DOKEZO Mtanzania huyu alikuja Marekani kusoma, akapata changamoto ya Akili, sasa hivi anaishi Mtaani, anahitaji msaada

DOKEZO Mtanzania huyu alikuja Marekani kusoma, akapata changamoto ya Akili, sasa hivi anaishi Mtaani, anahitaji msaada

  • Thread starter Thread starter Anonymous
  • Start date Start date
Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Mpelekeen kwa mwamposa ama pigen no yakee awaombeee huko
 
Waacheni wazungu waendelee, linapokuja suala la mtu wa kwao watafanya juu chini apate msaada. Nafanya kazi ubalozi wa nchi moja ya Nordic, yaani wakisikia tu hata kuna ajali imetokea na kuna mzungu humo ninlazima wafuatlilie kujua kama kuna mwananchi wao humo.

na kama yupo, fasta anapatiwa msaada . Kiufupi, wenzetu wanajali sana.
Chadema ndio wanavunja umoja wetu
 
Nitaokota maduvet nijifunike mbona
Itategemea upo state gani, nafikiri kuna baadhi hali ya hewa zao huvumilika ila kwa ujumla misimu yote ni mateso, winter baridi inapuliza kisawasasawa, summer joto sana yaani bongo hakuna joto bobu hivyo bas hali ya hewa ndio inawaua homeless wengi na sio njaa.
 
Itategemea upo state gani, nafikiri kuna baadhi hali ya hewa zao huvumilika ila kwa ujumla misimu yote ni mateso, winter baridi inapuliza kisawasasawa, summer joto sana yaani bongo hakuna joto bobu hivyo bas hali ya hewa ndio inawaua homeless wengi na sio njaa.
Doh na mm nitakuja kujionea mwenyewe
 
Kama hana ndugu tz heri abaki huko huko. Alafu mirembe yao haifanyi kazi ?uongozi wa shule aliyeenda vip?
 
Tusihukumu, hakuna ajuwaye kesho yetu.

Mwenyezi Mungu amsitiri na amjaalie aondokane na hayo.
 
Back
Top Bottom