Mayu
JF-Expert Member
- May 11, 2010
- 7,621
- 12,505
Kwakweli ubalozi wa Tz USA ni kichefu chefu kweliKati ya balozi zisizo na msaada ni huu ubalozi wetu wa Marekani. Hata ukiwa na ishu ya passport ni heri tu usafiri kurudi Bongo. Hata sijui wapo kufanya nini. Ni ufisadi tu na kutumbua pesa za visa!
Lakini pia yule binti balozi sijui alikuwa personal secretary wa nani yule mara vu bin vu eti kapewa ubalozi. Useless Embassy! 🚮🚮🚮
Usiombe upate changamoto nzito ndio utawajua ujinga wao
Kwanza hawajiamini waoga
