John Wickzer Mulholland
JF-Expert Member
- Apr 13, 2023
- 6,656
- 14,403
Naona ume-comment mara nyingi sana kwenye thread hii, Je, umejaribu kufanya 'content analysis' ya kutosha na ya kina sana kuhusiana na topic hii kabla ya kutoa comments zako??? Umejaribu kutafakari kwa kina juu ya suala hili???Sasa kumchoresha km hivyo ndo nn? Aache uwaki bas.
Kulikuwa kuna umuhimu wa kuweka hio clip anayomrekodi bila ya ridhaa yake, na mambo ya nimekuletea hela yanatoka wapi kama kweli huyo ni kichaa, kichaa ana uwezo wa kutambua matumizi ya hela ?Zile ni nchi wa watu, zina taratibu tofauti na kwetu, msamaria kaleta huku hii ni mara nyingine baada ya kufanya hadi jitihada za kuwasliana na balozi wa Tanzania nchini marekani toka 2018, amekutana naye tena labda ni mazungumzo aliyoona ayaanzishe ili aone kama huyo dada anaweza kuwa bado anaweza kuwasliana vizuri. Je ingekuwa ni wewe ungewezaje kuanza kuongea naye? Na mpaka kuleta clip yake hujaona ameshajitahidi kumsaidia ili apate msaada? Wewe unaweza chukua mtu mwenye tatizo la akili ukamweka kwako? Mnakuwaga wepesi kujudge kabla ya kufikiri kwa upande wake wewe ungefanyaje
Ndiyo.Naona ume-comment mara nyingi sana kwenye thread hii, Je, umejaribu kufanya 'content analysis' ya kutosha na ya kina sana kuhusiana na topic hii kabla ya kutoa comments zako??? Umejaribu kutafakari kwa kina juu ya suala hili???
It seems you're among of the short-sighted mind people if not a person with a 'dwarf thinking capacity' below the average.Ndiyo.
Ukaona uandike na ung'eng'e mwenyeweee!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]It seems you're among the short-sighted mind people if not a person with a 'dwarf thinking capacity' below the average.
I'm sorry to say that.
Wewe ni kengeUnatakiwa kuelewa mipaka yako na kuheshimu privacy ya mtu.
Kwanza umeenda kumrekodi bila ya ridhaa yake, unalazimisha kumpa msaada wa hela ambao auhitaji; halafu unamposti mitandaoni huo ni udhalilishaji.
Pili unalazimisha msaada kwa mtu ambae ajakuomba na hataki hiyo ni kuingilia rights zake. Dada anaonekana ni mzima maana unakiri umewahi kuongea nae na hata hapo kwenye video inaonekana anajielewa huo uchizi unampa wewe.
Tatu hujui changamoto zake za maisha hadi kua homeless, ungeanzia kudadisi hapo kimetokea nini kwenye maisha yake hadi kufikia alipofika.
Nne kama lengo ni kutaka ndugu zake wapate habari ungeweza anzisha mada kwa title yoyote na ku-crop sura yake tu na kuomba msaada kama kuna mtu anamfahamu huyo dada wakupe details za ndugu zake uwape taarifa, wao ndio wana mamlaka ya kwenda serikalini na kuomba msaada arudishwe.
Umemkosea sana huyo dada na kumdhalilisha.
Nadhan ndugu zake wakiona hii watawasiliana na uongozi wa jf kumpata uyo jamaa,kwa professional yangu uyu dada ana tatizo la afya ya akili anaitaji msaada wa aina yeyote then shit kweli zinahappen anaezaishi na madhara ya baada kuliko ivi trust meKulikuwa kuna umuhimu wa kuweka hio clip anayomrekodi bila ya ridhaa yake, na mambo ya nimekuletea hela yanatoka wapi kama kweli huyo ni kichaa, kichaa ana uwezo wa kutambua matumizi ya hela ?
Hujiulizi kwanini anamfukuza na anasisitiza aondoke ?
Wapi nimesema amchukue na kumuweka kwake?
Kuna njia nyingi za kumsaidia au na yeye anaishi kimagumashi ? anaogopa kwenda social services za homeless huko Houston kama ubalozi hawana msaada mbona nimegugo na kuziona zaidi ya 30 kwa haraka haraka ?
Niambie kumuweka hapa itasaidia nini ? tena kwa kutumia anonymous ID, kama wewe ndie ndugu yake uko bongo ungeaazaje kumtafuta mtu asiye na makazi maalumu kwa taarifa iliyoletwa na mtu ambaye hawezi tena kuchangia katika hii mada?
Wewe sio tu mgwanjwa wa akili Bali Nikichaa wa kwenye mitandao ningeomba wana jamii forum mtaarifu ndugu wa huyu kiumbe nayeye anahitaji msaada kwani amechanganyikiwa kuliko hata Jeni mwenyewe du kumbe wagonjwa wa akili niwengi hivi🙆🏿♀️🙆🏿♀️🙆🏿♀️Dignity in mental health
Mental, neurological and substance use disorders are common all over the world, affecting every community and age group and across all income countries. While 14% of the global burden of disease is attributed to these disorders, most of the people affected, almost 75% in many low-income...www.who.int
Uwezi kuwa educated kwenye hii dunia kama kichwa chako umekifunga na unabisha tu bila ya kuelewa kanuni za afya zenye kupinga unyanyapaaji wa wagonjwa.
In this instance huyo Jane sio mgonjwa (maana humu ni shida people can’t distinguish between an hypothetical statement) and the actual view stance of the contributor. Mara utaona poyoyo mmoja si ulisema Jane mzima sasa tena mbona unasema mgonjwa. The nonsense with some people in this forum is beyond me.
Responsible media outlet wangeshaifuta hiyo video ya jamaa it is just insubordination and patronising nothing else .
Sasa huko kwenye lugha kama kijijini kwenu kizungu ni issue au wewe ndio wa kwanza kufika developed nation kwenye ukoo wenu; elewa huo umuhimu wa hivyo vitu ni kwenye chako tu sio vya wote humu JF.
Nadhani anajali ila Hana taarifaJanuary Makamba angekuwa ni mtu anayejali hakika huyu mtanzania angesaidiwa!
You're wasting your time and energy ktk kujadili utendaji kazi wa Balozi za Tanzania huko nje ya nchi. Kuna ushahidi mwingi sana unaothibitisha kwamba Balozi za Tanzania huko nje hazina faida yoyote Ile kwa wa-Tanzania na wala hazina msaada wowote ule kwa Raia wa Tanzania, sasa kwa nini bado mnaendelea kuzijadili???Hawa wanaotukana mleta uzi watakuwa hawataki hii habari iwafikie viongozi na ndugu wa huyo dada.
kwa kifupi tu ubalozi wa Tanzania Marekani hauna msaada wowote kwa watanzania wanaoishi huko ata ndugu Isanga family kuna uzi alizungumza hilo kuhusu balozi zetu.
@Mtagi Dk. Dorothy anaweza akasaidia
Ni wazo zuri, lakini hizi nchi za wenzetu, huwezi kumshutisha mtu arudi nyumbani bila hiari yake. Sasa, ukiunganisha na maradhi ya akili ndio kabisa. Cha kwanza nadhani ni tiba halafu hayo mengine ndio yatafuata. Ni suala Tata sana lisilokuwa na majibu.Hapana mkuu watu wamechangia kwa mahaba mda wa masaa 24 zikafika 10m
Kwanini tusiwe na ubinadamu wa kuchanga ili arudi nyumbani?
Niko tayari kwa msaada
Jamii forum inatakiwa iwe strict kwa hili, huwezi kuanika personal information kwenye Public forum, ni kosa hili.Nyinyi mbuzi, hivi hamjui faragha za watu , mnabwabwaja tu maisha ya watu mitandaoni