atlas copco
JF-Expert Member
- Jun 15, 2015
- 8,497
- 9,728
Rudin nyumbani huko mkafanye matambiko acheni kusingizia village peopleVillage people village people ohohoo wasikunase ktk rada zao utajua ujui
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rudin nyumbani huko mkafanye matambiko acheni kusingizia village peopleVillage people village people ohohoo wasikunase ktk rada zao utajua ujui
AiseeSisi tunapelekaa watu kutalii tu. Ubalozi unashindwa kumrudisha mtu mmoja dah.
Nitaokota maduvet nijifunike mbonaBobu hali ya hewa ndio changamoto
CHADEMA kwa kutunga uongo hawajambo?Labda atakuwa ni usalama wa taifa huyo katumwa kuangalia fursa pia kuiba teknoloji
Chadema ndio wanavunja umoja wetuWaacheni wazungu waendelee, linapokuja suala la mtu wa kwao watafanya juu chini apate msaada. Nafanya kazi ubalozi wa nchi moja ya Nordic, yaani wakisikia tu hata kuna ajali imetokea na kuna mzungu humo ninlazima wafuatlilie kujua kama kuna mwananchi wao humo.
na kama yupo, fasta anapatiwa msaada . Kiufupi, wenzetu wanajali sana.
Chini ya daraja?Labda atakuwa ni usalama wa taifa huyo katumwa kuangalia fursa pia kuiba teknolojia
Itategemea upo state gani, nafikiri kuna baadhi hali ya hewa zao huvumilika ila kwa ujumla misimu yote ni mateso, winter baridi inapuliza kisawasasawa, summer joto sana yaani bongo hakuna joto bobu hivyo bas hali ya hewa ndio inawaua homeless wengi na sio njaa.Nitaokota maduvet nijifunike mbona
Doh na mm nitakuja kujionea mwenyeweItategemea upo state gani, nafikiri kuna baadhi hali ya hewa zao huvumilika ila kwa ujumla misimu yote ni mateso, winter baridi inapuliza kisawasasawa, summer joto sana yaani bongo hakuna joto bobu hivyo bas hali ya hewa ndio inawaua homeless wengi na sio njaa.
Bila visa uchawi haufiki marekaniMasikini dada wa watu isije kuwa watu wa kijijini kwao wamemroga.
Mungu amfanyie wepesi.
InshaAllahDoh na mm nitakuja kujionea mwenyewe
Uyo masilingi c ndo alikua akibishana na lissu kwenye hard talk mpka anataka kurusha ngumi jinga kabisa balozi wa hovyoooHivi hatuna ubalozi Marekani, wanafanya nini huko au wanakula tu kodi zetu?