BICHWA KOMWE -
JF-Expert Member
- Jul 21, 2022
- 6,373
- 16,073
Melo ni mjomba anguuu πππBichwa wewe kwanini upati BAN au kuna mtu wako kule juu
ππππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Melo ni mjomba anguuu πππBichwa wewe kwanini upati BAN au kuna mtu wako kule juu
ππππ
Hapana mkuu watu wamechangia kwa mahaba mda wa masaa 24 zikafika 10mMwenyezimungu amuafu majanga yanayomkuta. Kwali maradhi ya akili ayasikie hivyohivyo, haswa ukiwa kwenye nchi za watu.
Hapo alipo inaonyesha gonjwa limeushakubuhu kabisa. Huwezi kuwalaumu Watanzania, kwa sababu kila mtu anahangaikia kibarua chake.
Bila kuwa na ndugu au jamaa wa dhati wa kumsaidia huyu binti, ndio basi tena.
US kama zilivyo nchi nyingine zilizoendelea, zinakuhitaji ukiwa mzima wa afya, vinginevyo unakuwa takataka.
Hongera mkuu kwa kujitolea kulileta hili jambo hapa Jamii Forums, yumkini msaada, japo wa mawazo ukapatina.
Wee siku ukija chezea ban utapata ya miezi 6 ππππMelo ni mjomba anguuu πππ
Mkuu; Inabidi sasa tufike mahali tukubaliane kwamba tumeshindwa kukubaliana kwenye hoja hii.Unacheza wewe, mimi niligombana na dada yangu wa-tumbo moja halafu makaratasi yenyewe kupata ilikuwa kupitia kesi yake.
Halafu familia inaniambia niombe msamaha yaishe, I donβt roll like that if you are wrong bora ni bebe consequences za maamuzi yangu lakini uwezi nikosea halafu niombe msamaha kisa makaratasi na kwenye kesi yake akanitoa.
Huo mziki uliofuata naujua mimi tu nilitokaje hadi kupata makaratasi huyo Jane mkubwa mimi ndio kwanza nilikuwa early 20βs, maza nae ndio ghafla mauti (angekuwepo pangechimbika). Nina mifano na story nyingi sana zangu na washkaji zangu miaka hiyo ya changamoto zetu.
Ndio maana sijapenda alivyo mrekodi huyo dada at her worst, vulnerable, without friend and family support. Thatβs just humiliation.
Why kwa waganga lakini π€£π€£π€£π€£π€£Ubalozi wao kazi yao ni nini kama hawana msaada hata wa Ticketi ya kumrejesha ili apelekwe kwa Waganga?!
They don't care yaani. Hawawezi hata kujiongeza sijui wanafanya shughuli gani za ubaloziYaani mtu hatoi pesa mfukoni ni swala la kumfatilia na kumrudisha Tanzania ndugu watapatikana tu ila sasa kwa roho za hao jamaa nao ndio kwanza wanasoma hizi taarifa kama wapo China...
Sehemu iliyopaswa kuwa na ubongo kwenye kichwa chako imejaa kamasi.Hii stori inawea kuwa ni ya kutunga, si halisi
Vinginevyo kana ni ya kweli, utakuwa unafanya makosa makubwa sana
Watu wa aina hii wapo wengi tu Marekani na si lazima wawe wametoka Tanzania. Wewe uanchotakiwa kufanya ni kupata details za familia yao huku Tanzania, ili Ubalozi watakapoingia kazini, wawe na uhakika kuwa mtu huyu kweli ni Mtanzania
Naamini Ubalozi wanayo pia register ya wanafunzi watanzania wanaosoma huko, na possibly kati ya walio kwenye orodha yao, huyo siyo mmoja wao
Wewe unatakiwa uwa-provie ubalozi kuwa huyu mtu kweli ni Mtanzania, halafu baada ya hapo ndiyo uweze kuwalaumu
Wewe kwa details zote ulizozitoa hapa, unashindwa nini kupata taarifa za kule alikotoka? Wenzake aliokuwa anasoma nao, je?
Isisje ikawa ulitamani tu kuweka picha za watu wakiwa nusu uchi humu kwa visingizio
Taarifa yako hii inaweza kuwa ni crap, inaweza ikawa ni ya kutunga
Kijijini wakisikia umeenda USA, na wanajua Vitovu vyenu vilipozikwa lazima wakunyooshe.Why kwa waganga lakini π€£π€£π€£π€£π€£
Harafu mtu kama huyu unamkuta yupo sehemu ya maamuzi kazi ipo...Sehemu iliyopaswa kuwa na ubongo kwenye kichwa chako imejaa kamasi.
Watanzania wengi wanafurahi tukichaapika pamoja wakiona mmoja katoka wanakasirika hata kama hakuna kitu anapata au kupoteza ndio roho zao hizo...Kuna jinga moja linaitwa GENTAMYCINE linachekelea eti ni kwa nini alienda nje ya nchi. Hebu fikiri jitu kama hili likipewa madaraka litakuwaje!
Msenge wewe, Kichaa ana Privacy?Unatakiwa kuelewa mipaka yako na kuheshimu privacy ya mtu.
Kwanza umeenda kumrekodi bila ya ridhaa yake, unalazimisha kumpa msaada wa hela ambao auhitaji; halafu unamposti mitandaoni huo ni udhalilishaji.
Pili unalazimisha msaada kwa mtu ambae ajakuomba na hataki hiyo ni kuingilia rights zake. Dada anaonekana ni mzima maana unakiri umewahi kuongea nae na hata hapo kwenye video inaonekana anajielewa huo uchizi unampa wewe.
Tatu hujui changamoto zake za maisha hadi kua homeless, ungeanzia kudadisi hapo kimetokea nini kwenye maisha yake hadi kufikia alipofika.
Nne kama lengo ni kutaka ndugu zake wapate habari ungeweza anzisha mada kwa title yoyote na ku-crop sura yake tu na kuomba msaada kama kuna mtu anamfahamu huyo dada wakupe details za ndugu zake uwape taarifa, wao ndio wana mamlaka ya kwenda serikalini na kuomba msaada arudishwe.
Umemkosea sana huyo dada na kumdhalilisha.
Hao ndugu wajitokeze bila kumtangaza? Amuhifadhi wakati ubalozi upo?Sasa si ndo wee umsaidie hapo kwa kumuhifadhi na nk, huku ukisubiri ndugu zake wajitokezee.
Kumuacha ahangaike na huku unamtangaza, si unamchoresha tyuu.
DuhMsenge wewe, Kichaa ana Privacy?
Toa msaada bwanaNimemuonea huruma bure daah π₯Ίπ₯Ίπ₯Ί