Mtanzania Joyce Msuya ateuliwa kuwa Naibu Katibu Mkuu wa UN, Rais Samia ampongeza

Mtanzania Joyce Msuya ateuliwa kuwa Naibu Katibu Mkuu wa UN, Rais Samia ampongeza

Vugu-Vugu

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2017
Posts
1,381
Reaction score
1,600
===
Rais Samia Suluhu Hassan ampongeza Bi Joyce Msuya kwa kuaminiwa kwake na kuteuliwa na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ( UN ) Bw Antonio Guterres,

Bw Guterres amemteua kuwa Naibu katibu mkuu wake anayeshughulikia maswala ya Kibinadamu na Naibu mratibu wa misaada ya dharula Duniani,


IMG-20211216-WA0039.jpg



===
Naona Watanzania chini ya Mhe Rais Samia Suluhu Hassan tumeanza kuaminika tena Kimataifa,
photo_2021-12-17_12-14-44.jpg

Hakika hakuna mwenye Upepo mzuri kama Mhe Rais Samia Suluhu Hassan,

Hongera Sana Bi Joyce Msuya kwa heshima hii kubwa kwako na kwa Taifa la Tanzania,
photo_2021-12-17_12-15-47.jpg


#Uteuzi huu umeipaisha sana Tanzania Kimataifa,Kaziiendelee Kimataifa
 
Huo ushirikiano wa maswala ya kibinadamu tungetarajia uanzia nyumbani(charity begins at home).

Mnaongelea ubinadamu wakati humu nchini tuna mambo yasiyo ya kibinadamu kama kuwekeana ndani,watu kutekwa, n.k.

Ubinadamu sio kwenye majanga tu, bali ni katika kuheshima haki za binadamu.
 
View attachment 2045922Naona Watanzania chini ya Rais Samia Suluhu tumeanza kuaminika tena Kimataifa, Hongera Sana Bi Joyce Msuya kwa heshima hii,

#Uteuzi huu umeipaisha Tanzania Sana
Unampa sifa mtu asiyehusika kabisa. Mpe sifa Bi Msuya. Hizo ni juhudi binafsi za Bi Msuya. Haina uhusiano wowote na Samia. Ni kama kusema Mwele Malecela alipata ukurugenzi WHO kwa vile Magufuli alikuwa anaamiwa duniani!! Utakuwa ubongo wa kuku huo!!
 
Unampa sifa mtu asiyehusika kabisa. Mpe sifa Bi Msuya. Hizo ni juhudi binafsi za Bi Msuya. Haina uhusiano wowote na Samia. Ni kama kusema Mwele Malecela alipata ukurugenzi WHO kwa vile Magufuli alikuwa anaamiwa duniani!! Utakuwa ubongo wa kuku huo!!
Khaaa, Nenda kamuulize Mzee Membe na Ukatibu mkuu wa Jumuiya ya Madola
 
Ukatibu Mkuu wa Commonwealth ma SADC unahitaji kuungwa mkono na nchi yako. Hiyo siyo kweli kwa nafasi ya Bi Msuya. Nafasi ya Bi Msuya, Samia kaisikia tu kwenye vyombo vya habari kama mimi na wewe. Siyo nafasi ya kisiasa. Ni nafasi ya kitaalam. Kama hauyajui haya mambo unaweza kujichoresha bure. Siyo kila kitu ni cha kusifia. Unaweza ishi bila kusifia.
Khaaa, Nenda kamuulize Mzee Membe na Ukatibu mkuu wa Jumuiya ya Madola
 
Shida unatoa sifa za uongo kwa watu wasiohusika. Bi Msuya alikuwa mkurugenzi wa shirika la mazingira la UN hapo Nairobi kwa kipindi kirefu. Amepata promotion within UN. Samia anahusikaje? Mpongeze Bi msuya. Samia hahusiki hata chembe. Jifunze kuishi bila ya kutoa sifa za kinafiki.
Shida iko wapi?
 
Shida unatoa sifa za uongo kwa watu wasiohusika. Bi Msuya alikuwa mkurugenzi wa shirika la mazingira la UN hapo Nairobi kwa kipindi kirefu. Amepata promotion within UN. Samia anahusikaje. Mpongeze Bi msuya. Samia hahusiki hata chembe. Jifunze kuishi bila ya kutoa sifa za kinafiki.
Daaah CHADOMO
 
Nimekueleza kistaarabu sana ukweli. Wewe ukaanza kuniita mimi "CHADOMO". Nimekupa facts kuhusu Bi Msuya. Sasa unauliza natakaje! Nilichokisema kiko wazi. Na watu wengine wamekirudia hapa jamvini. Na kopi na kupesti hapa:

"Shida unatoa sifa za uongo kwa watu wasiohusika. Bi Msuya alikuwa mkurugenzi wa shirika la mazingira la UN hapo Nairobi kwa kipindi kirefu. Amepata promotion within UN. Samia anahusikaje? Mpongeze Bi msuya. Samia hahusiki hata chembe. Jifunze kuishi bila ya kutoa sifa za kinafiki".
Mkuu wewe unatakaje? Nini kimekukera?
 
Nimekueleza kistaarabu sana ukweli. Wewe ukaanza kuniita mimi "CHADOMO". Nimekupa facts kuhusu Bi Msuya. Sasa unauliza natakaje! Nilichokisema kiko wazi. Na watu wengine wamekirudia hapa jamvini. Na kopi na kupesti hapa:

"Shida unatoa sifa za uongo kwa watu wasiohusika. Bi Msuya alikuwa mkurugenzi wa shirika la mazingira la UN hapo Nairobi kwa kipindi kirefu. Amepata promotion within UN. Samia anahusikaje? Mpongeze Bi msuya. Samia hahusiki hata chembe. Jifunze kuishi bila ya kutoa sifa za kinafiki".
Sasa unalalamika nini mkuu Wang?
 
Back
Top Bottom