Nchi imefunga, Mama yuko Kazini,View attachment 2045922Naona Watanzania chini ya Rais Samia Suluhu tumeanza kuaminika tena Kimataifa, Hongera Sana Bi Joyce Msuya kwa heshima hii,
#Uteuzi huu umeipaisha Tanzania Sana
Unampa sifa mtu asiyehusika kabisa. Mpe sifa Bi Msuya. Hizo ni juhudi binafsi za Bi Msuya. Haina uhusiano wowote na Samia. Ni kama kusema Mwele Malecela alipata ukurugenzi WHO kwa vile Magufuli alikuwa anaamiwa duniani!! Utakuwa ubongo wa kuku huo!!View attachment 2045922Naona Watanzania chini ya Rais Samia Suluhu tumeanza kuaminika tena Kimataifa, Hongera Sana Bi Joyce Msuya kwa heshima hii,
#Uteuzi huu umeipaisha Tanzania Sana
Khaaa, Nenda kamuulize Mzee Membe na Ukatibu mkuu wa Jumuiya ya MadolaUnampa sifa mtu asiyehusika kabisa. Mpe sifa Bi Msuya. Hizo ni juhudi binafsi za Bi Msuya. Haina uhusiano wowote na Samia. Ni kama kusema Mwele Malecela alipata ukurugenzi WHO kwa vile Magufuli alikuwa anaamiwa duniani!! Utakuwa ubongo wa kuku huo!!
Kwa hiyo sifa apewe SSHNaona Watanzania chini ya Rais Samia Suluhu tumeanza kuaminika tena Kimataifa
Joyce Msuya was already a UN top dog prior to Samia’s presidencyNchi imefunga, Mama yuko Kazini,
#KAZIIENDELEE
Shida iko wapi?Joyce Msuya was already a UN top dog prior to Samia’s presidency
Khaaa, Nenda kamuulize Mzee Membe na Ukatibu mkuu wa Jumuiya ya Madola
Shida iko wapi?
Daaah CHADOMOShida unatoa sifa za uongo kwa watu wasiohusika. Bi Msuya alikuwa mkurugenzi wa shirika la mazingira la UN hapo Nairobi kwa kipindi kirefu. Amepata promotion within UN. Samia anahusikaje. Mpongeze Bi msuya. Samia hahusiki hata chembe. Jifunze kuishi bila ya kutoa sifa za kinafiki.
Daaah CHADOMO
Mkuu wewe unatakaje? Nini kimekukera?Tatizo hauna hoja. Kazi yako ni kusifia chama chako cha siasa. Yeyote anayekueleza ukweli, kwa akili yako ndogo inayoshabikia chama, unafikiri ni wa chama kingine!! Labda ndivyo unavyopata chakula chako. Endelea...
Mkuu wewe unatakaje? Nini kimekukera?
Sasa unalalamika nini mkuu Wang?Nimekueleza kistaarabu sana ukweli. Wewe ukaanza kuniita mimi "CHADOMO". Nimekupa facts kuhusu Bi Msuya. Sasa unauliza natakaje! Nilichokisema kiko wazi. Na watu wengine wamekirudia hapa jamvini. Na kopi na kupesti hapa:
"Shida unatoa sifa za uongo kwa watu wasiohusika. Bi Msuya alikuwa mkurugenzi wa shirika la mazingira la UN hapo Nairobi kwa kipindi kirefu. Amepata promotion within UN. Samia anahusikaje? Mpongeze Bi msuya. Samia hahusiki hata chembe. Jifunze kuishi bila ya kutoa sifa za kinafiki".
Sasa wewe ni kenge maji kweli,... Badala ya kumpa sifa Bi. Msuya unampa sifa Hangaya...? hizi akili za wapi jameni.??Naona Watanzania chini ya Rais Samia Suluhu tumeanza kuaminika tena Kimataifa, Hongera Sana Bi Joyce Msuya kwa heshima hii,
Sasa unalalamika nini mkuu Wang?
Kuweka kumbukumbu sawa tuShida iko wapi?
Rais Samia ndio kila kituKuweka kumbukumbu sawa tu
Sawa botRais Samia ndio kila kitu