babu bulicheka
JF-Expert Member
- Mar 26, 2021
- 822
- 1,048
Hivi wewe ni Pwagu au PwaguziDaaah CHADOMO
Maana kwaujuwaji ulio jivisha nimeshindwa kukuelewa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi wewe ni Pwagu au PwaguziDaaah CHADOMO
DaaahSawa bot
#Kaziiendelee TanzaniaView attachment 2045922Naona Watanzania chini ya Rais Samia Suluhu tumeanza kuaminika tena Kimataifa, Hongera Sana Bi Joyce Msuya kwa heshima hii,
#Uteuzi huu umeipaisha Tanzania Sana
Unabii wa nabii Mashimo umetimia!View attachment 2045922Naona Watanzania chini ya Rais Samia Suluhu tumeanza kuaminika tena Kimataifa, Hongera Sana Bi Joyce Msuya kwa heshima hii,
#Uteuzi huu umeipaisha Tanzania Sana
Huyu mama unafiki umezidi.Nchi imefunga, Mama yuko Kazini,
#KAZIIENDELEE
Mkuu Salary Slip kwa machache mazuri kama haya tuipongeze Serikali ya awamu ya 6.Huo ushirikiano wa maswala ya kibinadamu tungetarajia uanzia nyumbani(charity begins at home).
Mnaongelea ubinadamu wakati humu nchini tuna mambo yasiyo ya kibinadamu kama kuwekeana ndani,watu kutekwa, n.k.
Ubinadamu sio kwenye majanga tu, bali ni katika kuheshima haki za binadamu.
wanasiasa ni watu wa kuogopwa sana hapa wanataka kumpamba mama wakati hali ya maisha inazidi kuwa ngumu.Joyce Msuya was already a UN top dog prior to Samia’s presidency
Why notKwa hiyo sifa apewe SSH
Aje mkuu tena MnamaPraise Team bwana mapambio hadi msikitini khaaaa..........
Shida iko wapi?
Tatizo humu hatujuani,Achana na MimiShida unajipendekeza mno tena kama kibinti kiwinda chips na coca!! Hapo juu umeleta habari ya Membe na Ukatibu Mkuu Jumuiya ya Madola. Teuzi hizo za juu huwa “cleared” na mamlaka ya nchi - hazifanywi na nchi husika. Member hakuwa “cleared” na kama story yako iko sahihi!!
Huwezi kumsifia SHH kama ndiye aliyefanya uteuzi na ukaacha aliyeteuliwa kwa kujijengea sifa za kuteuliwa katika nafasi kama hiyo!!
Tabia ya kujikombakomba itakufikisha pabaya - itakukosesha kuona hata yale mabaya. Kujipendekeza hufumba uwezo wa kutambua mambo!!
Hivi wantanzania ndio tumefikia kuwa na akili ya negative ziro kiasi hikiRais Samia ndio kila kitu
Nadhani umeangalia mtu mmoja tu.ama nakosea usikute hata ndugu yako kawekwa ndani Ila umemuona huyo mungu wakoHuo ushirikiano wa maswala ya kibinadamu tungetarajia uanzia nyumbani(charity begins at home).
Mnaongelea ubinadamu wakati humu nchini tuna mambo yasiyo ya kibinadamu kama kuwekeana ndani,watu kutekwa, n.k.
Ubinadamu sio kwenye majanga tu, bali ni katika kuheshima haki za binadamu.
Chawa wanafikiri ni uteuzi kama mikeka ya u DC na u DEDish yaani from nowhere with no track recordJoyce Msuya was already a UN top dog prior to Samia’s presidency
Fact aiseMkuu Salary Slip kwa machache mazuri kama haya tuipongeze Serikali ya awamu ya 6.
Mwaka Jana wakati wa Magufuli Liberata Mulamula na Cervasicus Likwelile walipata kazi za kwenda kuwa wa kuu wa Commission mbili tofauti kule African Union. Lakini Magufuli alikataa ku endorse waende na nafasi zikapewa nchi zingine
Tatizo ni nini mkuu?Hivi wantanzania ndio tumefikia kuwa na akili ya negative ziro kiasi hiki