 'kajilipua'/. Ebanee akaenda kusema kwa mamlaka kuna watu wanataka wamrudishe nyumbani kwa nguvu akauawe! Kuna watu walihama nyumba. Haya ma mbo sio rahisi kihivyo huko nje, kumrudisha mtu bila ridhaa yake sio kazi rahisi na ukisema ana matatizo ya akili kwa mujibu wa nani?
Hii stori inawea kuwa ni ya kutunga, si halisiMimi ni Mtanzania ninayeishi Marekani, kuna Mtanzania mwenzetu mbaye alikuja kama Mwanafunzi hapa, sijui vizuri kuhusu historia yake huko nyuma.
Miaka kadhaa iliyopita alipata changamoto ya Afya ya Akili, sijui nini kiliendelea baada ya hapo kati lakini kilichofuata amekuwa chizi na analala barabarani, amekuwa akifanyiwa ukatili wa kingono na Wanaume mara nyingi bila kuwa na msaada.
Nilienda Ubalozini mara kadha pia kuripoti ili ikiwezekana huyu Mtanzania asaidiwe lakini kinachoonekana wao (Ubalozi) ndio wanataka nianze kufanya kazi yao.
Wanataka kufuatilie na kujua details zaidi kuhusu huyo Mtanzania na mambo mengine kama hayo, mimi siwezi kuingilia hayo masuala ya wao, wenyewe ndio wataalam, mimi nikiwapa taarifa wanatakiwa kujua nini cha kufanya baada ya hapo.
Huyu mtanzania ninamfahamu kwa jina moja tu anaitwa Jane, mitaa ya Houston ndani ya Texas.
Maisha yake ni chini ya Daraja, amekuwa hivyohivyo akiishi chini ya Daraja.
Nilivyoanza kumjua
Kuna siku nikiwa na mke wangu kwenye bustani flani akasikia tunazungumza Kiswahili, akajumuika nasi na kuanza kuzungumza na kisha kujitambulisha.
Tukazungumza naye kwa Kiswahili na akajieleza naye anatoka Ukanda wa Kaskazini kama nilivyo mimi hapo nyumbani Tanzania.
Bahati mbaya nimesahau jina lake la pili na hata sas aukisema umuulie huwezi kupata jibu hilo.
Nimeshatoa picha zake mara kadhaa sehemu tofauti ili anayemjua iwe ni ndugu zake, jamaa au marafiki wamsaidie lakini sijafanikiwa katika hilo, ndio maana nimeona nitumie JamiiForums kufikisha ujumbe huu nadhani utawafikia wahusika na wanaweza kumsaidia.
Nipo tayari kuto ushirikiano kwa ambaye anaweza kuhitaji kumsaidia huyu au kama anawez kumtambua, nimewasilisha mawasiliano yangu kwa JamiiForums kwa mtu ambaye atahitaji kuwasiliana nami.
Sijaelewa swali lako.Huyo amesema hana Pa kuishi, na anaishi darajani au msituni.
Sasa wee hapo Pa kukaa aliponapo na unapajua ni wapiii?
Kuna balozi alitumwa nchi flani alipofika airport hajui hadhi yake akafuatana na wasafiri wa kawaidaKama makada wa ccm wanaokotwa huko na kupewa ubalozi unategemea nini
Mtu kama polepole ana mastress yake yote unampa Ubalozi unategemea atasaidia kwetu
Sababu kapewa ubalozi kama adhabu nchi hii ina safari ndefu sana
Bichwa wewe kwanini upati BAN au kuna mtu wako kule juukazi kutomba tuuu 😌😌